Ndoa yangu inateketea

🤣🤣🤣
 
Pole sana mkuu, ila niseme ukweli hili halihitaji kuomba ushauri kwakweli, labda kwakua mimi kidogo akili yangu sio kubwa sana mazee...
Anyways, mlifikia wapi??
 
Mku pigania afya kwanza .Ukipata nguvu fresh fanya kikao utafute maridhiano ikishindikana achaneni kisheria
Kwa mwanaume kama mimi, hili halihitaji maridhiano mazee
 
Mkuu kuna hii mashine huwa nakodisha kwa siku nzima bei nafuu sana inakuja na offer ya risasi saba. Ukipenda unicheki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…