Mzibua Vyoo
Senior Member
- Nov 8, 2023
- 108
- 241
Asante dadaMiaka6 kwenye ndoa na ana miaka 28 maana take mlioana akiwa na miaka 22. Huyo alikuwa hajamaliza stage ukakimbilia kumuoa na sasa anaona aliidhulumu nafsi yake.
Mkiambiwa muoe mishangazi ya25+ mnakataa mnakimbilia watoto😂😂😂ona sasa anakuona babu yake. Ipo siku atakuambia ulimbaka.
Yapi hayo jmn 😃Hivi wewe ushamaliza yote? kuna issue nataka tuongee
Wakat ndio kwanza kijana mbichi kabisaIla wanawake tuna nini lakin sasa miaka 34 n mzee😳😳
Hayo kama ya my wife wake na mdauYapi hayo jmn 😃
Mimi nalea wajukuu sahiz😄Hayo kama ya my wife wake na mdau
That is a huge red flag. Mkeo anakujengea hoja kisaikolojia ya kwenda kuliwa nje. Amempata bodaboda ndo maana anakuambia huo upuuzi. Kwani ulimlazimisha kuolewa?Habari wakuu,
Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu.
Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila huu mwaka wa 6 umekuwa na heka heka nyingi mno.
Mambo ni mengi sana ila Leo tuanzie hapa.
MKE WANGU ANANIONA MIMI NI MZEE KWAKE
Mimi na yeye tumepisha umri wa miaka 6 yaani nimempita miaka 6 ya kuzaliwa
LEO ananiambia "wewe umenipita miaka mingi sana, yaani miaka 6 ni mingi sana, ilitakiwa angalau unipite miaka 2, wewe ni mkubwa sana kwangu, ilitakiwa tupishane miaka 2, ulinioa nikiwa mdogo, kwani hukujua kuwa umenipita miaka mingi."
Mimi nilikaa zangu kimya nikitafakari maneno yake, inanishangaza kuniona Mimi ni mzee Kwake, najiuliza maswali kama Leo sijafikisha hata miaka 40 lakini ananiona age go, je? Uzeeni si ataninyanyasa sana.
Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.
NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
Acha kumdanganya, eti aanze kuchapiwa.Duuuh hana akili huyo.
Sooni utaanza kuchapiwa, anza kujiandaa kwa lolote lile.
Fuata huo ushauri, mimi naongezea miaka 3 iwe ni kabinti ka miaka 25. Zalisha mwanaume. Acha ajue kwa wakati wakeKatafute mwanamke mrembo na mzuri hasa, miaka 22. Tayari jibu unalo.
Huyo bado kijana mdg kbs apo wangekaa chini km kuna tatz waelezane ss cha kumwambia mwenzie mzee n nn sasa jmnWakat ndio kwanza kijana mbichi kabisa
Chukua hiyo point zipumbovu itakusaidia maishani.kabisa,ukute huyo mme mwenzako ndio Ali comment kuwa aliolewa mapema na wewe ni Mzee kwake!anyway jiandae Kwa vita "soon moto utawaka so long as kuna moshi"
Achapiwe mara ngapi mwambie ukweli kakutana na vijana wadogo wanasimamia mpaka kucha ndio maana ana muona jamaa yetu mzee😂 vijana wadogo wanasimamia kucha kama wapo kwenye mashindano ya kugombania kombe la Dunia 😂Duuuh hana akili huyo.
Sooni utaanza kuchapiwa, anza kujiandaa kwa lolote lile.
Sababu;-Habari wakuu,
Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu.
Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila huu mwaka wa 6 umekuwa na heka heka nyingi mno.
Mambo ni mengi sana ila Leo tuanzie hapa.
MKE WANGU ANANIONA MIMI NI MZEE KWAKE
Mimi na yeye tumepisha umri wa miaka 6 yaani nimempita miaka 6 ya kuzaliwa
LEO ananiambia "wewe umenipita miaka mingi sana, yaani miaka 6 ni mingi sana, ilitakiwa angalau unipite miaka 2, wewe ni mkubwa sana kwangu, ilitakiwa tupishane miaka 2, ulinioa nikiwa mdogo, kwani hukujua kuwa umenipita miaka mingi."
Mimi nilikaa zangu kimya nikitafakari maneno yake, inanishangaza kuniona Mimi ni mzee Kwake, najiuliza maswali kama Leo sijafikisha hata miaka 40 lakini ananiona age go, je? Uzeeni si ataninyanyasa sana.
Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.
NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
Hawa wanawake wapo vizuri kwenye kuroga ndugu yangu!That is a huge red flag. Mkeo anakujengea hoja kisaikolojia ya kwenda kuliwa nje. Amempata bodaboda ndo maana anakuambia huo upuuzi. Kwani ulimlazimisha kuolewa?
Hapo huna chako, tafuta mke mwingine uoe na hakikisha anajua kama umeoa.
Una miaka mingapi binti?Asante dada
Wanatuona sio wife material🤣🤣🤣
Siyo ataanza kuchapiwa yaani hapo tayari jimbo lishavamiwa na wa umri mdogo so analinganisha na kama haupigi pipe vizuri anahisi ni kwasababu ya umri so mwamba anatakiwa apige mashine hasa ili amprove wrong kwa anachokihisi.Duuuh hana akili huyo.
Sooni utaanza kuchapiwa, anza kujiandaa kwa lolote lile.