Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 4,240
- 10,561
. Hizo dalili za kupata hasara au mambo kukwama sina mkuu. 🤔🤔.Kuota ndoto hii mara moja ni dalili ya kufanikiwa
Kuiota mara kwa mara ni dalili ya kusumbuliwa na jini subiani mbaya na huyu huwa katika kundi la jini mahabba hapa ndo utaona mambo hayaendi yamekwama kila ufanyalo huushia kupata hasara
Ndoto hii pia huiota mtu mwenye kuumwa mara kwa mara na hasa wale wanaoumwa sana vichwa miguu na mikono
. Ila mimi ni mroho sana kwenye mademu, 😒😒😒, nahisi kuna siku nitakuja kuuza hata maburi ya urithi ili nihonge pesa mademu.