Ndoa yangu changa inataka kuniua

Dah! ila huyo mke wako bwana[emoji16][emoji16][emoji16]

Inawezekana kuna kitu anakifanya huko kwao au sehemu nyingine ambacho kinahitaji hela, heba ongea naye afunguke.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo isue ndogo sana mkuu! Weka hela peupe tu usifiche pia tumia Teknolojia sana hasa cctv za siri. Weka hela makusudi uwe unamshika kabisa na kuonekana ni yeye amefanya. Ukimsha mshika unamwita unamuonesha unakaa kimya unaendelea na mishe zako kama hujamkamata vile. Silence is more powerful than proving a point. Pia jitahidi usitoe siri za mke wako kwa watu akija jua unafanya hivyo uwa wanamaamuzi ya kijinga mtunzie siri zake ataacha tu.
 
Umeshauri kwa akili sana
 
NDOA DOA OA AAAAA
 
Kama ningekuwa mwanaume nisingeweza kuishi na mwanamke mchafu, mimim ni msafi hatari, umesema mwizi? achana nae tafuta mchepuko. Wanawake wako wengi kwa nini ujitese kha!
 
Sasa anajiibia hadi yeye mapazia ya kupendezesha nyumba yake,na kwann anakuwa hivyo au humpi hela ya mahitaj yake binafsi kwann haridhik
 
Daaaahhh mkuu pole sanaaa aiseee hii dunia ina watu🥺🥺
 
Kunavitu havihitaji ushauri mwingi maana maamuzi yanatokea baada ya matendo, hata hivyo unajitahidi maana sio kwa matendo hayo halafu unakuja kuomba ushauri,,,, kunavitu vya kuomba ushauri vingine unatakiwa Halmashauri ya kichwa ikae na kutoa maamuzi.

Hafai huyo mwanamke japo unampenda lakini yeye hakupendi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…