Ndoa ya wake wengi si haki kwa Wazungu, kwa nini?

Ndoa ya wake wengi si haki kwa Wazungu, kwa nini?

Khaa!! Achana na hizo stories. Hivi hauwezi kujenga mfumo wako unaokufaa zaidi ya kufuata mambo ya waarabu na wazungu??:A S 39:

Upi unaofaa ambao unadhani hautafanana na any among those?
 
Haikubaliki kuoa mke zaidi ya mmoja kwa vile haikubaliki pia mwanamke mmoja kuolewa na mwanaume zaidi ya mmoja!
Kama inatokea hivyo ni mabavu na si utashi wa mtu binafsi!
 
Upi unaofaa ambao unadhani hautafanana na any among those?
Khaa!! Mbona ipo lakini nyie ndiyo mnajifanya vipofu. Nyie mkifuata mila za waarabu au wazungu mnajiona wa maana kweli. Jiondoe kwenye utumwa bana. Tunayo yetu na inatufaa kwa mazingira yetu :bange:
 
Mkristo yupi yule aliyekutwa na bikira yake au hawahawa wanaochocholewa na kila mtu? mambo ya kujiongopea tu hayo hakuna ndoa ya mke mmoja duniani watu wanagegedana kama wanyama halafu wanahubiri wasichokiishi au ndoa ni kile cheti kinachotolewa na kasisi shoga?

kwa hiyo hao waislam ndo mabikra na hawachocholewi? zero kabisa
 
Back
Top Bottom