Mnaokataa ndoa wote wapumbavu
Wazazi wako wangekataa ndoa
ww ungekua wap,
wazaz wanafanya to their level best
kulingana na maisha yao magumu wanajibana bana we usome
uwe na maadili mazuri leo hii mtu
unamlaumu mzazi eti mmewaacha mabinti wanaliwa
ukiachana na wazazi kuwaacha mabinti
waliwe wanaowala ni kina nani
Nyie pipo acheni kuropoka na kufata mkumbo
ukiwa unaiponda ndoa take your parents as vivid Example ukiweza apo bas tutakuskiliza
Mean
Unawalaumu wazazi wako wanamuacha dada ako ww analiwa hovyo
Mama ako mzazi anamrubuni babako mzazi kwa S*x s ndio
waheshimun wazazi wenu bas na mungu pia
Kwamfano malezi eti umlaumu mzazi wako ebu fikiria kwa dk moja kati ya ww na wazazi wako nani kasababisha ww uishienjiani kielimu
kama sio ww na upumbavu wako, najua sio wote ila najua most of you n wapumbavu
Vtu vingne vmeheshimishwa hata kwenye maandiko matakatifu
then from no where kimtu maisha yamekichanganya ooh sijui this n utapel kataa hiki
Hata kama Sjaoa lakin All of you supporting this ni wajinga na wapumbavu