Ndoa za lazima baada ya ushoga kuruhusiwa

Ndoa za lazima baada ya ushoga kuruhusiwa

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Ninajaribu kufikiria baada ya serikali za kishetani zikiongozwa na US zitakapofanikiwa kuzifanya nchi zote Duniani kuwatambua wagonjwa wa akili waliobatizwa jina la wapenzi wa jinsia moja,hatua itakayofuata itakuwa ni kulazimisha ndoa za lazima,yaani kila mwanaume let's say mwenye umri wa miaka labda 24,28 au 35 lazima awe ameoa au kuolewa la sivyo jela itakuwa ndio nyumbani kwake na hapo ndio tutaona mashoga wa kutengenezwa kwani kuna wanaume wenzetu kwa sababu za labda kisukari sugu,ajali,ngiri nk. hawawezi kusimamisha uume zao kwa hiyo watalazimika kutafuta wenza wa kuwaoa ili kulikwepa gereza

hii itawezekana kwa kupitia mbinu mbalimbali na wakati mwingine hata kwa kunukuu maandiko kama vile"Mungu akaona so vyema mtu huyu akae peke take"
 
Hapana, hawatotulazimisha kuoa ila watatuongezea ma-Toy ya kike na ya kiume(Their business) ili kuzidi kuvunja ndoa za me na ke, mwisho wa siku kila kitu kitakuwa artificial.

Pendekezo.

Hayo matoy wawe wanayawekea na switch ya kubadilisha mashepu na umbo la k.
(mnato,ya kihaya,kavu,iliyoumuka,mkauko,jotolidi) 😋😋😋..Basi tutagoma kuoa milele
 
Ninajaribu kufikiria baada ya serikali za kishetani zikiongozwa na US zitakapofanikiwa kuzifanya nchi zote Duniani kuwatambua wagonjwa wa akili waliobatizwa jina la wapenzi wa jinsia moja,hatua itakayofuata itakuwa ni kulazimisha ndoa za lazima,yaani kila mwanaume let's say mwenye umri wa miaka labda 24,28 au 35 lazima awe ameoa au kuolewa la sivyo jela itakuwa ndio nyumbani kwake na hapo ndio tutaona mashoga wa kutengenezwa kwani kuna wanaume wenzetu kwa sababu za labda kisukari sugu,ajali,ngiri nk. hawawezi kusimamisha uume zao kwa hiyo watalazimika kutafuta wenza wa kuwaoa ili kulikwepa gereza

hii itawezekana kwa kupitia mbinu mbalimbali na wakati mwingine hata kwa kunukuu maandiko kama vile"Mungu akaona so vyema mtu huyu akae peke take"
Punguza homophobia
 
Askari wa zenji baba wa familia na watoto, ndoa sio sio njia ya tokomeza ung'ese.
Sasa lile tundu la kuweza kuingiza vidole viwili bila kizuizi mkewe alikuwa halioni hata kujampa sizani kama kulikuwa kuna kizuizi naona huko Zanzibar mashoga wenye wanawake wako wengi tu
 
Sasa lile tundu la kuweza kuingiza vidole viwili bila kizuizi mkewe alikuwa halioni hata kujampa sizani kama kulikuwa kuna kizuizi naona huko Zanzibar mashoga wenye wanawake wako wengi tu
We unaweza kuona tundu la mkeo au mmeo au mpenzi wako kweli.,
 
Ninajaribu kufikiria baada ya serikali za kishetani zikiongozwa na US zitakapofanikiwa kuzifanya nchi zote Duniani kuwatambua wagonjwa wa akili waliobatizwa jina la wapenzi wa jinsia moja,hatua itakayofuata itakuwa ni kulazimisha ndoa za lazima,yaani kila mwanaume let's say mwenye umri wa miaka labda 24,28 au 35 lazima awe ameoa au kuolewa la sivyo jela itakuwa ndio nyumbani kwake na hapo ndio tutaona mashoga wa kutengenezwa kwani kuna wanaume wenzetu kwa sababu za labda kisukari sugu,ajali,ngiri nk. hawawezi kusimamisha uume zao kwa hiyo watalazimika kutafuta wenza wa kuwaoa ili kulikwepa gereza

hii itawezekana kwa kupitia mbinu mbalimbali na wakati mwingine hata kwa kunukuu maandiko kama vile"Mungu akaona so vyema mtu huyu akae peke take"
Banghe sanaa
 
Ninajaribu kufikiria baada ya serikali za kishetani zikiongozwa na US zitakapofanikiwa kuzifanya nchi zote Duniani kuwatambua wagonjwa wa akili waliobatizwa jina la wapenzi wa jinsia moja,hatua itakayofuata itakuwa ni kulazimisha ndoa za lazima,yaani kila mwanaume let's say mwenye umri wa miaka labda 24,28 au 35 lazima awe ameoa au kuolewa la sivyo jela itakuwa ndio nyumbani kwake na hapo ndio tutaona mashoga wa kutengenezwa kwani kuna wanaume wenzetu kwa sababu za labda kisukari sugu,ajali,ngiri nk. hawawezi kusimamisha uume zao kwa hiyo watalazimika kutafuta wenza wa kuwaoa ili kulikwepa gereza

hii itawezekana kwa kupitia mbinu mbalimbali na wakati mwingine hata kwa kunukuu maandiko kama vile"Mungu akaona so vyema mtu huyu akae peke take"
Hofu ni Dhambi kama dhambi zingine..
Kwa nini unaingiwa na hofu ya kuolewa ama kuuowa mwanaume!?
Kwa nini unahisi utalazimishwa kushiriki matendo maovu, ukiwa Binadam mwenye Akili na Utashi!??
Kwa nini tunaupromot huo Uovu, wakati sisi hatupo kwenye kundi la uovu!!??? [emoji848]
Mbona wenye agenda yao hawaupromot kama sisi!??
Kwa nini tunawapa matangazo ya bureee mpaka tumefanya watoto wetu watake kujifunza huo ujinga wa wajinga....
 
Back
Top Bottom