Ndoa za siku hizi

Ndoa za siku hizi

unajua nini inategemea na mwanaume na mazingira.kila mwanaume ana utashi wake na jinsi mlivyopangilia kuishi
Asante kwa kuliewa hilo, at least naona busara yako. ni mpangilio tu.
 
......... Mwingine anakutishia unaninyima nitakwenda tafuta nje usinilaumu amha ina maana we huoni kama umenikosea!!! wanaume wengine bwana!


yaani akisema hivyo cjui nitalifanyaje kwa kweli....cna jibu la haraka haraka kwa sasa subiri cku liniambie hivyo ndio nitajua cha kufanya...yaani anitishie akatafute nje? kwani yeye akisemaga amechoaka mie namtishia hivyo?....cjui itakuwaje ni bora aende kimya kimya na nicjue kuliko kunitishia aisee..
 
yaani akisema hivyo cjui nitalifanyaje kwa kweli....cna jibu la haraka haraka kwa sasa subiri cku liniambie hivyo ndio nitajua cha kufanya...yaani anitishie akatafute nje? kwani yeye akisemaga amechoaka mie namtishia hivyo?....cjui itakuwaje ni bora aende kimya kimya na nicjue kuliko kunitishia aisee..
taratibu nyamayao usijepigana na keyboard
 
BTW, Hivi taifa hili tutajenga saa ngapi kama tunashinda kwenye keyboard? just thinking loud!


ahaaa imebidi nicheke tu mana mie mwenyewe nina viporp kibao hapa nimekomalia hii ishu mana imenigusa kwa kweli....taifa linajengwa na kikwete bwana.....lol..hebu burudika ukifikiria kujenga hili taifaa...pooo utakehsa ndio mana mie hunikuti huko kwenye siasa cjui nini na nini...akuu kuna mambo unawezapata hamu ya kupindua nchi....
 
utakuta mwanamama amerudi kazini na mumewe na kweli wote wamechoka lakini sisi waafrika bado tunazidumisha mila na desturi zetu nzuri.Lazima mama ujifunge kibwebwe uende ukaangalie jikoni kuna nini.Angalia kitu cha kumfaa mumeo.hiyo ndio ndoa uonyeshe unamjali.Yeye naye yaani mume anaporudi nyumbani lazima aonyeshe anajali aangalie lipi la kumfanya naye aonekane anajali?kuna mengi ya kumsaidia mwenzake ili mwenzake asione kanakwamba anatumikishwa bali aonyeshe upendo kwa kuangalia mfano je mambo yote ya electronic yamekaa sawa? je nguo zetu zipo katika hali njema ama nyumba kwa ujumla je bomba,mifugo,bustani ,luninga,fridge au redio yaani awe mtu kiasi kuwa mwenzake anapohangaika kuangalia kila kitu kiko sawa na yeye vivyo hiyo.asingojee hadi apelekewe maji bafuni aonyeshe kuwa anaweza kufanya mwenyewe lakini mke kwa upendo labda akaona hapana ngoja nikufanyie au hata maid lakini mwanamke anapaswa kuchunga au kumlinda mume wake kwa kuwajibika.Sio lazima ufanye kila kitu lakini onyesha kusimamia na kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa tena kwa mapenzi makubwa kwa mumeo na yule maid.
umerudi na una watoto mama/baba wajibikeni wote na sio unarudi uko kwenye laptop na luninga hapana.ukifanya hivyo sasa unaacha mlango wako wazi na mwizi atakutembelea haraka.Baba atamtamani huyo bint au atawatamani wengine huko nje kumbe umeacha mlango wewe mwenyewe.mpende yule bint kama mwanao mjali na sio tu mshahara unaompa lakini wakati mwingine mletee zawadi ndogo ndogo hata kama baba atazileta mama wajibika wewe kuzigawa kwa yule maid,kila kitu mama uwajibike kwa bint na sio baba kuwa na mazoea na yule bint.Mpendezeshe bint na wewe usijisahau kwa vile una watoto kila kitu kiende kwa mpangilio.wamama wakisha zaa wengi mapenzi yao huyahamishia kwa watoto na hapo ndipo matatizo yanapoanza.lazima ubalance ujue kuwa mume ana sehemu yake na mtoto ana sehemu yake.ukiweza kubalance kila kitu utaiona ndoa tamu otherwise itakuwa chungu kama shubiri.
 
ahaaa imebidi nicheke tu mana mie mwenyewe nina viporp kibao hapa nimekomalia hii ishu mana imenigusa kwa kweli....taifa linajengwa na kikwete bwana.....lol..hebu burudika ukifikiria kujenga hili taifaa...pooo utakehsa ndio mana mie hunikuti huko kwenye siasa cjui nini na nini...akuu kuna mambo unawezapata hamu ya kupindua nchi....
you said it all mydia. ukianza kufikiri dhahabu zote zinavyochotwa, wanyapori wanavyoenda uarabuni, jinsi ambavyo utalala giza kwako na jinsi ambayo kila mtu anachukua chake mapema unaweza kufa siku si zako, kheri tubakie huku huku tupeane tipu za kujenga maisha yetu ya kawaida.
 
kwa taarifa yako sas mume wangu akitoka kazini hata bar haendi anawahi nyumbani tushirikiane kulea watoto na kusaidiana majukumu, .

Najua kwa nini Mr. wako haendi au hapitii bar siku za kawaida hapo kuna vitu viwili mtoto mnae mlea amekua au ana kazi ngumu ya kukazia fizi za mtoto na kama meno yametoka basi anakazia meno ya mtoto hana mpango na vidosho vya kitaa.
 
irene ....mambo ya kumwita mwanamke akiolewa t (au hata baadae) mama "jina la mume" mbona ni mambo ya kizamaani

mimi siitwi mama fulani.....kwani NIMEMZAA?


uwiiiii nimecheka mpaka bac, jamani watu mna maneno balaa...kha
 
utakuta mwanamama amerudi kazini na mumewe na kweli wote wamechoka lakini sisi waafrika bado tunazidumisha mila na desturi zetu nzuri.Lazima mama ujifunge kibwebwe uende ukaangalie jikoni kuna nini.Angalia kitu cha kumfaa mumeo.hiyo ndio ndoa uonyeshe unamjali.Yeye naye yaani mume anaporudi nyumbani lazima aonyeshe anajali aangalie lipi la kumfanya naye aonekane anajali?kuna mengi ya kumsaidia mwenzake ili mwenzake asione kanakwamba anatumikishwa bali aonyeshe upendo kwa kuangalia mfano je mambo yote ya electronic yamekaa sawa? je nguo zetu zipo katika hali njema ama nyumba kwa ujumla je bomba,mifugo,bustani ,luninga,fridge au redio yaani awe mtu kiasi kuwa mwenzake anapohangaika kuangalia kila kitu kiko sawa na yeye vivyo hiyo.asingojee hadi apelekewe maji bafuni aonyeshe kuwa anaweza kufanya mwenyewe lakini mke kwa upendo labda akaona hapana ngoja nikufanyie au hata maid lakini mwanamke anapaswa kuchunga au kumlinda mume wake kwa kuwajibika.Sio lazima ufanye kila kitu lakini onyesha kusimamia na kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa tena kwa mapenzi makubwa kwa mumeo na yule maid.
umerudi na una watoto mama/baba wajibikeni wote na sio unarudi uko kwenye laptop na luninga hapana.ukifanya hivyo sasa unaacha mlango wako wazi na mwizi atakutembelea haraka.Baba atamtamani huyo bint au atawatamani wengine huko nje kumbe umeacha mlango wewe mwenyewe.mpende yule bint kama mwanao mjali na sio tu mshahara unaompa lakini wakati mwingine mletee zawadi ndogo ndogo hata kama baba atazileta mama wajibika wewe kuzigawa kwa yule maid,kila kitu mama uwajibike kwa bint na sio baba kuwa na mazoea na yule bint.Mpendezeshe bint na wewe usijisahau kwa vile una watoto kila kitu kiende kwa mpangilio.wamama wakisha zaa wengi mapenzi yao huyahamishia kwa watoto na hapo ndipo matatizo yanapoanza.lazima ubalance ujue kuwa mume ana sehemu yake na mtoto ana sehemu yake.ukiweza kubalance kila kitu utaiona ndoa tamu otherwise itakuwa chungu kama shubiri.
Point tupu, yani hii ni crosscutting. kila mtu aplay part yake au siyo? tuko pamoja mkuu
 
Najua kwa nini Mr. wako haendi au hapitii bar siku za kawaida hapo kuna vitu viwili mtoto mnae mlea amekua au ana kazi ngumu ya kukazia fizi za mtoto na kama meno yametoka basi anakazia meno ya mtoto hana mpango na vidosho vya kitaa.
vyovyote vile, la msingi ni kwamba haendi bar kwishney.
 
Namdawa karibu sana jamvini yaani hapa watu tunajenga na kubomoa hoja karibu sana hujachelewa na hujapitwa na kitu mama mimi ndo Baba Mtakatifu mwenyewe kwa hapa jamvini kuna mashemasi, kardinali, makatekista na waumini.
 
mie mwenzenu nna allergy ......siwezi maumbi. yakiniingia puani tu nafanya mafua hapo hapo

kwa hali hiyo lazima baba watoto anisaidie kupiga hoover, lakini utakuta anajificha anaona haya rafiki yake asijekumuona akamwambia kalishwa limbwata! aaahhh
 
Hahhahahaaa............
kwa mwelekeo huo na kwa maneno hayo kama utamwambia mume wako ndoa haitadumu kabisaa... ama kama itaendelea kuwepo haitakuwa na amani hata chembe,
Mume atakuwa akiondoka leo anarudi kesho ilimradi siku ziende na kama si hivyo basi maisha yatakuwa kama jehanam ndogo.
wanamke mwerevu hujenga nyumba yake mwenyewe na mpumbavu hubomoa nyumba yake mwenyewe.
Na ndio maana Jaqline akiolewa na John kabla hawajapata mtoto ataitwa mama John na John ataitwa Mr John na sii baba Jaqline.

IV,

Imebidi niwe the first person kukupa thanks hapa jamvini kwakweli! Hayo maneno niliyohighlight hapo juu kama unayaishi kweli, basi kama ni she na huja pata mume, mume atakaye kuoa tabarikiwa sana.........!

Wanawake waliowengi hawalitambui hilo kabisa........!

BWT: Karibu sana JF.........!
 
watumishi wanaotafuna kondoo hawa mi nawaogopa banaa.

Correction: Wanaowachunga. we mwanakondoo mbona mbishi sana kuchungwa na watumishi wa Mungu? Watakucheka watu.
 
Back
Top Bottom