Pre GE2025 Ndoa ya serikali ya Samia, CHADEMA na wanaharakati dhidi ya Magufuli sasa imevunjika rasmi

Pre GE2025 Ndoa ya serikali ya Samia, CHADEMA na wanaharakati dhidi ya Magufuli sasa imevunjika rasmi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ilikuwa jambo la muda tu kugeukana maana wanafiki siku zote muda huwaumbua ,

Walijikusanya wakapanga wakatekeleza kisha wakatoka huko walipo wakatangaza kifo cha jpm na kuamua kufunika yote mazuri aliyoyafanya.

Eti waliungana kulinda demokrasia ya nchi, uhuru, utawala bora, utawala wa sheria, kufungua nchi kwa kilicho itwa eti MARIDHIANO kiko wapi Mungu amewabua wamegawanyika katika njia saba.

Rais Samia akasema "hakukuwa na nidhamu wakati wa utawala wa Magufuli bali li simba la Yuda linawakoromea ".

Tukaambiwa lisu ,lema , ngurumo,manji na wengine wanakuja kuishi Tanzania kwa kuwa sasa hakuna misuguano na Magufuli maana tayari amesha kufa.

Akaja Nape akasema kwa sasa "nchi imetulia Mungu ameamua ugomvi"

Mnafki mpe muda tu

USSR

Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Kwa kweli twamshukuru sana Mungu wetu Mkuu kwa kutuondolea lile dhalimu.
Nchi imetulia ss hv
 
Nchi ilikuwa inaenda alijono ndugu kipindi Cha like dubwana. Acha iebde vizuri chini ya mama. Huoni wawekezaji wameongezeka? Utalii je? Mahoteli yaliyofungea je? Kwa Sasa Ngurdoto imerudi kwa Kasi na mahotel mengine kibao
Hayo ndo mambo wasiyoyapema wafuasi wa lile shetani la Chato
 
Ilikuwa jambo la muda tu kugeukana maana wanafiki siku zote muda huwaumbua ,

Walijikusanya wakapanga wakatekeleza kisha wakatoka huko walipo wakatangaza kifo cha jpm na kuamua kufunika yote mazuri aliyoyafanya.

Eti waliungana kulinda demokrasia ya nchi, uhuru, utawala bora, utawala wa sheria, kufungua nchi kwa kilicho itwa eti MARIDHIANO kiko wapi Mungu amewabua wamegawanyika katika njia saba.

Rais Samia akasema "hakukuwa na nidhamu wakati wa utawala wa Magufuli bali li simba la Yuda linawakoromea ".

Tukaambiwa lisu ,lema , ngurumo,manji na wengine wanakuja kuishi Tanzania kwa kuwa sasa hakuna misuguano na Magufuli maana tayari amesha kufa.

Akaja Nape akasema kwa sasa "nchi imetulia Mungu ameamua ugomvi"

Mnafki mpe muda tu

USSR

Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Kwamba hatujui tofauti ya utawala wa dhalimu Magufuli na huu wa bibi mkojani? Hata sasa itokee tofauti kiasi gani, hakuna namna yoyote tunaweza kuona utawala wa dhalimu Magufuli ulikuwa sawa.
 
Hapa naona vijana wa Magu wanaforce mzee akumbukwe, maana maza anampiga gap kila idara. Kweli kuongoza ni akili
 
Kwamba hatujui tofauti ya utawala wa dhalimu Magufuli na huu wa bibi mkojani? Hata sasa itokee tofauti kiasi gani, hakuna namna yoyote tunaweza kuona utawala wa dhalimu Magufuli ulikuwa sawa.
Tatizo nyie hamuwezi siasa za ustaarabu wacha mpambane sasa

USSR

Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
 
Hapa naona vijana wa Magu wanaforce mzee akumbukwe, maana maza anampiga gap kila idara. Kweli kuongoza ni akili
Wanaumia sana kila wanapoona mafanikio ya Mama wanatamani iwe jitu lao ndo lilofanya.

Ni hv ht km Mama ana mapungufu kiasi gani lkn kamwe hatutotamani turudi tulikotoka kwa jitu hatari kama lile
 
Wanaumia sana kila wanapoona mafanikio ya Mama wanatamani iwe jitu lao ndo lilofanya.

Ni hv ht km Mama ana mapungufu kiasi gani lkn kamwe hatutotamani turudi tulikotoka kwa jitu hatari kama lile
Mafanikio ya demokrasia hii hii ya jeshi kufanya usafi huku watu wakiandamana

USSR

Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom