Karma, what goes around comes around but this round had a 4G speed.Mmmh baada ya kuhangaika weee akafanikiwa kumtoa bi mkubwa tena kwa talaka tatu hata hajatawala vizuri nae kasombwa na mafuriko ya talaka aiseee.
Karma, what goes around comes around but this round had a 4G speed.
Ila hii familia Ina nuksi kwenye masuala ya ndoa, familia Nzima hakuna mwenye ndoa ya kueleweka. Isihaka kashajua Queen Darleen hana undugu na Diamond kaamua kumuacha(jokes[emoji16])
Umbea wq chini chini unadai queen darleen kalambwa talaka tatu na aliyekua mumewe, chanzo bado hakijajulikana
Mmmh baada ya kuhangaika weee akafanikiwa kumtoa bi mkubwa tena kwa talaka tatu hata hajatawala vizuri nae kasombwa na mafuriko ya talaka aiseee.
Hiyo ni Kiki ya wimbo itakua wasituchoshe[emoji57]
Kiki ya wimbo wao mpya hiyo. Queen hawezi achika kirahisi hivyo
Na wewe hii Avatar yako sio salama kwa ndoa zetu, ngoja mimi nilog out tu
Baada ya 40 ya mtoto uchumi uliyumba, kwa kuwa mujini ni status dada alikigawa akapata hela ya kutengenezea video ya mwimbo mpya.Hiyo ni Kiki ya wimbo itakua wasituchoshe[emoji57]
[emoji3][emoji3][emoji3]Kuimba kwenyewe sasa hajui, basi tabu tupuBaada ya 40 ya mtoto uchumi uliyumba, kwa kuwa mujini ni status dada alikigawa akapata hela ya kutengenezea video ya mwimbo mpya.
Isiaka hana hamu, aliingia kwenye ndoa ya mke wa pili akiwa na mke waliejenga nae nyumba. Sasa hivi amefilisika kabisa lakini amepata mtoto.[emoji3][emoji3][emoji3]Kuimba kwenyewe sasa hajui, basi tabu tupu