Ndoa ya mwanaume mpare na mzaramo yavunjika kisa mke hawezi kula kande na ugali eti akila tumbo huuma anataka chips na wali

Mwanaume atafute hela makande ya nini aisee mbona anataka kumuua Binti wa watu hii michezo ya kuoa kutaka sifa mtaani halafu huna uwezo wa kumuhudumia mwisho wake ndio huu Sasa makande wanakula binadamu
uskute unatokea familia duni hata hizo kande ni mali kwenu ila kwakua jf kila mtu ni mtu basi unasema kande sio za kuliwa na binadamu😂😂😂😂
 
Ndo maana unashauriwa uoe kwenu,binafsi siwezi kula kande,au ugali jioni

Wewe Mpare ila unasema huwezi kula kande jioni?
Au ni Mpare kwa jina tu lakini Huna vile vinasaba vya koparę ? 😆😆
 
Ila wapare wabahili sana usikute Kila siku ilikua ni kande ugali na anapika sufuria Kubwaa wanakula siku Tatu ndo wanipika ugali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…