miss IQ
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 848
- 1,196
[emoji15][emoji15]yan mkuu unashangaa kwanini alikutumia hivyo, alaf wakati huohuo huoni jipya kwenye uchepukajiKwanini mnakuwa na mindset za hovyo kiasi hiki? Kuna jipya gani kwenye kuchepuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15][emoji15]yan mkuu unashangaa kwanini alikutumia hivyo, alaf wakati huohuo huoni jipya kwenye uchepukajiKwanini mnakuwa na mindset za hovyo kiasi hiki? Kuna jipya gani kwenye kuchepuka
Wapo wazee wapumbavu vilevile
Au Yale mafuta yaliyoonekana kwenye geto la Kiroboto...R.I.P Marindas. Uwe unatembea na cocoa butter mkuu
Jipya hakuna, amekumbusha tuu kutembea na kilainishi ili mwenye Mali akija na wale vijana wa kufumua mishono aweze kupunguza maumivu. Ni juzi tuu kwenye Xmas jamaa kaliwa kiboga na watu watatu baada ya kufumwa na mke wa mtu.Kwanini mnakuwa na mindset za hovyo kiasi hiki? Kuna jipya gani kwenye kuchepuka
Wanaume siku hizi ndio wamekua waongeaji. Mtu anajitungia story yake anakuja kutafuta comments tu humu. Kuna vitu havihitaji hata kufungulia uziIfikie hatua sisi wanaume tuwe na vifua vya kutunza siri bila ya kujali huko unakojimwaga unatumia taswira feki ama vipi. Pathetic!
😂😂😂Kuna watu wanachekesha kweli,, tumuite juha tuHakuna mzee hapa, hii ni chai tu ndio maana stori yake hai sync...hebu check huu mtiririko!
Unamwambia mtu unayedai unamuheshimu kuwa una hamu ya kunyonya maziwa...
Mtu unayemuheshimu anakutumia picha ya matiti (yake)...
Unakuja JF kushangaa umetumiwa picha ya matiti na mtu unayemuheshimu...
Binadamu version ya umbuziMpk ifikapo 2040 tutakuwa tunakulana mchana kweupe mabarabarani km mbuzi maana siku hiz watoto wa kike kusaula na kubaki kumer wazi sio big deal
NIMESHIA HAPA KUSOMANi mke wa afisa mmoja wa ngazi ya juu huko serikalini