Ndoa za siku hizi

Ndoa za siku hizi

mie hanibebeshi rambo japo si contribute,ataniacha mie na wanangu hapo yeye akaanze lyfe yake! zangu mie nitapita town nione shati zuri, sox nimnunulie, zaidi ya hapo hapana.

Hujapata mume bado. Jaribu kumtafuta uone habari yake.
 
karibu tena masa. washing machine kitu gani na umeme wenyewe wa kupima huu, kitu kufua kibongobongo tu.

Ama kweli kazi ipo, nakumbuka kufua chupiz za ,mamsap kwa mkono alipomaliza mambo yale ya kila mwezi loooh...nilikoma! Nilikumbuka washing mashine
 
Ama kweli kazi ipo, nakumbuka kufua chupiz za ,mamsap kwa mkono alipomaliza mambo yale ya kila mwezi loooh...nilikoma! Nilikumbuka washing mashine

Mchungaji taratibu, lunch time inakaribia.
 
Ama kweli kazi ipo, nakumbuka kufua chupiz za ,mamsap kwa mkono alipomaliza mambo yale ya kila mwezi loooh...nilikoma! Nilikumbuka washing mashine

Akha kaka alikupa hata hizo? pole but kwani si tunavaaga vikingia lol!! Sipati picha!
 
Ama kweli kazi ipo, nakumbuka kufua chupiz za ,mamsap kwa mkono alipomaliza mambo yale ya kila mwezi loooh...nilikoma! Nilikumbuka washing mashine
he he hee kumbe mnaumia eeh, wakati hata za wanaume zina vimikojo na mabao mnapokuwa mnafantasize na wanawake kwenye daladala, haloo.
 
Mmmh huo wimbo sijawahi kuusikia..nani kauimba huo niweze youtube!....

ila ni kweli haya mambo kila kitu housegirl afanye yamezidi sana tuu kwa watanzania.....kwanza hawatakiwi kuitwa housegirl ni Maids bana...i hate that name housegirl limekaa kiutumwa sana tuu

kwetu anaitwa Dada.
 
Geoff mke wangu ni mcha mungu sana hata family alikotoka ni mcha mungu sana, hakuna cha dawa wala nini siajaanza tabia ya kufanya usafi baada ya kuoa nimefanya usafi saaaana nikiwa naishi na my brothers ambao baada ya kufariki my father nilikuwa naishi nao so hii tabia kwetu tunayo hata my bro alipokuwa ameoa nilikuwa namwona siku kadhaa akimsaidia shemeji yangu, Bwana Geoff usiwe na corrupt mind na kurithi mambo ambayo kimsingi naona hayakusaidii sana ni vitu vya kawaida tuu ukivizoea hata uta feel pain yeyote ile, mwoneshe mwenzio mapenzi ya kweli wanaume tunafanya makosa sana tunadhani mwanamke yupo pale kukutumikia kila kitu wewe tuu hapana Mkuu, mpige tafu mwenzi wako utaona upendo utakaopata toka kwake, mambo yako mengi yatakuwa mazuri, unajua hata watoto wenu wataona jinsi mlivyo shibana, na uanaume sio kwenda na kushinda baa kutwa kunywa BIA na kurudi saa tano au saba usiku, nimeshuhudia NDOA nyingi zikiharibika kwa mtindo huo wa baba kujiona ndo kila kitu, watu wanajengeana CHUKI haswa mpaka unashangaa kweli hawa watu wanalala kitanda kimoja kweli, halafu usiki UNAMMEGA mwenzi wako ukimaliza unaona hafai hahahahahaha WANAUME BADIRIKENI JAMANI.
 
Akha kaka alikupa hata hizo? pole but kwani si tunavaaga vikingia lol!! Sipati picha!

Penzi linapokuwa changa MJ1 unajipendekeza....wewe leta tu na mimi nilikuwa naenda kufua ....habari yake kubwa! Vikingia vya kisasa vidogo mno!
 
mkuu Triplets,
chupi ya mumeo unafua au HUFUI?

ha haa ...Geoff mbona leo umeshikia bango hizi nguo za ndani kulikoni??

Chupi za mume wangu sifui kwa sababu hapendi kufuliwa chupi, anajisikia vizuri akifua mwenyewe
 
Ama kweli kazi ipo, nakumbuka kufua chupiz za ,mamsap kwa mkono alipomaliza mambo yale ya kila mwezi loooh...nilikoma! Nilikumbuka washing mashine

Oooops mazee duh kwa hiyo wewe kama Bushoke sasa utakuja bambikiwa kid wewe.
 
jamani si akina baba wote ambao hawawajibiki, mbona mie nafanya kazi lkn my wife hafanyi kazi but room kwetu nafanya yafuatayo
1.nafua pants zetu wote mara ya mwisho yeye kufua nadhani ni miezi km 4 imepita
2.usafi wote wa kupiga deki na kufuta vumbi huwa nafanya mie, kusafisha choo na bafu nafanya mie
3. Daily mie ndo natandika kitanda nakubadilisha mashuka
4. Akisuka rasta zake siku akitaka kufumua basi atakuja baba nani hii nifumue nywele huwezi amini room namfumua nywele ni vitu ambavyo nimevizoea


nna moyo sana wa kusaidia na hii imenijenga toka nikiwa home kwetu my late father alipenda sana usafi na alisisitiza sana kuwa msafi room basi ikanijenga nikawa siwezi kumwachia mtu mwingine afanye usafi wa pants zangu na hii ndo imenifanya mpaka leo nione ni kitu cha kawaida sana.
Hii imenifanya niwe karibu sana na mke wangu huwa mpaka najiuliza km wanaume wengine wangekuwa hivi wangefaidi sana mapenzi ya wake zao ingawa wengi wanadhani eti mwanamke atakudharau lkn si hivyo. Hii imefanya tuwe kama marafiki kwa kweli, hakuna kununiana nuniana kwa hovyo, wala visasi visivyo na maana hakuna siri kila atakachofanya ntaambiwa kwanza.

safiii............? Hivi ukiacha kufanya leo kWa sababu mbali mbali itakuwaje? Ulishawahi kujiuliza?????
 
Je mzee akitaka "chakula cha usiku" wakati mama mwenye nyumba hayupo? Ni jukumu la nani? Naogopa kusema.
 
ha haa ...Geoff mbona leo umeshikia bango hizi nguo za ndani kulikoni??

Chupi za mume wangu sifui kwa sababu hapendi kufuliwa chupi, anajisikia vizuri akifua mwenyewe

Huyo mmeo ni he au she?
 
Fidel na wewe kumbe mzushi wa mambo? sasa Chrispin nilimnyima nini tena? mbona hajawahi kuniomba kitu chochote?

Mamii ushasahau ulichoninyima? Acha hizo, niPM basi nikukumbushe mnyonge wako.
 
Back
Top Bottom