Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
- Thread starter
-
- #21
Mabega yanataka kuchomoka😂😂😂Ndogo hizi zilikuwa nzito, ukiweka na maji mabega lazima yashuke. Ina mlio wake wa kipekee unapoitua chini ukaachia mkono
Ivyo yan
2000 mule mule bila kipingamiz mkuu😂😂😂😂🏃🏽♂️😅 mm sio wa elfu mbili lakin hilo chuma sijatumia
Ilimkata mtoto wa sheha kweñye paji la uso, sitasahau.Ndoo zilizotulea Ndoo bati kopo la bati🤣🤣🤣View attachment 3143351
Any OG always last the longestAlmost vitu vingi viliundwa ku last
Zilikua ngum sanaHii ndoo ishawahi nichana mkonon kovu mpaka leo
Ndooo!Nn iyo?
🤣Is that a filter funnel wazeeNdoo zilizotulea Ndoo bati kopo la bati🤣🤣🤣View attachment 3143351
Alafu ndo nzito kuliko kimiminika cha ndani..😂😂😂Zilikua ngum sana
pio pio au sioBola kushonwa unapigwa pio pio kabisa😂😂😂
Acha kabisaAlafu ndo nzito kuliko kimiminika cha ndani..😂😂😂
😅😅😅Nimecheka sanaIkikudondokea mguuni lazima ukashonwe 🤣🤣
We mhenga mwenzangu umelezea uhalisia kabisa😅😅😅Ndogo hizi zilikuwa nzito, ukiweka na maji mabega lazima yashuke. Ina mlio wake wa kipekee unapoitua chini ukaachia mkono
Cha kubebea kizito kuliko kilicho bebwaa🤣Ndooo!
🤣🤣🤣🤣🤣🙌Ikikudondokea mguuni lazima ukashonwe 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Na mwenzake karai, siku hizi ndo yanakaangiwa maandazi.....wahenga tulikua tunaogea.
Hamna asee2000 mule mule bila kipingamiz mkuu😂😂😂😂🏃🏽♂️