Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
- Thread starter
- #21
Mabega yanataka kuchomoka😂😂😂Ndogo hizi zilikuwa nzito, ukiweka na maji mabega lazima yashuke. Ina mlio wake wa kipekee unapoitua chini ukaachia mkono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabega yanataka kuchomoka😂😂😂Ndogo hizi zilikuwa nzito, ukiweka na maji mabega lazima yashuke. Ina mlio wake wa kipekee unapoitua chini ukaachia mkono
Ivyo yan
2000 mule mule bila kipingamiz mkuu😂😂😂😂🏃🏽♂️😅 mm sio wa elfu mbili lakin hilo chuma sijatumia
Ilimkata mtoto wa sheha kweñye paji la uso, sitasahau.Ndoo zilizotulea Ndoo bati kopo la bati🤣🤣🤣View attachment 3143351
Any OG always last the longestAlmost vitu vingi viliundwa ku last
Zilikua ngum sanaHii ndoo ishawahi nichana mkonon kovu mpaka leo
Ndooo!Nn iyo?
🤣Is that a filter funnel wazeeNdoo zilizotulea Ndoo bati kopo la bati🤣🤣🤣View attachment 3143351
Alafu ndo nzito kuliko kimiminika cha ndani..😂😂😂Zilikua ngum sana
pio pio au sioBola kushonwa unapigwa pio pio kabisa😂😂😂
Acha kabisaAlafu ndo nzito kuliko kimiminika cha ndani..😂😂😂
😅😅😅Nimecheka sanaIkikudondokea mguuni lazima ukashonwe 🤣🤣
We mhenga mwenzangu umelezea uhalisia kabisa😅😅😅Ndogo hizi zilikuwa nzito, ukiweka na maji mabega lazima yashuke. Ina mlio wake wa kipekee unapoitua chini ukaachia mkono
Cha kubebea kizito kuliko kilicho bebwaa🤣Ndooo!
🤣🤣🤣🤣🤣🙌Ikikudondokea mguuni lazima ukashonwe 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Na mwenzake karai, siku hizi ndo yanakaangiwa maandazi.....wahenga tulikua tunaogea.
Hamna asee2000 mule mule bila kipingamiz mkuu😂😂😂😂🏃🏽♂️