Ndoa za siku hizi

Ndoa za siku hizi

Sasa ni He gani hapendi kufuliwa chupi yake na she? Ooh sorry, nimesahau, hivi wewe ni he au she?

kwani wanaume WOOOOOOOOOOTE hapa duniani wanapenda kufuliwa chupi na wake zao?? acha masihara weye...
 
Mfano Mzee alikuwa amepata ghafla tumbo la kuendesha sasa unakuta kuna mchuzi kwenye Boxer.....why not Washing Machine? Umenisoma bila shaka!


hiyo afue mwenyewe....nitajuaje kama ni mchuzi a kikweli au mengine...mikono yake ifanye kazi hapo.
 
Mfano Mzee alikuwa amepata ghafla tumbo la kuendesha sasa unakuta kuna mchuzi kwenye Boxer.....why not Washing Machine? Umenisoma bila shaka!

jamani angalieni michango yenu msijewafanya wengine wakaanza kufikiria mara mbili mbili wakati wanajiandaa kufua hizo ndude!
 
Sijui babu yangu aliipata wapi. No wonder aliacha wake 8 na watoto 93. Labda atanirithisha na hicho kipaji.

Tukutane leo kule Keko Machungwa, uniazime japo kwa week end, vipi nikikutana na Nyamayao! Nikamcheki na hiyo miwani? Sitaona hata visivyoonekana nibakie duuu mdada amefungasha looooh
 
Tukutane leo kule Keko Machungwa, uniazime japo kwa week end, vipi nikikutana na Nyamayao! Nikamcheki na hiyo miwani? Sitaona hata visivyoonekana nibakie duuu mdada amefungasha looooh

Nikivua mawani namwona nyamayao. Nikiivaa namwona Monica Lewinsky.
 
MJ1,Nyamayao, F1, Triplets, msindima umelala mmeo karudi yupo tungi yaani kalewa huku na huku unamwandalia supu na kumnywesha unakukuruka mpaka kitandani unamlaza usiku anaachia mzigo kitandani haja kubwa ndogo zote kwa pamoja utafanyaje?
 
MJ1,Nyamayao, F1, Triplets, msindima umelala mmeo karudi yupo tungi yaani kalewa huku na huku unamwandalia supu na kumnywesha unakukuruka mpaka kitandani unamlaza usiku anaachia mzigo kitandani haja kubwa ndogo zote kwa pamoja utafanyaje?

Mpwa vipi leo? Kama hizi hatuandiki hapa hawa wadada watabadilikia washikaji!
 
MJ1,Nyamayao, F1, Triplets, msindima umelala mmeo karudi yupo tungi yaani kalewa huku na huku unamwandalia supu na kumnywesha unakukuruka mpaka kitandani unamlaza usiku anaachia mzigo kitandani haja kubwa ndogo zote kwa pamoja utafanyaje?

Fidel nitamsafisha maana hakuna jinsi ama sivyo nitalala wapi na shughuli ya mtu mzima si unajua khabari yake?!

Hivi vya hivi ndo wanaviitaga for better for worse au? nyamayao hebu nisaidie
 
MJ1,Nyamayao, F1, Triplets, msindima umelala mmeo karudi yupo tungi yaani kalewa huku na huku unamwandalia supu na kumnywesha unakukuruka mpaka kitandani unamlaza usiku anaachia mzigo kitandani haja kubwa ndogo zote kwa pamoja utafanyaje?

Mpwa utafukuza wanakondoo. Lol! Taratibu mpwa.
 
Fidel nitamsafisha maana hakuna jinsi ama sivyo nitalala wapi na shughuli ya mtu mzima si unajua khabari yake?!

Hivi vya hivi ndo wanaviitaga for better for worse au? nyamayao hebu nisaidie

Nitungie kashairi kidogo, leo mamii umeachia point!
 
MJ1,Nyamayao, F1, Triplets, msindima umelala mmeo karudi yupo tungi yaani kalewa huku na huku unamwandalia supu na kumnywesha unakukuruka mpaka kitandani unamlaza usiku anaachia mzigo kitandani haja kubwa ndogo zote kwa pamoja utafanyaje?

ntamsafisha na kubadilisha mashuka, halafu ntaendelea kuuchapa usingizi
 
Back
Top Bottom