Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Hii combination hata haibalance vizuri eti🤣Hivi Mpare unamuoaje Mzaramo*???
uskute unatokea familia duni hata hizo kande ni mali kwenu ila kwakua jf kila mtu ni mtu basi unasema kande sio za kuliwa na binadamu😂😂😂😂Mwanaume atafute hela makande ya nini aisee mbona anataka kumuua Binti wa watu hii michezo ya kuoa kutaka sifa mtaani halafu huna uwezo wa kumuhudumia mwisho wake ndio huu Sasa makande wanakula binadamu
alikua anataka kupigwa kitu kizitoHii combination hata haibalance vizuri eti🤣
Mpare + mzaramo yaani hata haiji, imekataa kabisa, ni kama physics na kiswahili😂alikua anataka kupigwa kitu kizito
Utadumaa shaurilo 🤣Nimepata hamu ya makande kesho nayapika
Karibu sana rafiki, nitakupikia...na mazaga mengine🤣Nimepata hamu ya makande kesho nayapika
Ndo maana unashauriwa uoe kwenu,binafsi siwezi kula kande,au ugali jioni
Hahahah nitadumaa kama wapare?Utadumaa shaurilo 🤣
Kande na mishkaki ni mitamu sana fanya msaada wa mishkaki tuKaribu sana rafiki, nitakupikia...na mazaga mengine🤣
Hii combination hata haibalance vizuri eti🤣
Wa mjiniWewe Mpare ila unasema huwezi kula kande jioni?
Au ni Mpare kwa jina tu lakini Huna vile vinasaba vya koparę ? [emoji38][emoji38]