GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 161
hahahahahahahah!nimecheka hadi nikalia,hivi shemasi:
ZD NI HE,AU SHE?
dah, naona kuna katekista, shemasi nk, mi nadhani ukadinali utanifaa zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahahahah!nimecheka hadi nikalia,hivi shemasi:
ZD NI HE,AU SHE?
hivi wewe unapoteza muda kwenye keyboards?nilidhani unatumia blackberry kama krispini na mim?
dah, naona kuna katekista, shemasi nk, mi nadhani ukadinali utanifaa zaidi.
sio lazima nitumie blackberry, hata laptop si zipo kwani ni lazima iwe pc ya mezani? hehee the point remain the same whether you are using blackbery or laptop. suala ni kwamba we are talking about time, got it?hivi wewe unapoteza muda kwenye keyboards?nilidhani unatumia blackberry kama krispini na mim?
du, nimeipenda hiyo avatar G.P.dah, naona kuna katekista, shemasi nk, mi nadhani ukadinali utanifaa zaidi.
du, nimeipenda hiyo avatar G.P.
hivi...niulize...kwanini..suala..zima..la...mapenzi..ni..la.."mfumo..dume"?
utakuta..kuna..maneno..kama..."kuoa"..(na..sio..kuoana),.."kumega"..(na..sio..kumegana)...nakadhalika..na..kadhalika
sasa unalalama nini, kama vp fanya mwenyewe, unajua maji yalipo yawe ya kuoga, ya kunywa na nguo kunyoosha unaweza vilevile so fanya. unataka kufanyiwa na mkeo vyote hivyo bila kujali yeye pia katoka kazini kachoka kama wewe na kumsaidia hutaki. enzi za kutumikisha wanawake zishaisha, kama kazini tunaenda wote, na bado nina mzigo wa kubeba mimba na kuzaa na kutunza watoto na ninachangia family expenditures, why then should i still be your maid? Mi nafikiri ifikie mahali wanaume na nyie mbadilike, muone kusaidia kazi za nyumbani si kujidhalilisha, bali ni upendo kwa mkeo na msaada pia.kama ni mama wa nyumbani anaekaa home kusubiri utoke job ulete mahitaji ntakuelewa lakini kama ukiamka na yeye anaamka mnaenda wote job na kurudi, sioni kwa nini uwalaumu wanawake, play your part, they are people just like you.
kwa taarifa yako sas mume wangu akitoka kazini hata bar haendi anawahi nyumbani tushirikiane kulea watoto na kusaidiana majukumu, na ndoa yetu in furaha kwa kuwa tunashirikiana kila kitu, kwenye budget na kwenye majukumu ya kufua na kunyoosha. hakuna mtumwa wa mwenzie na hakuna anayetake advantage ya mwenzie iwe ya kipesa au ya ki majukumu ya ndani, na hiindo maana nzima ya marriage. sasa kama wewe unadhani unajenga yako kwa kuwa mtumwa, its your way, do it if it fits you.Hahhahahaaa............
kwa mwelekeo huo na kwa maneno hayo kama utamwambia mume wako ndoa haitadumu kabisaa... ama kama itaendelea kuwepo haitakuwa na amani hata chembe,
Mume atakuwa akiondoka leo anarudi kesho ilimradi siku ziende na kama si hivyo basi maisha yatakuwa kama jehanam ndogo.
wanamke mwerevu hujenga nyumba yake mwenyewe na mpumbavu hubomoa nyumba yake mwenyewe.
Na ndio maana Jaqline akiolewa na John kabla hawajapata mtoto ataitwa mama John na John ataitwa Mr John na sii baba Jaqline.
btw, karibu jf na karibu jukwaa hili la mahusiano😱Hahhahahaaa............
kwa mwelekeo huo na kwa maneno hayo kama utamwambia mume wako ndoa haitadumu kabisaa... ama kama itaendelea kuwepo haitakuwa na amani hata chembe,
Mume atakuwa akiondoka leo anarudi kesho ilimradi siku ziende na kama si hivyo basi maisha yatakuwa kama jehanam ndogo.
wanamke mwerevu hujenga nyumba yake mwenyewe na mpumbavu hubomoa nyumba yake mwenyewe.
Na ndio maana Jaqline akiolewa na John kabla hawajapata mtoto ataitwa mama John na John ataitwa Mr John na sii baba Jaqline.
wwe upo bongo au ughaibuni?kwa taarifa yako sas mume wangu akitoka kazini hata bar haendi anawahi nyumbani tushirikiane kulea watoto na kusaidiana majukumu, na ndoa yetu in furaha kwa kuwa tunashirikiana kila kitu, kwenye budget na kwenye majukumu ya kufua na kunyoosha. hakuna mtumwa wa mwenzie na hakuna anayetake advantage ya mwenzie iwe ya kipesa au ya ki majukumu ya ndani, na hiindo maana nzima ya marriage. sasa kama wewe unadhani unajenga yako kwa kuwa mtumwa, its your way, do it if it fits you.
Absolutely beautiful black African SHE with beautiful tits and tiGo. Kazi kwenu kugundua vipaji vyenu watumishi wenzangu.
bongo hii hii mama5j's na tena uswahilini yani manzesewwe upo bongo au ughaibuni?
We hujakutana na simba wa yuda. Limeshafika limjamaa na stiringo imekasirika afu umnyime misosi? Hahaha! Hiyo red imenifanya nichomoe shati. Nimesahau miwani yangu, ningeivaa sijui ningesoma nini hapo.
unajua nini inategemea na mwanaume na mazingira.kila mwanaume ana utashi wake na jinsi mlivyopangilia kuishibongo hii hii mama5j's na tena uswahilini yani manzese
Afadhali unanielewa, ifikie mahali wanawake waheshimiwe na kuthaminiwa kwa kuwa michango yao katika familia ni mikubwa...tena mno, siyo kulimit akili zao kwenye kupika na kupakua tu, na wanawake wenyewe wameshakuwa brain washed hawataki kuthink outside kupika na kupakua na kufua, yani kwao hiyo ni confort zone ambayo hawataki kutoka nje. kwani nani kawambia kuwa wanaume hawawezi kupika na kufua na kunyoosha, mbona makwao wanafanya haya yote? kwa nini wakishaoa wanataka kubadilika? halafu hawa hawa wamama wakiwa na watoto wa kike na kiume wanataka wale wa kiume wawasaidie dada zao kazi za nyumbani, what changes when they get married, au kwa kuwa yule mke wa mwanao si mtoto wako? it sucks.carmel hao wengine hawawezi kukuelewa .........weshazowea kugeuza wake zao kaa matambara