'Ndoa' za Wanachuo hosteli 'bubu'

'Ndoa' za Wanachuo hosteli 'bubu'

Hizo ngono mnazokuza wala haziko kubwa kivile uku vyuoni. Mbona nilipokuwa field nyie wafanyakazi ndio wazinzi wakubwa na mmeoa/kuolewa? Ofisini wazinzi maradufu, ofisi nzima inaomba namba ya wadada wote waliokuwa field na inawatingoza, bado inatongozana, bado inatongoza ofisi za jirani.

Sisi huku ni sex zile za kawaida za kibinadamu. Ni kwamba wanachuo mnatuona kirahisi mtaani, hakuna wafanyakazi wataitwa wana Pepsi au wana CRDB. Sisi tuwe kanisani, sokoni, club au mtaani tutaitwa wanachuo.

Wanachuo ni watu hawana ukamilifu wala utofauti. Mnataka tusiwe na wapenzi kwani tuko seminari
 
Hizo ngono mnazokuza wala haziko kubwa kivile uku vyuoni. Mbona nilipokuwa field nyie wafanyakazi ndio wazinzi wakubwa na mmeoa/kuolewa? Ofisini wazinzi maradufu, ofisi nzima inaomba namba ya wadada wote waliokuwa field na inawatingoza, bado inatongozana, bado inatongoza ofisi za jirani.

Sisi huku ni sex zile za kawaida za kibinadamu. Ni kwamba wanachuo mnatuona kirahisi mtaani, hakuna wafanyakazi wataitwa wana Pepsi au wana CRDB. Sisi tuwe kanisani, sokoni, club au mtaani tutaitwa wanachuo.

Wanachuo ni watu hawana ukamilifu wala utofauti. Mnataka tusiwe na wapenzi kwani tuko seminari
Wewe mwanachuo tulia wakuloweke acha ngendembwe
 
Wanachuo mmetuonea sana kila cku wana chuo wanachuo

Anyway somesheni watoto kwa nguvu wenu na nyie waje chuo
Tumuulize kwani ambako vyuo hamna P2 na vipimo vya mimba haviuzwi kwa kasi. Mbona wauza duka walio karibu na vyuo hawashangai kuona wateja ni wanachuo
 
Unalo wazo zuri Ila kwa uelewa wangu nimeishi hizo maeneo.
Ukimpeleka mtoto wako bila ya wewe mwenyewe kuwepo hapo ujue umempoteza kwani maisha ni tofauti na hasa akiweza kupata kibarua cha muda wakati anasoma.
Vi ginevyo awe ashapevukaa hadi chuo ndio anaenda kuendelea.
Hata kama una rafiki au ndugu maisha ni tofauti.

Kubwa zaidi hadi upate hiyo usajili kibali ya chuo ni mkakati mkubwa.
Kwa shule za awali hadi sekondari hawachukui wanafunzi toka nje labda uwe mhamiaji halali wawe huko.
Tusidanganyane.
Kubwa hap ni Tanzania wizara husika kubadili hizi mitaala na kuwajibika.

Swala la KULOWEKANA lipo popote pale.[emoji849]
Waziri mwenyewe ulimsikia majuzi kati akikimwaga cha mabeberu...?
 
waache wanyanduane tu mkuu...huko wengi wao wanapoteza muda tu kwa sababu ajira zenyewe hakuna..narudia ajira zenyewe hakuna ...bora waambulie kunyanduana..wajipatie std,Hiv...na mimba....
 
Wanachuo mmetuonea sana kila cku wana chuo wanachuo

Anyway somesheni watoto kwa nguvu wenu na nyie waje chuo
Acha uzinzi...halafu hebu toka hapa...kakae na wajinga wenzio...wazazi tunauza viwanja kuwawezesha halafu unaongea upumbavu
 
Kumezuka utaratibu wa Wanachuo kuishi kinyumba katika hosteli 'bubu' hususan Msewe, Changanyikeni, Mabibo, Survey, Mlalakua, Makongo na Kigamboni. Vijana badala ya kusoma wanawaza kudinyana**a.k.a **kuloweka Pamoja na madawa, pombe daily na kuchoropoa vichanga. Hapo usiulize UKIMWI au STD's maana Ni za kumwaga. Punde ARV hazitatosha huko hospitali. Pia itabidi ianzishwe WIZARA YA MAGONJWA NYEMELEZI ili kushughilikia wafiwa.
***Nina pharmacy Msewe Ni mwendo wa Pregnancy tests, P2 lakin Kondomu kwa mbaaaali.

View attachment 2048638
Wanafunzi kukaa nje ya shule ni balaa. Mimi niliwahi kukaa kwenye hostel za kujitegemea kipindi niko form 5, aisee wanafunzi wa form 4 mpaka 6 walikuwa wameoana. Yani kulana nje nje maana hatukuwa na uangalizi. Nlikuwa naenjoy hilo life hata shule siendi.
Namshukuru Mzee wangu, sijui ilikuaje akachezwa na machale akaniondoa pale akanipeleka shule nyingine otherwise ningepoteza muelekeo.
Chuo pia mambo yakawa yale yale ila nilikuwa nshajielewa hivyo sikutoka kwenye mstari kihivyo.
 
Wanafunzi kukaa nje ya shule ni balaa. Mimi niliwahi kukaa kwenye hosel za kujitegemea kipindi niko form 5, aisee wanagunzi wwa form 4 mpaka 6 walikuwa wameoana. Yani kulana nje nje maana hatukuwa na uangalizi. Nlikuwa na3njoy hilo life hata shule siendi.
Namshukuru Mzee wangu, sijui ilikuaje akachezwa na machale akaniondoa pale akanipeleka shule nyingine otherwise ningepoteza muelekeo.
Chuo pia mambo yakawa yale yale ila nilikuwa nshajielewa hivyo sikutoka kwenye mstari kihivyo.
Hongera Sana kwa kujitambua mapema. Wenzio wamelowea kwenye mapenzi na kusahau mapenzi. Baadhi wamepata ujauzito badala ya digrii. Survey pale wanastahili kupewa Mkoa kamili, maana vijana wametia fora
 
Back
Top Bottom