Ndoa za makaburi janga kwa wanawake, watoto mkoani Mara

Rhobi Samwel......🤣
Wanaharakati wa Bongo Wamekaa Kimkakati sana.
Anyways🤐
 
Katibu wa Muungano wa Koo 12 za Wakurya, Mwita Sibora anasema mila hiyo ni muhimu kwa kuwa endapo familia haitatekeleza mila hiyo kwa kijana wao aliyefariki basi kuna uwezekano wa familia hiyo kukumbwa na mabalaa na hata kutoweka kabisa.
So wanaolea mizimu yaani watoto kuwaunganisha na mzimu wa mtu aliyekufa.
 
Kauli ya mental slaves
 
Naona watu mbachangia kitu msicho kijua. Mleta mada nae Kuna sehemu kapindisha ukweli.
Nisikilizeni sasa.-

Hizi Mila hazidumishwi na familia masikini na haiko kama mleta uzi alivyoeleza.

Ikitokea mtu ameolewa Kwa staili hizi basi jua atapata sapoti kama vile ambavyo angeolewa na mwanaume.

Hao wanaojidai kutoa ushuhuda ni yake magube gube yaliyoshindikana na kukimbia miji.
 
Ha ha, mabeijingi aka masimbe ndiyo yanaharibu utamaduni.


Mie nimeoa mkurya, licha ya kuwa na kazi ya umma, tena mganga mfawidhi lakini Huwa namkerembesha Kwa makusudi na anaitii hatari.



Wakurya wanapenda mwanaume mbabe kiasi na mwenye misimamo mikali. Wanagongana balaaaaa
 
Duh mila za ajabu sijawai ziona tangu nizaliwe, mara kuna mambo ya ajabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…