jinola hamza
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 657
- 441
Sawa lokoleIla hii familia Ina nuksi kwenye masuala ya ndoa, familia Nzima hakuna mwenye ndoa ya kueleweka. Isihaka kashajua Queen Darleen hana undugu na Diamond kaamua kumuacha(jokes[emoji16])
Umbea wq chini chini unadai queen darleen kalambwa talaka tatu na aliyekua mumewe, chanzo bado hakijajulikana