Ndoa ya Victor Boniface yaota mbawa

Mjukuu wa kigogo

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2023
Posts
445
Reaction score
1,094
Matarajio ya straika Mnijeria Victor Boniphace kufunga ndoa na mchumba wake mrembo wa Norway Rikke Ermine yamezikwa rasmi baada ya kutokea mtafaruku wa kimakubaliano.Mrembo Rikke Ermine akiweka sharti moja wafunge ndoa ila kwa masharti ya kwamba endapo wakiachana wagawane mali kwa 50-50 kitu ambacho Victor Boniphace hakuafiki

 

Hatari,Ndio maana niko Single na wanangu
 
Binti anaonekana ni specialist wa yale mambo ya utandawazi! Ukimuangalia kwa jicho la mbali kabisa namna alivyotoa ulimi wake kuigusa hiyo medali, utagundua kitu. 😎
 
Wapo wapi wazee wa ndoa ni utapeli...
 
Huyo mchumba hana hata tako halafu anataka mali pasu kwa pasu? Bora kijana kashtuka
 
iyo inaitwa 50%-50%..............Kweli siku hizi Mapenzi hakuna watu wanawaza mali tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…