Ndoa za siku hizi

Mbu ndugu yangu nina miaka 5 na miezi 3 sasa kwenye ndoa. Ndoa ni mbichi kila iitwapo leo. Nikimpigia simu mke wangu akiwa kazini huwa anafurahi hamna mfano, kwa nini? Kwa sababu tunaaminiana wala swala la kuchungana halimo akili mwetu.

Yeah subili Ndoa yako ichanganye mchokane utaona utaanza kuambiwa ufue nguo uoshe vyombo mm naenda saloon we acha bana
 
Mbu ndugu yangu nina miaka 5 na miezi 3 sasa kwenye ndoa. Ndoa ni mbichi kila iitwapo leo. Nikimpigia simu mke wangu akiwa kazini huwa anafurahi hamna mfano, kwa nini? Kwa sababu tunaaminiana wala swala la kuchungana halimo akili mwetu.

...ushachunguza kinachomfurahisha? bora tu usijue bana.
 
...nadhani kweli sijui kugusa, ...sipendi kugusa halafu mtu hapo hapo anataka muache shughuli zote 'mkalale',...Ukikataa ananuna, eti kwanini basi ulimgusa, huh!...
huh
 
Yeah subili Ndoa yako ichanganye mchokane utaona utaanza kuambiwa ufue nguo uoshe vyombo mm naenda saloon we acha bana

...tena akiwa saloon anakupigia simu anakwambia; "ukishapika mchuzi, anza kukata kata vitunguu vya kachumbari, na usisahau kunikunia nazi...!" kwa mbaaali unawasikia kina dada huko salooni wanacheeeeeeka!
 
sasa mbu ulikuwa unagusa mko ukumbini na dada na watoto wamelala chumba cha pili nini? maana wanaume wengine hawaoni raha kama hawajagusa huku wanatiza mpira!

wife anataka aguswe chumban, apate ajifyarague bila ya wasi wasi wa watoto kusikia kinachoendelea
 
Leo najiokotea mengi kweli kwenye hii mada.....ila mkono unauma sasa kwa kucut n paste😎
 
...tena akiwa saloon anakupigia simu anakwambia; "ukishapika mchuzi, anza kukata kata vitunguu vya kachumbari, na usisahau kunikunia nazi...!" kwa mbaaali unawasikia kina dada huko salooni wanacheeeeeeka!
Mnachekesha nilisoma kitabu cha Obama kuna sehemu anasema mkewe alimpigia simu akamwambia kuna ants jikoni na bafuni so akitoka kwenye mjengo akanunue.Obama anashangaa kama Mcain na Kenedy huwa wanaambiwa wapitie dawa za ants wakitoka kwenye mjengo.
Any way maisha ni jinsi mnavyofurahia the way mnavyoishi
 

...aaaarggghh, sasa hii mada nyingine tena. Yaani kugusa pia kuna mipaka? Mke wako mwenyewe uibie ibie wapi pa kumgusa? umvizie chumbani, mmefunga mapazia, msubirie mmezima taa, gubigubi ndani ya shuka tena mkinong'ona ndio umguse? No way bana..

 
Ooohh nilitaka andika tiGo...! upendo

Wee homeboy inabidi ubadilike. Achana na huo mchezo mchafu ni dhambi kwa MUNGU tena mbaya sana. Kisha mshauri na rafiki yako Fidel naye aache.
 
mbu unanifanya nitoke kwenye mada.......lakini mkiwa na watoto lazima 'muibie' fulani hivi kugusana. ......watoto wasijekuwafuma wakapofuka bure!

ndoa lazima kuwe na sacrifices kila upande. kubali kulalia upande wke pia wakati wengine ili na yeye asione tabu kulalia uande wako muda mwingi.
 
Mueleze kwa upendo umuhimu wa yeye kusimama kama mama kwenye nyumba yake. ni kweli wadada wanatakiwa watusaidie tu na sio ytuwaachie majukumu yote, wote baba na mama wawe responsible hapa, nafurahi kwamba unaplay part yako vizuri sana kwama ni kweli unafanya yote haya, endelea wala usikate tamaa, mingine mitihani jamani.
mimi pamoja na kuonekana nina roho mbaya au jeuri au muuaji call me whatever, i make sure my baby is ok once i get home, japo huwa nachelewa kufika home maranyingi huwa nakuta dada keshapika, but i bath my bay we talk for a while and play games, then i make sure chakula kiko mezani on time na kureview siku ilikuwaje home, mnatumizi ambayo huwa nimeyaacha (naandika kabisa, kipikwe nini na kifanyike nini home siku hiyo). weekend mara nyingi nakuwa home, tunasaidiana kufua nguo zetu na DH tunasafisha chumba chetu na mahali pengine ambapo na dhani dada hakufanya navyotaka, tunakaa na mwanetu tunacheza na kutoka out ikibidi. Dada kwangu hana kazi kwa kweli esp kwa kuwa nina familia ndogo. So my hubb n i are very good adninstrotors of the house. Budget kama nilivyokwisha kusema huko nyuma tunachangia, mwezi huu nikiwa stering mimi, mwezi ujao yeye, na pesa zingine tunapanga, tufanye nini kwa ajili ya badae. Kwa ufupi kwa kushirikiana na kujaliana tunaishi kwa raha mustarehe so far. kuna openness ya hali ya juu, unajua kucall a spade a spade and not a big spoon? we are free individual yani kwa ufupi.
So muwekane wazi kama unakwazika then see the progress. all the best and pole.
 
Yeah subili Ndoa yako ichanganye mchokane utaona utaanza kuambiwa ufue nguo uoshe vyombo mm naenda saloon we acha bana

Hayo yote nayafanya hata sasa kwa hiari yangu mwenyewe kuonyesha upendo kwa mamaaa.
 

...dada'ngu, Mume wa namna hii lazima utakuwa umemharibu mwenye weye mke! khaaa,...eti mfalme wa nyumba, ...puuuuuu!

 
kinachonishangaza zaidi ni wanaume hawa hawa waliopo bongo sasa, wakati walipokuwa viwanja vya watu huko, walikuwa wakifanya mambo telee kusaidia wake/gf zao. leo wameikanyaga tz ndo wamekuwa hawawezi tena!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…