Kwa wasio amini basi mfano hai huu hapa.Hata tukiwa na miaka 70 bado tunakuwa na uwezo wa kula mizigo
Mkuu kwa umri wako wa 34 ulistahili kuwa na mke mwenye miaka 22 hadi 24 sio zaidi ya hapo.Habari wakuu,
Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu.
Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila huu mwaka wa 6 umekuwa na heka heka nyingi mno.
Mambo ni mengi sana ila Leo tuanzie hapa.
MKE WANGU ANANIONA MIMI NI MZEE KWAKE
Mimi na yeye tumepisha umri wa miaka 6 yaani nimempita miaka 6 ya kuzaliwa
LEO ananiambia "wewe umenipita miaka mingi sana, yaani miaka 6 ni mingi sana, ilitakiwa angalau unipite miaka 2, wewe ni mkubwa sana kwangu, ilitakiwa tupishane miaka 2, ulinioa nikiwa mdogo, kwani hukujua kuwa umenipita miaka mingi."
Mimi nilikaa zangu kimya nikitafakari maneno yake, inanishangaza kuniona Mimi ni mzee Kwake, najiuliza maswali kama Leo sijafikisha hata miaka 40 lakini ananiona age go, je? Uzeeni si ataninyanyasa sana.
Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.
NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
Daaaah, hii ni hatari sana.Muda huo alikuwa anatak ndoa now anatak uhuru
Chunguza baada ya muda utapata jibu
Na ndio ndoa inadumu sababu same age au gap ndogo ndio yale mwanamme kutafuta michepuko sababu tukubali ni nature mwanamke anakuwa haraka kuliko mwanamme ukiowa watu same age mkifika wote 40 mtu anaweza kudhani unatembea nje na shangazi yako. Nilishawahi kwenda kwa rafiki yangu Canada akaja mke wake kutopokea airport nilivyomuona nilishani Mama yake kaja kumpokea ila nikaona kam kiss nikashangaa ehhh mkewe huyu basi nikanyamaza tu ila moyoni nikasema mimi siwezi nikaanza kumuonea huruma jamaa yangu ila ndio hivyo, wako same age lakini kwa macho tofauti, si unajuwa wenzetu wanakutana vyuoni wanapendana. Ila kwa mimi hapana, mke lazima awe mdogo kwa mume.Amepata kijana nje anapiga show kinyama anakuona mzee.
Na 34 mume wangu 57 tuna tofauti ya miaka 20+ na simuoni mzee.
Rudisha mashambulizi counter attack, mwambie nimeowa lakini mwanamke mkubwa nilitakiwa nachukuwa 20Yrs hivi atashusha mapanga mwenyewe.Habari wakuu,
Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu.
Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila huu mwaka wa 6 umekuwa na heka heka nyingi mno.
Mambo ni mengi sana ila Leo tuanzie hapa.
MKE WANGU ANANIONA MIMI NI MZEE KWAKE
Mimi na yeye tumepisha umri wa miaka 6 yaani nimempita miaka 6 ya kuzaliwa
LEO ananiambia "wewe umenipita miaka mingi sana, yaani miaka 6 ni mingi sana, ilitakiwa angalau unipite miaka 2, wewe ni mkubwa sana kwangu, ilitakiwa tupishane miaka 2, ulinioa nikiwa mdogo, kwani hukujua kuwa umenipita miaka mingi."
Mimi nilikaa zangu kimya nikitafakari maneno yake, inanishangaza kuniona Mimi ni mzee Kwake, najiuliza maswali kama Leo sijafikisha hata miaka 40 lakini ananiona age go, je? Uzeeni si ataninyanyasa sana.
Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.
NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
Haya yote kwasababu mwanamke amebaki peke yake duniani au?ukipata hela kiasi badilishamazingira mtoe out at least hata Kwa weekend nzima au mnaenda na kurejea next day,hii mtoe kabisa mjini.
4:mnunulie zawadi as surprise mara mojamoja unaporejea nyumbani.
In nutshell mfanye km vile ndio mnaanza upya mapenzi yenu,ilakunauwezekano kuna jamaa amempenda or anamtongoza wife or kuna moshi unawaka chinichini fuatilia ujue undani
Sio soon,ukiona hivyo ujue anachapiwa tayari..Mwanamke akianza wewe mfupi ujue kapata mrefu,Wewe mnene ujue kakutana na mwembamba,Sasa jamaa kaambiwa Mzee,ujue mke kakutana na moto au kijana wa wa 2000sDuuuh hana akili huyo.
Sooni utaanza kuchapiwa, anza kujiandaa kwa lolote lile.
Mkuu Pole ulioa mwanamke hukuoa mkeHabari wakuu,
Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu.
Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila huu mwaka wa 6 umekuwa na heka heka nyingi mno.
Mambo ni mengi sana ila Leo tuanzie hapa.
MKE WANGU ANANIONA MIMI NI MZEE KWAKE
Mimi na yeye tumepisha umri wa miaka 6 yaani nimempita miaka 6 ya kuzaliwa
LEO ananiambia "wewe umenipita miaka mingi sana, yaani miaka 6 ni mingi sana, ilitakiwa angalau unipite miaka 2, wewe ni mkubwa sana kwangu, ilitakiwa tupishane miaka 2, ulinioa nikiwa mdogo, kwani hukujua kuwa umenipita miaka mingi."
Mimi nilikaa zangu kimya nikitafakari maneno yake, inanishangaza kuniona Mimi ni mzee Kwake, najiuliza maswali kama Leo sijafikisha hata miaka 40 lakini ananiona age go, je? Uzeeni si ataninyanyasa sana.
Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.
NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
Umemzidi miaka 6 na anakuona Mzee?Habari wakuu,
Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu.
Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila huu mwaka wa 6 umekuwa na heka heka nyingi mno.
Mambo ni mengi sana ila Leo tuanzie hapa.
MKE WANGU ANANIONA MIMI NI MZEE KWAKE
Mimi na yeye tumepisha umri wa miaka 6 yaani nimempita miaka 6 ya kuzaliwa
LEO ananiambia "wewe umenipita miaka mingi sana, yaani miaka 6 ni mingi sana, ilitakiwa angalau unipite miaka 2, wewe ni mkubwa sana kwangu, ilitakiwa tupishane miaka 2, ulinioa nikiwa mdogo, kwani hukujua kuwa umenipita miaka mingi."
Mimi nilikaa zangu kimya nikitafakari maneno yake, inanishangaza kuniona Mimi ni mzee Kwake, najiuliza maswali kama Leo sijafikisha hata miaka 40 lakini ananiona age go, je? Uzeeni si ataninyanyasa sana.
Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.
NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
Kwahiyo hicho ndicho kinacho kufanya ubabaike kisa kuambiwa we mzee achaiyomambo mkuuHabari wakuu,
Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu.
Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila huu mwaka wa 6 umekuwa na heka heka nyingi mno.
Mambo ni mengi sana ila Leo tuanzie hapa.
MKE WANGU ANANIONA MIMI NI MZEE KWAKE
Mimi na yeye tumepisha umri wa miaka 6 yaani nimempita miaka 6 ya kuzaliwa
LEO ananiambia "wewe umenipita miaka mingi sana, yaani miaka 6 ni mingi sana, ilitakiwa angalau unipite miaka 2, wewe ni mkubwa sana kwangu, ilitakiwa tupishane miaka 2, ulinioa nikiwa mdogo, kwani hukujua kuwa umenipita miaka mingi."
Mimi nilikaa zangu kimya nikitafakari maneno yake, inanishangaza kuniona Mimi ni mzee Kwake, najiuliza maswali kama Leo sijafikisha hata miaka 40 lakini ananiona age go, je? Uzeeni si ataninyanyasa sana.
Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.
NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
usijifanye huelewi bro,,,,kula maisha lomba sana hawa GENz wacha kabisa kuwaza ufugaji,,,,,Kila ukiingia humu inaonekana kabisa ndoa ni jambo la hatari sana... Circle ya marafiki zangu wote ambao wameoa muda wote stress, lawama na kushauri kuto kuoa mapema....
Ndani ya ndoa kuna Siri gani ya kutisha sana? 😁
NB.
Mkuu pole sana aisee.
huo niuongo.unatesa wastaafuAmepata kijana nje anapiga show kinyama anakuona mzee.
Na 34 mume wangu 57 tuna tofauti ya miaka 20+ na simuoni mzee.
Hayo ndiyo marupurupu yetu ya kuwa Wanaume hayo.Kwa wasio amini basi mfano hai huu hapa.
View attachment 3165498
Pichani: Baba kafue 70yrs, anataka kuvunja ndoa ya 40yrs, ili abakie na binti wa 30yrs.
(wasifu wa baba kafue: Ana wake wawili wanaotambulika rasmi, huyu wa tatu binti wa 30s ilikuwa ni siri yake, sasa mke mkubwa amejua nini kinachoendelea)
WE bado mtoto sana, subiri kwanza ukue kue, hasa akili ndio utakua kwenye nafasi ya kuyaelewa haya. Kwasasa we shabikia tu kama simba na yangaWewe huchapiwi!?
Red flagHabari wakuu,
Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu.
Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila huu mwaka wa 6 umekuwa na heka heka nyingi mno.
Mambo ni mengi sana ila Leo tuanzie hapa.
MKE WANGU ANANIONA MIMI NI MZEE KWAKE
Mimi na yeye tumepisha umri wa miaka 6 yaani nimempita miaka 6 ya kuzaliwa
LEO ananiambia "wewe umenipita miaka mingi sana, yaani miaka 6 ni mingi sana, ilitakiwa angalau unipite miaka 2, wewe ni mkubwa sana kwangu, ilitakiwa tupishane miaka 2, ulinioa nikiwa mdogo, kwani hukujua kuwa umenipita miaka mingi."
Mimi nilikaa zangu kimya nikitafakari maneno yake, inanishangaza kuniona Mimi ni mzee Kwake, najiuliza maswali kama Leo sijafikisha hata miaka 40 lakini ananiona age go, je? Uzeeni si ataninyanyasa sana.
Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.
NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
Kwamba awe anawaza vipi atamfurahisha mke wake, na kama akifanya hayo Bado akaendelea kudharaulika?.1:ukitoka nyumbani hakikisha unapendeza vzr mno,Kimavazi,ndevu,nyewe
2:Anza kufanya mazoezi hasa km Una kitambi hakikisha unakua athletic.
3: ukipata hela kiasi badilishamazingira mtoe out at least hata Kwa weekend nzima au mnaenda na kurejea next day,hii mtoe kabisa mjini.
4:mnunulie zawadi as surprise mara mojamoja unaporejea nyumbani.
In nutshell mfanye km vile ndio mnaanza upya mapenzi yenu,ilakunauwezekano kuna jamaa amempenda or anamtongoza wife or kuna moshi unawaka chinichini fuatilia ujue undani