Unampiga pumb.u vyema?, sio kwamba anafikisha ujumbe kimtindo, kimoko chalii.Habari wakuu,
Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu.
Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila huu mwaka wa 6 umekuwa na heka heka nyingi mno.
Mambo ni mengi sana ila Leo tuanzie hapa.
MKE WANGU ANANIONA MIMI NI MZEE KWAKE
Mimi na yeye tumepisha umri wa miaka 6 yaani nimempita miaka 6 ya kuzaliwa
LEO ananiambia "wewe umenipita miaka mingi sana, yaani miaka 6 ni mingi sana, ilitakiwa angalau unipite miaka 2, wewe ni mkubwa sana kwangu, ilitakiwa tupishane miaka 2, ulinioa nikiwa mdogo, kwani hukujua kuwa umenipita miaka mingi."
Mimi nilikaa zangu kimya nikitafakari maneno yake, inanishangaza kuniona Mimi ni mzee Kwake, najiuliza maswali kama Leo sijafikisha hata miaka 40 lakini ananiona age go, je? Uzeeni si ataninyanyasa sana.
Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.
NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
1:ukitoka nyumbani hakikisha unapendeza vzr mno,Kimavazi,ndevu,nyeweHabari wakuu
Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu.
Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila huu mwaka wa 6 umekuwa na heka heka nyingi mno.
Mambo ni mengi sana ila Leo tuanzie hapa.
MKE WANGU ANANIONA MIMI NI MZEE KWAKE
Mimi na yeye tumepisha umri wa miaka 6 yaani nimempita miaka 6 ya kuzaliwa
LEO ananiambia "wewe umenipita miaka mingi sana, yaani miaka 6 ni mingi sana, ilitakiwa angalau unipite miaka 2, wewe ni mkubwa sana kwangu, ilitakiwa tupishane miaka 2, ulinioa nikiwa mdogo, kwani hukujua kuwa umenipita miaka mingi."
Mimi nilikaa zangu kimya nikitafakari maneno yake, inanishangaza kuniona Mimi ni mzee Kwake, najiuliza maswali kama Leo sijafikisha hata miaka 40 lakini ananiona age go, je? Uzeeni si ataninyanyasa sana.
Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.
NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
Ashaanza kuchapwa njeDuuuh hana akili huyo.
Sooni utaanza kuchapiwa, anza kujiandaa kwa lolote lile.
Kama badoDuuuh hana akili huyo.
Sooni utaanza kuchapiwa, anza kujiandaa kwa lolote lile.
Ajuza ni mwanamke mzee kikongwe.Ni hilo tu au kuna jingine umetuficha?
Umri wako unamuathiri nini yeye?
Ukute kuna mahali hujagusa na ameguswa na mtu huko mtaani basi anakuona wewe ajuza
Angalia ulipokosea urekebishe mkuu
Hehehe hongereni dada ila Jina lako zuri mashaallahAmepata kijana nje anapiga show kinyama anakuona mzee.
Na 34 mume wangu 57 tuna tofauti ya miaka 20+ na simuoni mzee.
Wewe huwajui wanawake.Na huu ndio ukweli maana tofauti ya miaka 6 hawezi kuongea hivyo labda kama ilikuwa kwenye muktadha wa kimasihara ila kama alikuwa serious basi sababu ni hii bila kupepesa macho. Kuna mahali jemedari anatuangusha
Kazi kweli kweli.....Habari wakuu,
Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu.
Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila huu mwaka wa 6 umekuwa na heka heka nyingi mno.
Mambo ni mengi sana ila Leo tuanzie hapa.
MKE WANGU ANANIONA MIMI NI MZEE KWAKE
Mimi na yeye tumepisha umri wa miaka 6 yaani nimempita miaka 6 ya kuzaliwa
LEO ananiambia "wewe umenipita miaka mingi sana, yaani miaka 6 ni mingi sana, ilitakiwa angalau unipite miaka 2, wewe ni mkubwa sana kwangu, ilitakiwa tupishane miaka 2, ulinioa nikiwa mdogo, kwani hukujua kuwa umenipita miaka mingi."
Mimi nilikaa zangu kimya nikitafakari maneno yake, inanishangaza kuniona Mimi ni mzee Kwake, najiuliza maswali kama Leo sijafikisha hata miaka 40 lakini ananiona age go, je? Uzeeni si ataninyanyasa sana.
Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.
NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
Bravo! Umedig deep sana hiyo ndiyo wanasema " THE MIDDLE OF NOWHERE".Ameshindwa kukwambia ukweli wake anaougulia moyoni. Humridhishi.
Mwanamke anayetombwa vizuri kisawasawa akakunwa akakunika hawezi kumwambia mumewe wa ndoa lugha mbovu /chafu / isiyo na staha kama hayo maelezo unayosema kakuumbia mkeo. Tafsiri yake ni kwamba keshakuchoka kwasababu ni dhahiri alikubali kuolewa na wewe kwakuwa ulimtangazia "ndoa". Anakufananisha na fulani anaona mbona yule alikuwa akimtomba anamfikisha lakini kwako haumfikishi!? Labda kwakuwa umemzidi umri (umezeeka).
NDOA ni neno dogo sana lenye maana kubwa mno katika maisha yetu wanadamu. Neno hilo linawatesa mno wanawake. Moja ya mambo yanayompagawisha mwanamke ni kuambiwa ataolewa.
Wengi wao huwa wanaishia kufikiria tu namna atavaa, kukata keki, kupigiwa shamrashamra na vigelegele ,watu watakavyomuona alivyopambwa na mengineyo. Badala ya kuzama kwa kina kufikiria ndoa ni nini hasa kwa mapana yake.
Matokeo yake wanawahi sana kuchoka hasa kwakuwa matarajio yake makubwa aliyokuwa akiwaza haoni matokeo ya harakaharaka (ke, wengi wao hawana subira) wanatamani vitu vya upesiupesi unaamka leo unataka kitu fulani kesho umeshakipata.....kiaje, hawajiulizi maana wengi wao wamekuzwa kwenye kuamini kwamba mume anaweza Kila kitu.
Hiyo ni ishara mbaya sana. Mke wangu akifikia hatua ya kuniambia maneno kama hayo sitopata kigugumizi kuchukua hatua mapema sana maana nakuwa nimeshapewa warning sign ya kwamba ipo siku ataachana na Mimi.
[Maneno yangu sio sheria]
Hakuna mahusiano ya ke kuridhishwa na kusaidiwa nje ke unaweza ukawa unampa hela unatunza vyema unaridhisha na akaamua tu kukupiga matukio ingawaje kumridhisha mwenzio ni muhimu kama sio lazimaAmeshindwa kukwambia ukweli wake anaougulia moyoni. Humridhishi.
Mwanamke anayetombwa vizuri kisawasawa akakunwa akakunika hawezi kumwambia mumewe wa ndoa lugha mbovu /chafu / isiyo na staha kama hayo maelezo unayosema kakuumbia mkeo. Tafsiri yake ni kwamba keshakuchoka kwasababu ni dhahiri alikubali kuolewa na wewe kwakuwa ulimtangazia "ndoa". Anakufananisha na fulani anaona mbona yule alikuwa akimtomba anamfikisha lakini kwako haumfikishi!? Labda kwakuwa umemzidi umri (umezeeka).
NDOA ni neno dogo sana lenye maana kubwa mno katika maisha yetu wanadamu. Neno hilo linawatesa mno wanawake. Moja ya mambo yanayompagawisha mwanamke ni kuambiwa ataolewa.
Wengi wao huwa wanaishia kufikiria tu namna atavaa, kukata keki, kupigiwa shamrashamra na vigelegele ,watu watakavyomuona alivyopambwa na mengineyo. Badala ya kuzama kwa kina kufikiria ndoa ni nini hasa kwa mapana yake.
Matokeo yake wanawahi sana kuchoka hasa kwakuwa matarajio yake makubwa aliyokuwa akiwaza haoni matokeo ya harakaharaka (ke, wengi wao hawana subira) wanatamani vitu vya upesiupesi unaamka leo unataka kitu fulani kesho umeshakipata.....kiaje, hawajiulizi maana wengi wao wamekuzwa kwenye kuamini kwamba mume anaweza Kila kitu.
Hiyo ni ishara mbaya sana. Mke wangu akifikia hatua ya kuniambia maneno kama hayo sitopata kigugumizi kuchukua hatua mapema sana maana nakuwa nimeshapewa warning sign ya kwamba ipo siku ataachana na Mimi.
[Maneno yangu sio sheria]