Ndoa ya Queen Darleen Chalii

Ndoa ya Queen Darleen Chalii

Mi alikuwa ananiboa sana,najua ni wengi alikuwa anatuboa kwa mikogo yake sijui sukari ya isihaka khaaa alafu hana huruma kwa mke mwenzie hajafanikiwa kupata mtoto ni maumivu tosha bado umrushe roho kweli jamaniiii
Nahisi huyo isihaka alirogwa sio bure
Huyo Isihach alichotaka ni umaarufu na drama za mjini. Utaoaje demu umri wa kina Dully na watoto 2 juu.
 
Alizidisha mbwembwe na dharau kwa mwenzie. Kweli Alituboa wengi
Mi alikuwa ananiboa sana,najua ni wengi alikuwa anatuboa kwa mikogo yake sijui sukari ya isihaka khaaa alafu hana huruma kwa mke mwenzie hajafanikiwa kupata mtoto ni maumivu tosha bado umrushe roho kweli jamaniiii
Nahisi huyo isihaka alirogwa sio bure
 
@Jokajeusi anatoa mafunzo kila siku humu ndani, na mambo yenyewe ndio haya sasa, wanadamu tunakaza vichwa sana.
 
Hii familia ingekuwa Emerikani ingekuwa na ukwasi wa kutosha sana aisee!!!
 
Naomba kujuzwa.

Hivi hizi ndoa za watu maarufu/ wasanii Tanzania ni ndoa kwa mujibu wa sheria kabisa, au inakuwa ni sherehe ya harusi tu.

Maana kama ndoa hizo zinafungwa kwa mujibu wa sheria, basi ninavyojua mimi kuvunjika kwake lazima ivunjwe na mahakama. Na pia sheria zetu zimeweka masharti magumu sana ndoa kuvunjwa kabla kuisha miaka miwili etc!!!!!!
 
Isiaka hana hamu, aliingia kwenye ndoa ya mke wa pili akiwa na mke waliejenga nae nyumba. Sasa hivi amefilisika kabisa lakini amepata mtoto.

Swali ni kuwa kama alishindwa kumpa mimba Sabra, na Queen alichepuka juzi, tutajuaje kama mtoto ni wa Isiaka kweli?na
Another nyange case study
 
Ila hii familia Ina nuksi kwenye masuala ya ndoa, familia Nzima hakuna mwenye ndoa ya kueleweka. Isihaka kashajua Queen Darleen hana undugu na Diamond kaamua kumuacha(jokes[emoji16])

Umbea wq chini chini unadai queen darleen kalambwa talaka tatu na aliyekua mumewe, chanzo bado hakijajulikana
Nawakumbusha tu watu kama kina warumi wanaonuka midomo ndo wanakuwaga na story nzuri kama hizi
 
Alijishaua mno mpaka mke mkubwa kuachika
 
Mmmh baada ya kuhangaika weee akafanikiwa kumtoa bi mkubwa tena kwa talaka tatu hata hajatawala vizuri nae kasombwa na mafuriko ya talaka aiseee.
Afu huyo mwanaume atarudi kwa mkewe wa kwanza kuomba msamaha. Khaaaah
 
Isiaka hana hamu, aliingia kwenye ndoa ya mke wa pili akiwa na mke waliejenga nae nyumba. Sasa hivi amefilisika kabisa lakini amepata mtoto.

Swali ni kuwa kama alishindwa kumpa mimba Sabra, na Queen alichepuka juzi, tutajuaje kama mtoto ni wa Isiaka kweli?
Mambo ni vururu tyuuuh.
 
Mi alikuwa ananiboa sana,najua ni wengi alikuwa anatuboa kwa mikogo yake sijui sukari ya isihaka khaaa alafu hana huruma kwa mke mwenzie hajafanikiwa kupata mtoto ni maumivu tosha bado umrushe roho kweli jamaniiii
Nahisi huyo isihaka alirogwa sio bure
Sio kurogwa Mkuu itakuwa alimpaa Tigoweb
 
Mna amini kila mnachosoma na kusikia.Balaa
 
Back
Top Bottom