Huyo Isihach alichotaka ni umaarufu na drama za mjini. Utaoaje demu umri wa kina Dully na watoto 2 juu.Mi alikuwa ananiboa sana,najua ni wengi alikuwa anatuboa kwa mikogo yake sijui sukari ya isihaka khaaa alafu hana huruma kwa mke mwenzie hajafanikiwa kupata mtoto ni maumivu tosha bado umrushe roho kweli jamaniiii
Nahisi huyo isihaka alirogwa sio bure
Mi alikuwa ananiboa sana,najua ni wengi alikuwa anatuboa kwa mikogo yake sijui sukari ya isihaka khaaa alafu hana huruma kwa mke mwenzie hajafanikiwa kupata mtoto ni maumivu tosha bado umrushe roho kweli jamaniiii
Nahisi huyo isihaka alirogwa sio bure
Sure[emoji23][emoji23][emoji23]haina noma lakini jamaa kaacha chata lake.....kumuhudumia demu mwenye life la insta si mchezo
Another nyange case studyIsiaka hana hamu, aliingia kwenye ndoa ya mke wa pili akiwa na mke waliejenga nae nyumba. Sasa hivi amefilisika kabisa lakini amepata mtoto.
Swali ni kuwa kama alishindwa kumpa mimba Sabra, na Queen alichepuka juzi, tutajuaje kama mtoto ni wa Isiaka kweli?na
Nawakumbusha tu watu kama kina warumi wanaonuka midomo ndo wanakuwaga na story nzuri kama hiziIla hii familia Ina nuksi kwenye masuala ya ndoa, familia Nzima hakuna mwenye ndoa ya kueleweka. Isihaka kashajua Queen Darleen hana undugu na Diamond kaamua kumuacha(jokes[emoji16])
Umbea wq chini chini unadai queen darleen kalambwa talaka tatu na aliyekua mumewe, chanzo bado hakijajulikana
Afu huyo mwanaume atarudi kwa mkewe wa kwanza kuomba msamaha. KhaaaahMmmh baada ya kuhangaika weee akafanikiwa kumtoa bi mkubwa tena kwa talaka tatu hata hajatawala vizuri nae kasombwa na mafuriko ya talaka aiseee.
Wacha weee, mjini patamu sihami aseeeeh.Baada ya 40 ya mtoto uchumi uliyumba, kwa kuwa mujini ni status dada alikigawa akapata hela ya kutengenezea video ya mwimbo mpya.
Mambo ni vururu tyuuuh.Isiaka hana hamu, aliingia kwenye ndoa ya mke wa pili akiwa na mke waliejenga nae nyumba. Sasa hivi amefilisika kabisa lakini amepata mtoto.
Swali ni kuwa kama alishindwa kumpa mimba Sabra, na Queen alichepuka juzi, tutajuaje kama mtoto ni wa Isiaka kweli?
Sio kurogwa Mkuu itakuwa alimpaa TigowebMi alikuwa ananiboa sana,najua ni wengi alikuwa anatuboa kwa mikogo yake sijui sukari ya isihaka khaaa alafu hana huruma kwa mke mwenzie hajafanikiwa kupata mtoto ni maumivu tosha bado umrushe roho kweli jamaniiii
Nahisi huyo isihaka alirogwa sio bure
Na usi rudi humu ππNa wewe hii Avatar yako sio salama kwa ndoa zetu, ngoja mimi nilog out tu