Ndoa za wasanii wa Muziki wa Injili

Ndoa za wasanii wa Muziki wa Injili

Inakuwaje mwanamke awe tatizo kuzidi ama kulingana na yule anaemwingilia?
Hii sio ligi. Nimesema wote watatu Wana matatizo. Laiti mgefanyika washauri wema kwao ingekuwa heri sana na tungewapongeza.

Basha kumjua sio rahisi laiti tungewajua tungewaanika hadharani na wakajulikana upesi
 
Hii sio ligi. Nimesema wote watatu Wana matatizo. Laiti mgefanyika washauri wema kwao ingekuwa heri sana na tungewapongeza.

Basha kumjua sio rahisi laiti tungewajua tungewaanika hadharani na wakajulikana upesi
Sio ligi nashangaa tu lawama unavyoziangusha kwa mwanamke wakati muharibifu ni mwanaume na inajulikana kabisa kuwa nani ni muharibifu ila umekazia na kukandamiza kuwa mwanamke ndiye anawaharibu!!
 
Sio ligi nashangaa tu lawama unavyoziangusha kwa mwanamke wakati muharibifu ni mwanaume na inajulikana kabisa kuwa nani ni muharibifu ila umekazia na kukandamiza kuwa mwanamke ndiye anawaharibu!!
Lawama zote nimetaja basha,shoga na surpotr wote walewale
 
Back
Top Bottom