Ndoto 20 zinazoweza kukufunga kwenye umaskini bila kujua – Tafsiri yake itakushangaza!

Ndoto 20 zinazoweza kukufunga kwenye umaskini bila kujua – Tafsiri yake itakushangaza!

Duh ndoto moja tu hayo si mateso,
ulishawahi jaribu kula sana mpaka ukavimbiwa nakuapia huwezi kuota hyo ndoto😁😁😁

Au jaribu REM sleep, ni aina ya ndoto inayoweza kufanya uweze ku control ndoto yako. Hii itasaidia maana unachohitaji ni mtu wa psychology sio watu wa nyota ni waongo
Nimekwambia nahitaji watu wa nyota? Au watu wa nyota pekee ndio wana maarifa na tafsiri za ndoto? …

Nielezee kuhusu REM
 
Dreams are just a state where by a brain tries to migrate informations( memory) from hippocampus to be long stored or simply discarded with somehow amygdala working on a process... Processing emotions
 
Dreams are just a state where by a brain tries to migrate informations( memory) from hippocampus to be long stored or simply discarded with somehow amygdala working on a process... Processing emotions
How about future why I'm I seeing the future if you can well explain that concept!!
 
Nielezee kuhusu REM
Hii inatokea kama dakika 90 baada ya kulala ambapo ubongo muda huo unakuwa upo active, mfano hii inatokea mara nyingi unakua umelala halafu unataka kwenda haja ndogo kabla hujaanza kujisaidia unaanza kujifikiria hii ni ndoto au ni kweli,
 
How about future why I'm I seeing the future if you can well explain that concept!!
You can't see the future
Your prefontal cortex just analyse the data and memory it have and anticipate what the future maybe

Everything is coded in very simple and coordinated way
 
You can't see the future
Your prefontal cortex just analyse the data and memory it have and anticipate what the future maybe

Everything is coded in very simple and coordinated way
Just by your own perception but on my side I usually dream reality things I usually predict what may happen then happens as it is!
 
Mkuu, what I dreamed yesterday is what happened today
Mimi huwa siamini sana mambo ya maana ya ndoto ila kuna ndoto moja nishawahi kuota mchana, niliota nipo chumbani nimekaa natumia simu huku ikiwa kwenye chaji mara nikashtuka toka kwenye ndoto nikaamka kitandani kisha nikaenda pale nilipo kaa kwenye ndoto nikaanza kutumia simu tena ikiwa ipo chaji ila kumbe nilikuwa bado naota nikashtuka mara ya pili nikaa kitandani nikaanza kujifikiria kwa hofu bado naota au ndio nimeshaamka, ghafla nikaitwa nje nikamka kwenda nje ndo nikajua nimeshaamka, mpaka leo huwa nawaza hyo ndoto ilikuwa ya ajabu
 
Mimi huwa siamini sana mambo ya maana ya ndoto ila kuna ndoto moja nishawahi kuota mchana, niliota nipo chumbani nimekaa natumia simu huku ikiwa kwenye chaji mara nikashtuka toka kwenye ndoto nikaamka kitandani kisha nikaenda pale nilipo kaa kwenye ndoto nikaanza kutumia simu tena ikiwa ipo chaji ila kumbe nilikuwa bado naota nikashtuka mara ya pili nikaa kitandani nikaanza kujifikiria kwa hofu bado naota au ndio nimeshaamka, ghafla nikaitwa nje nikamka kwenda nje ndo nikajua nimeshaamka, mpaka leo huwa nawaza hyo ndoto ilikuwa ya ajabu
Mkuu huwa Mimi naamka na kutabiri death 💀 za watu fulani, ajali na mambo mengine before Sasa ntaacha je kuamini ndoto nnazo ota
 
Mkuu, what I dreamed yesterday is what happened today
Wow

Your dreams are just replays of the hippocampus in fragmented way

And during dreaming prefontal cortex is also asleep or lazy thats why most of the time dreams are illogical and bizzare also the reason why we don't know why when we are dreaming

In lucid dreams prefontal cortex is reactivated and a person knows he is dreaming and basically increased activity in dorsolateral cortex enables self awareness during dream which maybe happening to you

Nmeona mleta mada kaongelea mambo ya ndoto za utotoni sijui upo shule ya msingi

Those are just unresolved emotional conflicts and hippocampus keeps replaying same pattern over and over and over until conflict is resolved
 
Ndoto ni mkusanyiko wa Mawazo ambayo hukumaliza mchana.

Kamwe huwezi Kuota kitu ambacho hujawahi kukiwaza
mkuu sio kila ndoto ni mawazo ya mchana...

tupunguze ujuaji wakati tunaenda kanisani kila siku.. watumishi wa Mungu walipewa maono kupitia ndoto, Je na wao waliwaza hayo maono mchana?
 
Wow

Your dreams are just replays of the hippocampus in fragmented way

And during dreaming prefontal cortex is also asleep or lazy thats why most of the time dreams are illogical and bizzare also the reason why we don't know why when we are dreaming

In lucid dreams prefontal cortex is reactivated and a person knows he is dreaming and basically increased activity in dorsolateral cortex enables self awareness during dream which maybe happening to you

Nmeona mleta mada kaongelea mambo ya ndoto za utotoni sijui upo shule ya msingi

Those are just unresolved emotional conflicts and hippocampus keeps replaying same pattern over and over and over until conflict is resolved
Mkuu haya masuala hata Madaktari na Wanasayansi wote wanaojaribu kudanganya watu nj fake Mungu huongea na watumishi wake kwa kupitia ndoto
 
mkuu sio kila ndoto ni mawazo ya mchana...

tupunguze ujuaji wakati tunaenda kanisani kila siku.. watumishi wa Mungu walipewa maono kupitia ndoto, Je na wao waliwaza hayo maono mchana?
Mkuu shetani anateka watu sana aise
 
Mkuu, what I dreamed yesterday is what happened today
And to answer you correctly let me tell you this
The human brain is designed to recognize patterns and find meaning in random events.

People have many dreams, but they tend to only remember the ones that match real-life events.

When a dream resembles reality, the brain focuses on that "hit" and ignores the many "misses".

This is called confirmation bias... Mkuu nmechoka hee
 
Mkuu haya masuala hata Madaktari na Wanasayansi wote wanaojaribu kudanganya watu nj fake Mungu huongea na watumishi wake kwa kupitia ndoto
Oooh i didn't know you don't believe in science i am a Christian but i am scientist

Change your perception you will enjoy a lot in this imaginary world
 
And to answer you correctly let me tell you this
The human brain is designed to recognize patterns and find meaning in random events.

People have many dreams, but they tend to only remember the ones that match real-life events.

When a dream resembles reality, the brain focuses on that "hit" and ignores the many "misses".

This is called confirmation bias... Mkuu nmechoka hee
sometimes the brain can create an alternate reality to shield itself from trauma
 
Sasa mkuu zile alizozitafsiri Yusufu mbona hazikuwa za hivyo, inasemekana ndoto za maana ni zile zinazotumia alama(symbolic).

Mi naona hizo ni matokeo tu ya kile unachokiwaza, na zingine ni njia ya ubongo kukupa taarifa ili uchukue hatua mfano mkojo ukikubana usingizini lazima tu utaota ndoto za ovyo ovyo kama hizo.
 
Back
Top Bottom