GENTAMYCINE yeye mzanaki sio mkuryaGENTAMYCINE tupe ushuhuda wa hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GENTAMYCINE yeye mzanaki sio mkuryaGENTAMYCINE tupe ushuhuda wa hili
Kwenu rwanda jeeKama unataka Ushuhusa nenda Kanisani kwa Mwamposa Tanganyika Packers Kawe utazisikia nyingi tu zillizojaa Uwongo na Utapeli.
Wadau hamjamboni nyote?
He unafahami ndoa za makaburi wilayani tarime rieya nacserengeti mkoani Mara?
Kwa jamii ya Wakurya wanaoishi katika Wilaya za Tarime, Butiama, Rorya na Serengeti ni jambo la kawaida kuona familia ikichumbia na kuoa binti kwa ajili ya kijana wake wa kiume alifariki dunia kabla ya ndoa, lakini akiwa amefikia umri wa kuoa lakini.
Ndoa za aina hiyo hujulikana kama ndoa ya makaburi, zikimaanisha binti anayechumbiwa huolewa na mwanaume ambaye tayari amefariki dunia na kuzikwa.
Lengo la ndoa za aina hii, wenyeji wanasema ni kuendeleza jina na ukoo wa kijana aliyefariki kabla ya kuoa, kwa kuwa watoto wote wanaozaliwa na mwanamke aliyeolewa kwenye ndoa ya makaburi, huitwa kwa jina la marehemu licha ya ukweli kwamba amewazaa na mwanamume wengine.
Kwa mila na desturi za Wakurya, anayetoa mahari ndiye mwenye haki ya watoto watakaopatikana na wote huitwa jina lake hata kama hajawazaa.
Hii ndiyo maana watoto wanaozaliwa na mwanaume mwingine kwa mwanamke wa Kikurya aliyeolewa kwa kulipiwa mahari na akaachika bila mahari ya mume wa kwanza kurejeshwa, wote uhesabika wa mume wa kwanza aliyetoa mahari.
Kutokana na mila hiyo, mwanamke aliyeolewa katika ndoa ya makaburi yuko huru kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na kuzaa na mwanaume yeyote ampendaye ili kupata watoto wa kuendeleza jina na ukoo wa kijana ‘aliyemuoa’, yaani aliyefariki kabla ya kuoa wala kupata watoto.
Ndoa za aina hii zinakaribia kufanana na ile ya “nyumba nthobu” inayopatikani pia katika jamii ya Wakurya, ambayo mwanamke ambaye hakujaaliwa kupata watoto lakini ana mali, anaweza kumtolea mahari mwanamke mwingine na “kumuoa” kisha watoto wote atakaowazaa muolewaji wanakuwa wa mwanamke aliyemlipia ma
Umasikini wa kanda ya ziwa unatisha? Ulishafika mikoa ya kusini?Ila kiukweli kanda ya ziwa iko nyuma sana, wana mambo ya hovyo sana na umaskini nao unatisha
Nthobu ni tofaut na ya makaburiNyumba ntobho hizo
Kauli ya mental slaves"Katibu wa Muungano wa Koo 12 za Wakurya, Mwita Sibora anasema mila hiyo ni muhimu kwa kuwa endapo familia haitatekeleza mila hiyo kwa kijana wao aliyefariki basi kuna uwezekano wa familia hiyo kukumbwa na mabalaa na hata kutoweka kabisa"
Hii kauli ni tatizo
Ha ha, mabeijingi aka masimbe ndiyo yanaharibu utamaduni.Naona watu mbachangia kitu msicho kijua. Mleta mada nae Kuna sehemu kapindisha ukweli.
Nisikilizeni sasa.-
Hizi Mila hazidumishwi na familia masikini na haiko kama mleta uzi alivyoeleza.
Ikitokea mtu ameolewa Kwa staili hizi basi jua atapata sapoti kama vile ambavyo angeolewa na mwanaume.
Hao wanaojidai kutoa ushuhuda ni yake magube gube yaliyoshindikana na kukimbia miji.