Ndoa za sasa zimejaa unafiki mkubwa sana, jana mke wa mtu kanitumia picha ya matiti yake hadi nimechoka mwenyewe

Ndoa za sasa zimejaa unafiki mkubwa sana, jana mke wa mtu kanitumia picha ya matiti yake hadi nimechoka mwenyewe

Kwanini mnakuwa na mindset za hovyo kiasi hiki? Kuna jipya gani kwenye kuchepuka
[emoji15][emoji15]yan mkuu unashangaa kwanini alikutumia hivyo, alaf wakati huohuo huoni jipya kwenye uchepukaji
 
Wapo wazee wapumbavu vilevile

Hakuna mzee hapa, hii ni chai tu ndio maana stori yake hai sync...hebu check huu mtiririko!

Unamwambia mtu unayedai unamuheshimu kuwa una hamu ya kunyonya maziwa...

Mtu unayemuheshimu anakutumia picha ya matiti (yake)...

Unakuja JF kushangaa umetumiwa picha ya matiti na mtu unayemuheshimu...
 
Kwanini mnakuwa na mindset za hovyo kiasi hiki? Kuna jipya gani kwenye kuchepuka
Jipya hakuna, amekumbusha tuu kutembea na kilainishi ili mwenye Mali akija na wale vijana wa kufumua mishono aweze kupunguza maumivu. Ni juzi tuu kwenye Xmas jamaa kaliwa kiboga na watu watatu baada ya kufumwa na mke wa mtu.
 
Tabia za kivulana hizo, kifupi huauko matured enough
 
Wavulana wa sasa mmekuwa kama wanawake sasa mtu kakutumia utamu wake private then we unakuja huku kumtangaza huna adabu.
 
We mwenyewe mzinzi tu huna lolote
 
Ifikie hatua sisi wanaume tuwe na vifua vya kutunza siri bila ya kujali huko unakojimwaga unatumia taswira feki ama vipi. Pathetic!
Wanaume siku hizi ndio wamekua waongeaji. Mtu anajitungia story yake anakuja kutafuta comments tu humu. Kuna vitu havihitaji hata kufungulia uzi
 
Hakuna mzee hapa, hii ni chai tu ndio maana stori yake hai sync...hebu check huu mtiririko!

Unamwambia mtu unayedai unamuheshimu kuwa una hamu ya kunyonya maziwa...

Mtu unayemuheshimu anakutumia picha ya matiti (yake)...

Unakuja JF kushangaa umetumiwa picha ya matiti na mtu unayemuheshimu...
😂😂😂Kuna watu wanachekesha kweli,, tumuite juha tu
 
acheni unafiki wanaume .......


mbona nyie mnabandua vibinti vidogo makamu ya wajukuu zenu na wanenu?



wake zenu wakibanduliwa mnabweka kulaani



hamjui kuka na kuliwa ndio formula?????
 
Back
Top Bottom