Ndoa ya wake wengi si haki kwa Wazungu, kwa nini?

Mwanagenzi

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2006
Posts
738
Reaction score
273
Nimekuwa najiuliza kwa nini haki za binadamu za ki-Magharibi hazikubali ndoa za mke zaidi ya mmoja?

Nchi kadhaa za Ulaya zimeharamisha ndoa za mke zaidi ya mmoja, japo ziko tayari kuruhusu matumizi ya bangi na ndoa za jinsi moja, kwa mfano!

Nchi hizo katika kutetea haki za binadamu zinapinga adhabu ya kifo na zinatetea sana uhuru na haki za mtu binafsi. Lakini inapokuja kwenye mwanaume kuoa mke zaidi ya mmoja haikubaliki, kwa nini?
 

Mkuu Mwanagenzi tatizo lako hasa ni nini? Kama wewe hapa nchini unaruhusiwa kufanya hivyo si mambo yanakwisha. hao wana maisha yao ktk nchi zao pamoja na utaratibu wao wa maisha. Basi kama utakuwa na nafasi kidogo nieleze tatizo lako.
 
Ndoa ya mke zaidi ya mmoja ni haramu kwa mkristo..!
 
Hawana time. Wako busy. Baadhi ya wabongo wanamind mapenzi zaidi ya kazi ndo maana tupo nyuma kimaendeleo.
 
Mkuu Kunajamii yawazungu wanahuo utamaduni pia' tena niwakristo nawanashiriki kweny ibada' kuna kipindi kinarushwa national geographic channel na tlc' wanaeleza kuhusu maisha yao...
Kama sikosei kipindi kinaitwa 'meet the polygamist..
 
haaaa haaaaa mkuu rudia kusoma concept ya civilization ndo wazungu wanavyosema sasa sijui na homosexual ni civilization
 
Mi naona kama suala la ndoa ni la mtu binafsi zaidi, na ndiyo maana nastaajabu kuona serikali inaingilia, na sioni kama uhuru huu unaathiri jamii pana! Wakati huo huo serikali hizo hizo zinaruhusu ndoa za jnsi moja!

Kama ni suala la Ukristo kwa nini serikali iingilie ilhali serikali haipaswi kuegemea dini au imani moja?
 

Wana matatizo ya nguvu za kiume!!!!
 
Sio kweli, hakuna nchi iliyoharamisha ndoa ya wake zaidi ya mmoja, ungesema tu kuwa raia wa nchi hizo hawaoni kama ni jambo la maana kuoa wake wengi, Lakini sio kweli kwamba sheria zinakataza.
 
Ni nchi gani hiyo iliyozuia watu kuoa wake wengi?
 
kuoa mke mmoja ni kujishusha kwa mwanaume,mbwa guzaa mpaka watoto kumi lakini mbwa hawajawahi kuwawengi duniani pamoj na kuwa mbwa haliwi.mungu kaleta wanawake wengi kwa ajili maalum na wenye akili tunajua.
 
Ndoa ya mke zaidi ya mmoja ni haramu kwa mkristo..!

sasa kama ni haram kwa mkristo mbona Slaa ana wake wengi? maaba anae mushumbusi na rose kamili au kwa yeye anaruhusiwa kwa kuwa ni Padri?
 
vipi kuwa na mahawara zaidi ya mmoja nayo imekatazwa au hiyo ruksa?
 
vipi kuhusu ndoa ya jinsia moja,maana nasikia ndoa hizi zinaruhusiwa ktk baadhi ya makanisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…