Ndoa ya mwanaume mpare na mzaramo yavunjika kisa mke hawezi kula kande na ugali eti akila tumbo huuma anataka chips na wali

Ndoa ya mwanaume mpare na mzaramo yavunjika kisa mke hawezi kula kande na ugali eti akila tumbo huuma anataka chips na wali

Ndoa ya mwanaume mpare na mzaramo kimanzichana Dar es salaam yavunjika kisa mke hawezi kula kande na ugali anasema akila tumbo huuma anataka chips Kuku,mayai na wali na mboga yeyote sio kande na ugali

Mpare kaona isiwe kesi ndoa imevunjika hawanajamaliza hata wiki mbili toka waoane
Kimanzichana haipo dar
 
Mwanaume atafute hela makande ya nini aisee mbona anataka kumuua Binti wa watu hii michezo ya kuoa kutaka sifa mtaani halafu huna uwezo wa kumuhudumia mwisho wake ndio huu Sasa makande wanakula binadamu
We wapare unawajua unawasikia, ni kabila bahili dunia nzima, na ubahili wao haunaga faida. Wapo rough sijui wana shida gani kichwani.
 
Ndoa ya mwanaume mpare na mzaramo kimanzichana Dar es salaam yavunjika kisa mke hawezi kula kande na ugali anasema akila tumbo huuma anataka chips Kuku,mayai na wali na mboga yeyote sio kande na ugali

Mpare kaona isiwe kesi ndoa imevunjika hawanajamaliza hata wiki mbili toka waoane
Huyo mzamaramo na chips wapi na wapi, viazi vya Chipsi vinalimwa wapi uzaramoni ili angalau tujue ni chakula cha asili, angesema mihogo tungemuelewa kidogo
 
Tabia mbaya hiyo,hapo ndio unapogundua ndoa nyingi zipo TU Kwa sababu mwanaume anajiweza. akikosa kitu hamna ndoa tena
 
Mwanamke wa Kizaramo ni grade ya mwisho kabisa hapa Tanzania

Miaka yote kala ugali na matembele na visamaki vya kurumagia kwa baba yake uzaramuni halafu analeta pozi

Piga chini Mzaramo sio wa kuoa, waoane wenyewe
 
Ndoa ya mwanaume mpare na mzaramo kimanzichana Dar es salaam yavunjika kisa mke hawezi kula kande na ugali anasema akila tumbo huuma anataka chips Kuku,mayai na wali na mboga yeyote sio kande na ugali

Mpare kaona isiwe kesi ndoa imevunjika hawanajamaliza hata wiki mbili toka waoane
Gahawa mkuu
 
Back
Top Bottom