Kwa waislamu kuvunja ndoa ni jambo dogo sana, kwanza anayeolewa huwa ni baba mtu sasa bond iko wapi? nimehudhulia hizi ndoa za kiislamu baba ndio anakaa na muowaji badala ya muolewaji awepo aulizwe kwamba anakubali kuolewa kwa mahali kadha wa kadha. kuna tatizo sehemu kwenye hizi ndoa, hazina serious bond.
Kama mtu ana mihemko yake shauri yake anitafsiri awezavyo ila mimi ni Team Trump tunaongeaga ukweli tu na si kupepesa.
Una uhakika na ulichoandika? Wewe unaijua ndoa ya kiislam na masharti yake? Mkuu uliza kwa wanaoelewa sio kukurupuka tu, hivi kwa nini upande wa pili mnajifanya ( baadhi) mnaujua sana uislam? Ndoa ya kiislam ni ngumu na ina masharti magumu kuliko hiyo yako, hivi kweli mwenye akili timamu unaweza kusema baba ndiye anayeolewa!! yaani baba zetu ndio wanaoolewa kuwa na heshima basi
Yawezekana ana tembea na mfugo mwilini.Huyu nae sijui ni gundu au ni nin asee!
Hilo jamaa lilitaka kupiga msasa tu halina jipya
Maelezo ya kina tafadhari kwa mfano, Wastara anajishughulisha na ...................
Aliolewa tarehe ...................na fulani .......
Kaachwa kwa sababu ya ......................
Sio wote tunawajua watu wote hapa mjini.