NDONDI: Deontay WILDER vs Luis ORTIZ kumaliza ubishi kesho..

Wilder akutane na mshindi kati ya Ruiz au bishooo Aj ili afungie mikanda yote kabatini.nimefrai sana kwa ushindi wake.ngumi jiweee
Andy Ruiz na AJ wote hawamuwezi King Kong Luis Ortiz.

Wilder anawakalisha wote.
 
Wilder akutane na mshindi kati ya Ruiz au bishooo Aj ili afungie mikanda yote kabatini.nimefrai sana kwa ushindi wake.ngumi jiweee
Anamalizana na Fury kwanza
 
Mabondia wa heavy weight kwa sasa ni aibu tupu, namiss sana ile crop ya akina Lennox Lewis, Klitcho, Evander, Kassim Rahman etc.
 
Well said, huyu jamaa no skills ila ana ngumivya kulia hatari sana, ikikupata lazima ulambe chini pia ana pumzi sana
Wilder ana zero skills, anategemea 1 KO punch. Hakuna aliyewahi kupigana naye hajaenda chini, lengo lake ni moja tu aingiapo ulingoni ni kukuKO, maana anajijua kubox hawezi
 
Wilder kupigana hataki yeye anataka kumaliza pamabano tu.
Ndo maan alikuwa anavuta vuta round, ili biashara isi haribike.

Huyu ni Tyson wa enzi hizi.

Nakumbuka Mada maugo aliwahi kandika mtu konde moja tu, pambano likaishia hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…