ZENITH
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 1,035
- 920
Nadhani Anthony Joshua 'AJ' ndo heavyweights kwa sasa.Kwa hyo kwa Sasa hivi ni mabondia gani wameshikilia nafasi za heavyweight duniani,maana Mimi kwa kutoelewa kwangu nilifikir kwamba kina Man Pacquiao ndio wapo viwango vya mwisho.