simbamzeewamwakidila
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 1,447
- 378
Bongo movieHuyu dada ni nyota gani?
Kumbe hata wewe haikuhusu.Mkuu kama hujui yote haya kuhusu huyu dada basi ujue habari haikuhusu.
Anyway, mimi pia simjui nasubiri ujibiwe na mimi niokotezee hapo.
Huyo SDF na wewe mlishindwana?
kwani amekwambia ana tatizo ?Namshaur aokoke Yesu atayaondoa mapepo yake yote ya kukataliwa, wastara kimbilia kwa Yesu haraka sana hilo ndo suluhisho kwa hakuna zaid ya Yesu
kwa Akili za kawaida unaona hana tatizo? Umesoma iyo mada vizur?kwani amekwambia ana tatizo ?
Usije mjini.....Maelezo ya kina tafadhari kwa mfano, Wastara anajishughulisha na ...................
Aliolewa tarehe ...................na fulani .......
Kaachwa kwa sababu ya ......................
Sio wote tunawajua watu wote hapa mjini.
WSTR kaponzwa na tamaa ya ku-do
Kweli bongo nyosso, bongo balaa..Siku hizi wazee wa "hit and run" wana mbinu za kidigitali, anakukabidhi gari au kandoa ka kizushi.
Kesho tuu hapa Yesu anaenda kusalitiwa...sembuse wastara....Namshaur aokoke Yesu atayaondoa mapepo yake yote ya kukataliwa, wastara kimbilia kwa Yesu haraka sana hilo ndo suluhisho kwa hakuna zaid ya Yesu
Si kila habari inamhusu kila mtu. Nyingine unapotezea.Mkuu kama hujui yote haya kuhusu huyu dada basi ujue habari haikuhusu.
Anyway, mimi pia simjui nasubiri ujibiwe na mimi niokotezee hapo.