Ndoa za sasa ni hasara kubwa kwa mwanaume na hakuna kitu utafanya

Ndoa za sasa ni hasara kubwa kwa mwanaume na hakuna kitu utafanya

Binti anaanza kuliwa akiwa na miaka 14 halafu anakuja kuolewa akiwa na miaka 25. Yaani miaka yote hiyo 11 anabadili wanaume tu, ukiashumu kila mwaka kaliwa na wanaume wawili maana yake ndani ya hiyo miaka 11 ameliwa na wanaume 22 kudadadeki
Sasa hivi wanaliwa wakiwa na miaka kumi mkuu kaa ukijua hili.. binti analiwa na kunyonya lolipop bado mbichi kabisa hata ungo hajavunja
 
Binti wako anamiliki simubya thamani sana, anasuka kwa gharama kubwa, viatu na nguo za gharama kubwa humuoji hela anapata wapi upo tu umezubaa zubaa kwa kuhofia eti binti yako atakuchukia, kweli Wazazi wetu hapo mmetukosea sana sisi vijana wenu wa kiume
 
Kwa masikitiko makubwa.
Pole
Ndugu zangu sina haja ya kusalimia maana najua kabisa ndoa ni mateso na mlio oa mnateseka sana ila hamtaki kusema mnayabeba moyoni kama wanaume poleni kwa kweli.
Assumptions haziapply kwa kila mtu.
Kweli kabisa ndoa ni mateso japo kwa upande mwingine ni baraka na heshima mbele za jamii na mbele ya Mwenyezi Mungu.
Kuheshimika ni jambo la muhimu, huambatana na fursa.
Mimi natarajia kuja kuoa na ninatafuta mke , ila simshauri kabisa mwanaume mwezangu kuoa kwani mimi nimekubaliana kubeba msalaba wangu mwenyewe na sitaki kusaidiwa kabisa.
Ni sawa as long as upo tayari kufanya hayo maamuzi.
Nikimuonea huruma mwanaume mwezangu nitamwambia kama huwezi kuishi mwenyewe basi ishi na mwanamke au kuwa mlevi wa pombe kali sana maisha yaende na siyo kuoa japo mimi nimejitoa kujakuoa, msalaba wangu nitaubeba na sitaki kusaidia kamwe
Ulevi Vs Mke. Za kuambiwa changanya.
Kwa kweli wazazi wetu mmetukosea sana sisi vijana wenu na inapaswa mtuombe radhi, wazazi mmeshindwa kuchunga mabinti zenu mnawaacha wanazurura huku na huko, wakidanga sana na hata kulala na baba zao , kwa kweli inauma sana sasa sisi waoaji tufanyaje.
Wanawake bora wapo. Vijana wanaoa na ndoa zinadumu. Jamii yetu bado ina mama na mabinti wenye maadili.
Baba zetu bila aibu mnatukosea zaidi sana, mnatuchukulia mabinti wadogo ambao ni wake zetu kabisa wa baadae mnalala nao na kuwazubaisha kwa hela ili watukatae sisi vijana chipukizi.
Waepuke malaya. Kama nilivyosema mabinti wenye maadili wapo.
Baba na mama zetu mnashindwa kutunza mabinti zenu ili tuje tuwapose na kuwaoa bali kwa kusingizia eti ugumu wa maisha, mara utandawazi, mara sijui ana mapepo sijui mpeleke kwenye maombi au kalogwa huku mkidanganywa na mitume na manabii wa uongo kuwa anapepo ataombewa badala yakumchapa binti viboko anyooke.
Mabinti wenye maadili wapo.
Binti wako anamiliki simubya thamani sana, anasuka kwa gharama kubwa, viatu na nguo za gharama kubwa humuoji hela anapata wapi upo tu umezubaa zubaa kwa kuhofia eti binti yako atakuchukia, kweli Wazazi wetu hapo mmetukosea sana sisi vijana wenu wa kiume .
Mabinti wenye maadili wapo. Sio lazima kupambana na malaya.
Wamama mmekua pia chanzo kikuu cha kuharibu mabinti zenu mkiwa fundisha kupenda hela na kumkalia mwanaume, kiburi, ujeuri na malumbano , ubishi usio na faida na mwishowe hata kumwambia bora azae tuu mjukuu hatukatai kuliko akateseke kwenye ndoa
Pesa ni muhimu kabla ya kuwa na binti mwenye maadili.
Wazazi mnadiriki kuwaambia mabinti zenu hapa hujafukuzwa ,nenda kwa mumeo ukimshindwa rudi nyumbani tutakupokea huo ni ujinga mnaoufanya. Mmefanya mabinti zenu kuwa jeuri sana kwa kweli sisi vijana wenu tunajikuta tunabaki katikati nioe au nisioe, nipige mimba nipate mtoto au nifanyaje. Kwa kweli inasikitisha sana.
Boss ukioa binti sahihi ili si tatizo as long as unatimiza majukumu kama mume
Ndugu zangu kadiri unavyo zunguka mitaani , mijini , vijijini na mikoa mbali mbali mabinti wamezagaa huku na huko waliojawa tamaa sana za hela na maisha mazuri mazuri na wanaogawa sana kweli kweli nyuchi zao bila kujali lolote.
Mabinti wenye maadili wapo na wanaolewa na ndoa zinadumu.
Pia wapo wale mabinti wanaojificha kwenye nyumba za ibada ,wakijifanya mitume , manabii, wanakwaya, wahudumu wa nyumba za ibada ila nako hakuna kitu kabisa . Wanafanya tuu hivyo ili tusiwaone kirahisi kuwa na wao hawafai kuolewa.
Ni kuomba upate asiye na tabia hizi.
Inasikitisha sana kuona binti wa darasa la tatu kapigwa pipe za kutosha na kawa sugu mno, sasa unafikiria huyo atakaye kuja kumuoa atawezana naye kweli.
Mtoto wa kike anapaswa kulindwa. Kumwingilia binti wa drs la tatu ni kinyume cha sheria na unyama wa hali ya juu.
Kwa kweli kwanini nasema haya naenda mbele na kurudi nyuma ..

1: Mwanaume ukitaka kuoa lazima ukubali kuoa sikrepa litakalo kuendesha huko mbeleni na baadaye kuvunja ndoa mwenyewe huku wewe ukiachwa na umasikini wako na yeye akifaidi mali zako kilaini sana.
Mwanaume unaweza kuoa binti mwenye maadili na ndoa yako ikawa ya mafanikio
2: Mwanaume ukikubali kuoa kubali huyo mwanamke wako alikua danga huko nyuma hivyo lazima anakucompare na hao maex wake wa utotoni na akifanikiwa kukutana nao lazima awape waoshe rungu tena..
Mwanaume unaweza kuoa binti mwenye maadili na ndoa yako ikawa ya mafanikio
3: Mwanaume ukikubali kuoa katika kizazi hiki ,hakikisha upoteyari kunyanyasika haijalishi mkeo analipwa milioni tatu na wewe elfu 50 kaa posho ya kibaruani kwa mwezi ila jua wazi kabisa hatauanguke uugue hatotoa hela yake kukupa wewe , atataka itumike hiyo elfu 50 yako na ikiisha ni ugomvi mtupu.
Mwanaume unaweza kuoa binti mwenye maadili na ndoa yako ikawa ya mafanikio
4: Mwanaume ukikubali kuoa kubali kabisa kwamba umeoa mwanamke aliyeshindikana kwao , hivyo wewe umewasaidia wazazi wake kubeba mzigo mzito maisha yako yote na daima laani wazazi wake kwa kushindwa kulea binti yao, tena mahari usitoe ikibidi
Mwanaume unaweza kuoa binti mwenye maadili na ndoa yako ikawa ya mafanikio
5: Mwanaume ukikubali kuoa, jua wazi kabisa mkeo utachapiwa na atakuletea watoto wa nje huko na huna cha kumfanya, na ukifurukuta atakupeleka huko wanako tupelekaga na wewe utagandamizwa tuu kutoa matunzo ya mtoto
Mwanaume unaweza kuoa binti mwenye maadili na ndoa yako ikawa ya mafanikio
6: Mwanaume ukikubali kuoa jua wazi wewe hutofaidika na ndoa tofauti na mkeo, utakachopata tuu ni ndugu ambao ni wanao na ukikaa vibaya wataungana na mkeo kukuangamiza kabisa uhai wako
Mwanaume unaweza kuoa binti mwenye maadili na ndoa yako ikawa ya mafanikio
7: Mwanaume ukikubali kuoa kubali kua mvumilivu mpaka kufa na siyo vinginevyo ukikataa kuwa mvumilivu utaua mkeo na hatimaye utaishia jela.
Mwanaume unaweza kuoa binti mwenye maadili na ndoa yako ikawa ya mafanikio
Mimi najua yote haya ila nitaoa, WAKATAA NDOA WAPO SAHIHI KABISA NA NAJUA KWANINI WANAKATAA NDOA, ila mimi nitaoa japo sitakaa ni mshauri mwanaume mwenzangu aoe, sipo teyari kuona mwanaume mwezangu anateketea kizembe sana.
Sio lazima kuoa ila kama unapemdezwa na hilo tafuta binti sahihi kwa wakati sahihi na ukiwa na bahati mbaya ukakosea achana na hiyo ndoa. Maisha ni zawadi.
NDOA NI HASARA KWA MWANAUME , MABINTI WA SASA HAWAFAI KUOLEWA .

TAFUTA UNAYE WEZANA NAYE ISHI NAYE ILA SIYO KUOA. UKISHINDWA KABISA OA ILA SIKUSHAURI MIMI
Watu wataendelea kuoa, ndoa zitaendelea kudumu, ndoa zitaendelea kuvunjika.
 
Unaloliwaza ndilo litakutokea...kwakuwa umeamini hayo kweli utapata skrepa kama unavyowaita na litakuendesha kweli kweli
Kila la heri na skrepa lako
 
Mtoa mada ana hoja asikilizwe..

Mm mke na watoto ni wafanyakazi wangu nawapigisha kazi..mke akiwa mjamzito nafurahia sana sabb ananiongezea cheap labour au free labour...ndugu zake nao wakiomba kuja ish kwangu nawakaribisha coz nawageuza cheap labour kwenye kazi zangu zote Kuanzia nyumban hadi kitaaa...

Kweli usipokua mjanja ndoa ni janga kama mleta uzi alivyoainisha...

Note..fanya yote but hakikisha Siri ya mafanikio inabaki kuwa top secret mke, watoto, ndugu wasijue...coz wanaweza kukupindua...nikifa watajuana wenyewe
 
Mi nimeoa kwakuwa wazazi wangu hawapendi nikae bila mke. Nimeoa kwa kuwa ndo furaha ya mama yangu.
Usifanye kitu kwaajili ya kumfurahisha mtu / mzazi.

Fanya kitu kwaajili yako binafsi , hatakama hicho kitu kitakutoa uhai iwe ni kwaajili yako tuu na siyo kwaajiki ya watu wengine
 
Mtoa mada ana hoja asikilizwe..

Mm mke na watoto ni wafanyakazi wangu nawapigisha kazi..mke akiwa mjamzito nafurahia sana sabb ananiongezea cheap labour au free labour...ndugu zake nao wakiomba kuja ish kwangu nawakaribisha coz nawageuza cheap labour kwenye kazi zangu zote Kuanzia nyumban hadi kitaaa...

Kweli usipokua mjanja ndoa ni janga kama mleta uzi alivyoainisha...

Note..fanya yote but hakikisha Siri ya mafanikio inabaki kuwa top secret mke, watoto, ndugu wasijue...coz wanaweza kukupindua...nikifa watajuana wenyewe
Na huu ndio uanaume Sasa hongera sana tata kazi iendelee

Sent from my CPH2349 using JamiiForums mobile app
 
Kwa masikitiko makubwa.

Ndugu zangu sina haja ya kusalimia maana najua kabisa ndoa ni mateso na mlio oa mnateseka sana ila hamtaki kusema mnayabeba moyoni kama wanaume poleni kwa kweli.
Imebidi niikate vipande mada yako maana ina vipengele vingi vya kujadili kivyake.

Hilo kwanza sikubaliani nalo. Mimi ni Muislam na nipo kwenye ndoa zaidi ya miaka 40, sijawahi kuiona ndoa kuwa ni mateso. Changamoto za hapa na pale ndiyo zinainogesha ndoa.

Waislam tuna vigezo vyetu vya ndoa vipo wazi, kama hujavifata hakuna wakumlilia. Pia na ndani ya ndoa yenyewe tuna vigezo vyetu ambavyo vikikosekana kwa mume au mke basi inakuwa ni halali kuwachana.

Ka hayo, kwanini iwe mateso? Uislam ni mwema sana.
 
Kwa masikitiko makubwa.

Ndugu zangu sina haja ya kusalimia maana najua kabisa ndoa ni mateso na mlio oa mnateseka sana ila hamtaki kusema mnayabeba moyoni kama wanaume poleni kwa kweli.

Kweli kabisa ndoa ni mateso japo kwa upande mwingine ni baraka na heshima mbele za jamii na mbele ya Mwenyezi Mungu.

Mimi natarajia kuja kuoa na ninatafuta mke , ila simshauri kabisa mwanaume mwezangu kuoa kwani mimi nimekubaliana kubeba msalaba wangu mwenyewe na sitaki kusaidiwa kabisa.

Nikimuonea huruma mwanaume mwezangu nitamwambia kama huwezi kuishi mwenyewe basi ishi na mwanamke au kuwa mlevi wa pombe kali sana maisha yaende na siyo kuoa japo mimi nimejitoa kujakuoa, msalaba wangu nitaubeba na sitaki kusaidia kamwe

Kwa kweli wazazi wetu mmetukosea sana sisi vijana wenu na inapaswa mtuombe radhi, wazazi mmeshindwa kuchunga mabinti zenu mnawaacha wanazurura huku na huko, wakidanga sana na hata kulala na baba zao , kwa kweli inauma sana sasa sisi waoaji tufanyaje.

Baba zetu bila aibu mnatukosea zaidi sana, mnatuchukulia mabinti wadogo ambao ni wake zetu kabisa wa baadae mnalala nao na kuwazubaisha kwa hela ili watukatae sisi vijana chipukizi.

Baba na mama zetu mnashindwa kutunza mabinti zenu ili tuje tuwapose na kuwaoa bali kwa kusingizia eti ugumu wa maisha, mara utandawazi, mara sijui ana mapepo sijui mpeleke kwenye maombi au kalogwa huku mkidanganywa na mitume na manabii wa uongo kuwa anapepo ataombewa badala yakumchapa binti viboko anyooke.

Binti wako anamiliki simubya thamani sana, anasuka kwa gharama kubwa, viatu na nguo za gharama kubwa humuoji hela anapata wapi upo tu umezubaa zubaa kwa kuhofia eti binti yako atakuchukia, kweli Wazazi wetu hapo mmetukosea sana sisi vijana wenu wa kiume .

Wamama mmekua pia chanzo kikuu cha kuharibu mabinti zenu mkiwa fundisha kupenda hela na kumkalia mwanaume, kiburi, ujeuri na malumbano , ubishi usio na faida na mwishowe hata kumwambia bora azae tuu mjukuu hatukatai kuliko akateseke kwenye ndoa

Wazazi mnadiriki kuwaambia mabinti zenu hapa hujafukuzwa ,nenda kwa mumeo ukimshindwa rudi nyumbani tutakupokea huo ni ujinga mnaoufanya. Mmefanya mabinti zenu kuwa jeuri sana kwa kweli sisi vijana wenu tunajikuta tunabaki katikati nioe au nisioe, nipige mimba nipate mtoto au nifanyaje. Kwa kweli inasikitisha sana.

Ndugu zangu kadiri unavyo zunguka mitaani , mijini , vijijini na mikoa mbali mbali mabinti wamezagaa huku na huko waliojawa tamaa sana za hela na maisha mazuri mazuri na wanaogawa sana kweli kweli nyuchi zao bila kujali lolote.

Pia wapo wale mabinti wanaojificha kwenye nyumba za ibada ,wakijifanya mitume , manabii, wanakwaya, wahudumu wa nyumba za ibada ila nako hakuna kitu kabisa . Wanafanya tuu hivyo ili tusiwaone kirahisi kuwa na wao hawafai kuolewa.

Inasikitisha sana kuona binti wa darasa la tatu kapigwa pipe za kutosha na kawa sugu mno, sasa unafikiria huyo atakaye kuja kumuoa atawezana naye kweli.

Kwa kweli kwanini nasema haya naenda mbele na kurudi nyuma ..

1: Mwanaume ukitaka kuoa lazima ukubali kuoa sikrepa litakalo kuendesha huko mbeleni na baadaye kuvunja ndoa mwenyewe huku wewe ukiachwa na umasikini wako na yeye akifaidi mali zako kilaini sana.

2: Mwanaume ukikubali kuoa kubali huyo mwanamke wako alikua danga huko nyuma hivyo lazima anakucompare na hao maex wake wa utotoni na akifanikiwa kukutana nao lazima awape waoshe rungu tena..

3: Mwanaume ukikubali kuoa katika kizazi hiki ,hakikisha upoteyari kunyanyasika haijalishi mkeo analipwa milioni tatu na wewe elfu 50 kaa posho ya kibaruani kwa mwezi ila jua wazi kabisa hatauanguke uugue hatotoa hela yake kukupa wewe , atataka itumike hiyo elfu 50 yako na ikiisha ni ugomvi mtupu.

4: Mwanaume ukikubali kuoa kubali kabisa kwamba umeoa mwanamke aliyeshindikana kwao , hivyo wewe umewasaidia wazazi wake kubeba mzigo mzito maisha yako yote na daima laani wazazi wake kwa kushindwa kulea binti yao, tena mahari usitoe ikibidi

5: Mwanaume ukikubali kuoa, jua wazi kabisa mkeo utachapiwa na atakuletea watoto wa nje huko na huna cha kumfanya, na ukifurukuta atakupeleka huko wanako tupelekaga na wewe utagandamizwa tuu kutoa matunzo ya mtoto

6: Mwanaume ukikubali kuoa jua wazi wewe hutofaidika na ndoa tofauti na mkeo, utakachopata tuu ni ndugu ambao ni wanao na ukikaa vibaya wataungana na mkeo kukuangamiza kabisa uhai wako

7: Mwanaume ukikubali kuoa kubali kua mvumilivu mpaka kufa na siyo vinginevyo ukikataa kuwa mvumilivu utaua mkeo na hatimaye utaishia jela.


Mimi najua yote haya ila nitaoa, WAKATAA NDOA WAPO SAHIHI KABISA NA NAJUA KWANINI WANAKATAA NDOA, ila mimi nitaoa japo sitakaa ni mshauri mwanaume mwenzangu aoe, sipo teyari kuona mwanaume mwezangu anateketea kizembe sana.

NDOA NI HASARA KWA MWANAUME , MABINTI WA SASA HAWAFAI KUOLEWA .

TAFUTA UNAYE WEZANA NAYE ISHI NAYE ILA SIYO KUOA. UKISHINDWA KABISA OA ILA SIKUSHAURI MIMI
Umaskini ni laana
 
Back
Top Bottom