Ndoa za siku hizi

Ndoa za siku hizi

by the way masa, hivi kila siku unavyochomwa na hiyo miba hapo mbele si unaumia? unawezakuta nanihini yot imeshatobokatoboka

Hahahahaha imeota sugu kama ya huko wewe vp huja gusa gusa?
 
Huyu mama aliniambia tu atajua yeye mwenyewe la kufanya na mpaka sasa au tokea kipindi hicho sina mawasiliano nae
we kalee mwanao ebo! kumbe unakimbia majukumu pamoja na upimbi wote huo?
 
...ikishafikia mkeo anakuuliza 'we baba nanihii, yale masufuria uliyoyakosha ushayapanga kabatini?!"... kajipimishe sketi tu uvae...

Kazi za nyumbani ni kazi za mama, ndio maana tunaoa tupate 'jiko'!... kusaidia kupo, sio lazima...

Ebo! ... yaani kabisa umelegeza kidevu unamfumua mkeo rasta halafu unaona kawaida tu? No way bana, get a life!

kesho keshokutwa Mkeo huyo huyo hachelewi kukushikisha pochi mitaani na shughulini!
 
...ikishafikia mkeo anakuuliza 'we baba nanihii, yale masufuria uliyoyakosha ushayapanga kabatini?!"... kajipimishe sketi tu uvae...

Kazi za nyumbani ni kazi za mama, ndio maana tunaoa tupate 'jiko'!... kusaidia kupo, sio lazima...

Ebo! ... yaani kabisa umelegeza kidevu unamfumua mkeo rasta halafu unaona kawaida tu? No way bana, get a life!

kesho keshokutwa Mkeo huyo huyo hachelewi kukushikisha pochi mitaani na shughulini!
Wangu huwa ananifumua akisaidiana na watoto.
 
Ebo! ... yaani kabisa umelegeza kidevu unamfumua mkeo rasta halafu unaona kawaida tu? No way bana, get a life!

Pole pole Kaka inategemea rasta zipi .....nadhani umenielewa!
 
...ikishafikia mkeo anakuuliza 'we baba nanihii, yale masufuria uliyoyakosha ushayapanga kabatini?!"... kajipimishe sketi tu uvae...

Kazi za nyumbani ni kazi za mama, ndio maana tunaoa tupate 'jiko'!... kusaidia kupo, sio lazima...

Ebo! ... yaani kabisa umelegeza kidevu unamfumua mkeo rasta halafu unaona kawaida tu? No way bana, get a life!

kesho keshokutwa Mkeo huyo huyo hachelewi kukushikisha pochi mitaani na shughulini!

Mkuu Mosquito umenena wewe na ndevu zako ushike tambala uanze kuzungusha kiuno una deki eti kazi kusaidiana sijui inakuja hiyo?
 
Ebo! ... yaani kabisa umelegeza kidevu unamfumua mkeo rasta halafu unaona kawaida tu? No way bana, get a life!

QUOTE]
Binamu hapa umesema ngoja nikugonge thanx
 
Mkuu Mosquito umenena wewe na ndevu zako ushike tambala uanze kuzungusha kiuno una deki eti kazi kusaidiana sijui inakuja hiyo?
JUzi nimepita mahali jamani nilimuona babu kashika tambala anadeki kwenye ngazi za kwao huku bibi yaani mkewe na yeye kainama anadeki kibaraza.
 
Mkuu Mosquito umenena wewe na ndevu zako ushike tambala uanze kuzungusha kiuno una deki eti kazi kusaidiana sijui inakuja hiyo?
babu eeh, siku hizi kuna mopper ina handle ndefu tu, no excuse mazee, btw. mlipokuwa hamjaoa mbona mlikuwa mnainama kupiga deki? kwani ulikabidhiwa mke au maid?
 
JUzi nimepita mahali jamani nilimuona babu kashika tambala anadeki kwenye ngazi za kwao huku bibi yaani mkewe na yeye kainama anadeki kibaraza.
si unaona sas yani inapendeza kweli, wawili hawa watakuwa mwili mmoja ,yani watasaidiana katika shida na raha, na wataambatana kila waendako kama samaki na maji. gud example
 
JUzi nimepita mahali jamani nilimuona babu kashika tambala anadeki kwenye ngazi za kwao huku bibi yaani mkewe na yeye kainama anadeki kibaraza.

Duh acheni mashallah hayo yaani mm na ndevu zangu hizi na nimeoa alafu wife ananiletea za kuleta hizi za eti kazi ksaidiana aah wapi
 
...ikishafikia mkeo anakuuliza 'we baba nanihii, yale masufuria uliyoyakosha ushayapanga kabatini?!"... kajipimishe sketi tu uvae...

Kazi za nyumbani ni kazi za mama, ndio maana tunaoa tupate 'jiko'!... kusaidia kupo, sio lazima...

Ebo! ... yaani kabisa umelegeza kidevu unamfumua mkeo rasta halafu unaona kawaida tu? No way bana, get a life!

kesho keshokutwa Mkeo huyo huyo hachelewi kukushikisha pochi mitaani na shughulini!
kwa wake zenu wa ukweli ambao wako na nyie kwenye shida na raha uwe nazo au yfiliseke mnajidai vidume na kuwasaidia hamtaki na wakati mkienda huko kwa small houses hata chupi mnafua, sasa nani mjinga hapa? jengeni kwenu kwa upendo acheni udume usokua na manufaa.
 
Back
Top Bottom