- Thread starter
- #361
thanks kwa mliochangia na mnaoendelea, nashukuru pia nimegundua kuna wadau wa tegeta by night,zero,nyamachabes, fyatanga, kimara kwa mushi, usangule n.k....nitatoa ofa ya tubia tuwili siku moja ila kwa kuwa humu jf tuna hide id, basi usishangae utakapopata bia toka kwa anonymous
back 2 ze mada!
naomba nieleweke kwamba nia yangu si ku-display mfumo dume ule wa kizamani kama ilivyotafisiriwa na baadhi ya wachangiaji, binafsi huwa naupinga sana na mimi ni mfano mzuri wa wababa ambao huwa wanafanya yale ambayo nikijieleza hapa itabidi nitafutiwe mtaalamu wa ku-defuse malimbwata!huwa nayafanya mengi kwa nafasi yangu, lakini wajameni hivi kweli ni sahihi mama karudi nyumbani saa kumi jioni, fine anatakiwa kupimzika, dada kakaa na watoto na kuhangaikia nyumba tangu asubuhi hawampi hata nafasi ya kupumzika, wa shule wanarudi saa kumi na moja, mama unaamka kumdai dada chai, waliorudi shule nguo zao na maandalizi ya kesho, mama unademand chai ukiwa unakodolea macho luninga yako! Baba anarudi, dada huyu huyu anaacha alichokuwa anakifanya kukimbilia kufungua geti!anakupokea na kukukaribisha, mama bize kwenye luninga, dada bila kuambiwa anamletea baba chai, baada ya chai baba unaingia kwenye kazi za nyumbani na kumuacha mama akiendelea kutazama isidingo, saa mbili unarudi kuangalia taarifa ya habari, mama ...daadaaa vipi hicho chakula bado? unamdai mtoto notebook unakuta kuna msg ya jana toka shuleni, wee jana ulichelewa kazini umewakuta wamelala! ukiuliza mama jibu sijaiona, dada akisikia .....baba samahani niliona jana lakini nilisahau kukuambia, jana mama alikuwepo tangu saa tisa mchana! dozi ya dawa za watoto lazima uhakikishe umemuelekeza dada, hata kama kwa bahati mbaya hukuweza kumpeleka mtoto hosp, alipelekwa na mama kwa shingo upande! ukimwachia mama kama si kumpa kwa muda tofauti basi kampunguzia au kumuoverdose mtoto!!!mama huyu huyu hajui iliko shule wanakosoma wanae, hana hata contact moja ya mwalimu wa mwanae!! jamaaaaaaani baba huyu atashika mangapi!?bado 95% ya matumizi ya nyumbani lazima yatoke kwa baba!
kwa upande wa huyu dada, hivi huwa hawachoki? hawana haki ya kupumzika na kuthaminiwa? ukipropose kumuongezea hivyo vijisenti vyake utasikia ...aaah zinamtosha, kwanza nyingi sana (20,000/= hiyo!!)
back 2 ze mada!
naomba nieleweke kwamba nia yangu si ku-display mfumo dume ule wa kizamani kama ilivyotafisiriwa na baadhi ya wachangiaji, binafsi huwa naupinga sana na mimi ni mfano mzuri wa wababa ambao huwa wanafanya yale ambayo nikijieleza hapa itabidi nitafutiwe mtaalamu wa ku-defuse malimbwata!huwa nayafanya mengi kwa nafasi yangu, lakini wajameni hivi kweli ni sahihi mama karudi nyumbani saa kumi jioni, fine anatakiwa kupimzika, dada kakaa na watoto na kuhangaikia nyumba tangu asubuhi hawampi hata nafasi ya kupumzika, wa shule wanarudi saa kumi na moja, mama unaamka kumdai dada chai, waliorudi shule nguo zao na maandalizi ya kesho, mama unademand chai ukiwa unakodolea macho luninga yako! Baba anarudi, dada huyu huyu anaacha alichokuwa anakifanya kukimbilia kufungua geti!anakupokea na kukukaribisha, mama bize kwenye luninga, dada bila kuambiwa anamletea baba chai, baada ya chai baba unaingia kwenye kazi za nyumbani na kumuacha mama akiendelea kutazama isidingo, saa mbili unarudi kuangalia taarifa ya habari, mama ...daadaaa vipi hicho chakula bado? unamdai mtoto notebook unakuta kuna msg ya jana toka shuleni, wee jana ulichelewa kazini umewakuta wamelala! ukiuliza mama jibu sijaiona, dada akisikia .....baba samahani niliona jana lakini nilisahau kukuambia, jana mama alikuwepo tangu saa tisa mchana! dozi ya dawa za watoto lazima uhakikishe umemuelekeza dada, hata kama kwa bahati mbaya hukuweza kumpeleka mtoto hosp, alipelekwa na mama kwa shingo upande! ukimwachia mama kama si kumpa kwa muda tofauti basi kampunguzia au kumuoverdose mtoto!!!mama huyu huyu hajui iliko shule wanakosoma wanae, hana hata contact moja ya mwalimu wa mwanae!! jamaaaaaaani baba huyu atashika mangapi!?bado 95% ya matumizi ya nyumbani lazima yatoke kwa baba!
kwa upande wa huyu dada, hivi huwa hawachoki? hawana haki ya kupumzika na kuthaminiwa? ukipropose kumuongezea hivyo vijisenti vyake utasikia ...aaah zinamtosha, kwanza nyingi sana (20,000/= hiyo!!)