- Thread starter
- #21
MaliziaMkuu hapa swala siyo chakula bali....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MaliziaMkuu hapa swala siyo chakula bali....
Kimanzichana haipo darNdoa ya mwanaume mpare na mzaramo kimanzichana Dar es salaam yavunjika kisa mke hawezi kula kande na ugali anasema akila tumbo huuma anataka chips Kuku,mayai na wali na mboga yeyote sio kande na ugali
Mpare kaona isiwe kesi ndoa imevunjika hawanajamaliza hata wiki mbili toka waoane
We wapare unawajua unawasikia, ni kabila bahili dunia nzima, na ubahili wao haunaga faida. Wapo rough sijui wana shida gani kichwani.Mwanaume atafute hela makande ya nini aisee mbona anataka kumuua Binti wa watu hii michezo ya kuoa kutaka sifa mtaani halafu huna uwezo wa kumuhudumia mwisho wake ndio huu Sasa makande wanakula binadamu
Huyo mzamaramo na chips wapi na wapi, viazi vya Chipsi vinalimwa wapi uzaramoni ili angalau tujue ni chakula cha asili, angesema mihogo tungemuelewa kidogoNdoa ya mwanaume mpare na mzaramo kimanzichana Dar es salaam yavunjika kisa mke hawezi kula kande na ugali anasema akila tumbo huuma anataka chips Kuku,mayai na wali na mboga yeyote sio kande na ugali
Mpare kaona isiwe kesi ndoa imevunjika hawanajamaliza hata wiki mbili toka waoane
🤣🤣🤣🤣🤣Hajui thamani ya kande huyo, aachwe tu!
Kwa hiyo hata wewe umenitelekeza🤣🤣🤣 au labda makande yanadumaza...🤣🤣🤣🤣🤣Nimecheka...
Ila ki ukweli kumuona Mpare mrefu ni nadra sana...
Hivi mko na shida Watani?😀
Itakuwa Makande na zile perege.🤣Kwa hiyo hata wewe umenitelekeza🤣🤣🤣 au labda makande yanadumaza...
Perege hata nyie watani mnazilaaa🤣Itakuwa Makande na zile perege.🤣
🤣🤣🤣🤣Sisi siyo kama nyie mnavyokula Mtani...Perege hata nyie watani mnazilaaa🤣
Gahawa mkuuNdoa ya mwanaume mpare na mzaramo kimanzichana Dar es salaam yavunjika kisa mke hawezi kula kande na ugali anasema akila tumbo huuma anataka chips Kuku,mayai na wali na mboga yeyote sio kande na ugali
Mpare kaona isiwe kesi ndoa imevunjika hawanajamaliza hata wiki mbili toka waoane
Makande yafanyiwe utafiti🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimecheka...
Ila ki ukweli kumuona Mpare mrefu ni nadra sana...
Hivi mko na shida Watani?😀