Ndoa ya mtangazaji mkongwe Betty Mkwasa na Charles Boniface Mkwasa “Master” yafikisha miaka 35, wapo imara na wanasonga mbele

Ndoa ya mtangazaji mkongwe Betty Mkwasa na Charles Boniface Mkwasa “Master” yafikisha miaka 35, wapo imara na wanasonga mbele

Watupe Siri ya mafanikio
Ni uvumilivu tu. Na hasa kutoka kwa jamaa yangu Charles! Maana enzi zile Mh. Ngoyai alipokuwa PM, halafu shemeji yetu akateuliwa na JK kuwa Mh. DC! Aisee mambo hayakuwa mepesi hata kidogo. Maana tetesi zilikuwa ni nyingi sana mjini.

Kwa hiyo ukimuona nyani mzee, basi utambue fika amekwepa mishale mingi!
 
Mwanahabari mkongwe na aliyepata kuwa Mkuu wa Wilaya enzi ya awamu ya nne, mama Betty Mkwasa na mumewe Charles Boniface Mkwasa yafikia miaka 35.

Charles Boniface Mkwasa mchezaji na kocha wa zamani alioana na Betty mwaka 1990 na wawili hao wamejaaliwa watoto kadhaa.

Vijana wa zama hizi tunafeli wapi kwenye ndoa zetu? Tutumie mfano wa ndoa hii kama sehemu ya kuvumiliana kwenye changamoto mbalimbali.
View attachment 3204476
Safi sana. Mwenyezi Mungu aendelee kuwashushia mibaraka!
 
Kwanini yeye ndiyo mjinga?
Ukiona ndoa imedumu muda mrefu ujuwe mume amekubali kuwa bwege.
-hafatili mambo ya kwenye simu ya mke sms ,calls nk..
  • haulizi ulizi ulikuwa wp Wala hamchunguzi mke.
  • utawala wote wa nyumbani mwenye sauti ni mke.
  • hata mume akisikia mke anagegedwa
huko nje mume anaweka pamba masikioni kama hapajatokea kitu.

Hapa ndoa itadumu miaka mia labda mke achoke na kuondoka mwenyewe na sio kupewa talaka.
 
Kama huyu maza alikuwa mkuu wa wilaya basi Mzee Mkwasa alijifanya boya. Ni ngumu sana mwanamke kutotafunwa kwenye hizi mbanga za kisiasa. Kama manzi yako yuko Dodoma kwenye mkutano mkuu jua kabisa kuna mtu anamtafuna balaa.
 
Mmoja akikubali kuwa mjinga, ni kifo tu ndio kitawatenganisha
Ni kweli, hii ndoa ilipimulia mashine enzi zile Betty anaishi Bahi....kocha wetu alijifanya mjinga mambo yameenda hadi leo 35.....yrs. Mungu azidi kuwatunza
 
Mwanahabari mkongwe na aliyepata kuwa Mkuu wa Wilaya enzi ya awamu ya nne, mama Betty Mkwasa na mumewe Charles Boniface Mkwasa yafikia miaka 35.

Charles Boniface Mkwasa mchezaji na kocha wa zamani alioana na Betty mwaka 1990 na wawili hao wamejaaliwa watoto kadhaa.

Vijana wa zama hizi tunafeli wapi kwenye ndoa zetu? Tutumie mfano wa ndoa hii kama sehemu ya kuvumiliana kwenye changamoto mbalimbali.
View attachment 3204476
Dah,

Namkumbuka Betty akiwa Betty Chalamila RTD zaidi ya miaka 35 iliyopita..

Time flies.

All the best.
 
-No ubinafsi
-Hakuna Maringo or lugha mbaya ndani ya nyuma
-Kuheshimiana
-Baba analeta kodi ya nyumba na mama anaridhika nayo kwakua wanapendana.
-Mola wao ndio kiongozi mkuu
-Misuguano ipo lkn huisikii Kwa jirani.
They love each other unconditional
Sio kweli maana hawa mambo yao yanajulikana sana labda kipengele cha kuvumiliana ni sawa.
 
Back
Top Bottom