the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Mwanachama wa ACT Wazalendo ambaye pia ni Waziri Kivuli Ofisi ya Waziri Mkuu- Bunge, Sera, Vijana, Kazi na Ajira, Ndolezi Petro amesema wanamuunga mtu yeyote anayekuja na hoja ya mabadiliko kwa sababu viongozi wasiochaguliwa na umma huwa hawawajibiki ipasavyo.
Ndolezi ameyasema hayo katika Kipindi cha Front page (GlobalTV)na kueleza kuwa tofauti yao na Chadema kwenye suala la uchaguzi, ni kwamba wao hawasemi 'no election' lakini wanataka 'reforms'.
Soma Pre GE2025 - Dkt. Slaa: Makosa yanayofanywa na serikali yanatupa nafasi ya kujulikana dunia nzima
Ndolezi ameyasema hayo katika Kipindi cha Front page (GlobalTV)na kueleza kuwa tofauti yao na Chadema kwenye suala la uchaguzi, ni kwamba wao hawasemi 'no election' lakini wanataka 'reforms'.
Soma Pre GE2025 - Dkt. Slaa: Makosa yanayofanywa na serikali yanatupa nafasi ya kujulikana dunia nzima