Ndoto ambazo nimekuwa nikiziota kwa muda mrefu sasa na kiukweli zinanitesa sana

Ndoto ambazo nimekuwa nikiziota kwa muda mrefu sasa na kiukweli zinanitesa sana

Research Consultant

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2022
Posts
453
Reaction score
772
Wasalaaaam

Ndugu, jamaa na marafiki

Naamini mpo salama na majukumu ya kujijenga kiuchumi na kijamii yanaendelea

Mimi ni kijana niliyejiajiri, umri wangu naelekea katika third flow

Nina ndoto ambazo nimekuwa nikiziota kwa muda mrefu sasa na kiukweli zinanitesa sana na zinaniumiza sana, Naomba masaada wa kujuwa maana ya hizi ndoto ni nini na najinasuaje kutoka kwenye ndoto hizo

NDOTO YA KWANZA

Hii kwa hivi karibuni haijanijia sana ila imekuwa ikinitesa sana kila ninapoiota, huwa naota nadondoka kwenye korongo refuuuu sana, yaani ni refu kiasi ambacho najikuta na weweseka sana na ninaposhtuka nikiwa kitandani muda mwingine nakuta hadi jasho linanitoka. Hii ndoto imekuwa ikirudia rudia sana kiasi cha kuniogopesha sana hivyo natamani kujua maana yake ni nini na nifanyeje isiniijie tena

NDOTO YA PILI

Hii ndo kubwa kuliko na imekuwa ikijirudia sana na hata usiku wa leo nimeiota tena, huwa naota nipo na marafiki zangu wengi either wa shule ya msingi au sekondari katika mazingira ya shule tulizosoma. Wengine ambao nakuwa nao kwenye hizo ndoto sina mawasiliano nao na wala hatukuwuhi kuwa washkaji. Tupo mazingira ya shule either Darasani tunafundishwa au mazingira ya shule tukicheza. Muda huo tumevaa uniform za shule woote. Kuiota hii ndoto so shida shida ni inapojirudia rudia sana nahisi kuna alert napewa ila mimi naipuuzia kwa sababu sielewi ndoto hizi zina maana gani

Kwa wale wataalamu wa ndoto nawakaribisha sana mnieleweshe maana ya ndoto hizo ni ipi na nawezaje kuzishinda au nisiziote tena

Natanguliza Shukran
 
Wasalaaaam

Ndugu, jamaa na marafiki

Naamini mpo salama na majukumu ya kujijenga kiuchumi na kijamii yanaendelea

Mimi ni kijana niliyejiajiri, umri wangu naelekea katika third flow

Nina ndoto ambazo nimekuwa nikiziota kwa muda mrefu sasa na kiukweli zinanitesa sana na zinaniumiza sana, Naomba masaada wa kujuwa maana ya hizi ndoto ni nini na najinasuaje kutoka kwenye ndoto hizo

NDOTO YA KWANZA

Hii kwa hivi karibuni haijanijia sana ila imekuwa ikinitesa sana kila ninapoiota, huwa naota nadondoka kwenye korongo refuuuu sana, yaani ni refu kiasi ambacho najikuta na weweseka sana na ninaposhtuka nikiwa kitandani muda mwingine nakuta hadi jasho linanitoka. Hii ndoto imekuwa ikirudia rudia sana kiasi cha kuniogopesha sana hivyo natamani kujua maana yake ni nini na nifanyeje isiniijie tena

NDOTO YA PILI

Hii ndo kubwa kuliko na imekuwa ikijirudia sana na hata usiku wa leo nimeiota tena, huwa naota nipo na marafiki zangu wengi either wa shule ya msingi au sekondari katika mazingira ya shule tulizosoma. Wengine ambao nakuwa nao kwenye hizo ndoto sina mawasiliano nao na wala hatukuwuhi kuwa washkaji. Tupo mazingira ya shule either Darasani tunafundishwa au mazingira ya shule tukicheza. Muda huo tumevaa uniform za shule woote. Kuiota hii ndoto so shida shida ni inapojirudia rudia sana nahisi kuna alert napewa ila mimi naipuuzia kwa sababu sielewi ndoto hizi zina maana gani

Kwa wale wataalamu wa ndoto nawakaribisha sana mnieleweshe maana ya ndoto hizo ni ipi na nawezaje kuzishinda au nisiziote tena

Natanguliza Shukran
Kwa uelewa wangu mdogo...hizo zote mbaya..tafuta msaada wa maombi
 
Wasalaaaam

Ndugu, jamaa na marafiki

Naamini mpo salama na majukumu ya kujijenga kiuchumi na kijamii yanaendelea

Mimi ni kijana niliyejiajiri, umri wangu naelekea katika third flow

Nina ndoto ambazo nimekuwa nikiziota kwa muda mrefu sasa na kiukweli zinanitesa sana na zinaniumiza sana, Naomba masaada wa kujuwa maana ya hizi ndoto ni nini na najinasuaje kutoka kwenye ndoto hizo

NDOTO YA KWANZA

Hii kwa hivi karibuni haijanijia sana ila imekuwa ikinitesa sana kila ninapoiota, huwa naota nadondoka kwenye korongo refuuuu sana, yaani ni refu kiasi ambacho najikuta na weweseka sana na ninaposhtuka nikiwa kitandani muda mwingine nakuta hadi jasho linanitoka. Hii ndoto imekuwa ikirudia rudia sana kiasi cha kuniogopesha sana hivyo natamani kujua maana yake ni nini na nifanyeje isiniijie tena

NDOTO YA PILI

Hii ndo kubwa kuliko na imekuwa ikijirudia sana na hata usiku wa leo nimeiota tena, huwa naota nipo na marafiki zangu wengi either wa shule ya msingi au sekondari katika mazingira ya shule tulizosoma. Wengine ambao nakuwa nao kwenye hizo ndoto sina mawasiliano nao na wala hatukuwuhi kuwa washkaji. Tupo mazingira ya shule either Darasani tunafundishwa au mazingira ya shule tukicheza. Muda huo tumevaa uniform za shule woote. Kuiota hii ndoto so shida shida ni inapojirudia rudia sana nahisi kuna alert napewa ila mimi naipuuzia kwa sababu sielewi ndoto hizi zina maana gani

Kwa wale wataalamu wa ndoto nawakaribisha sana mnieleweshe maana ya ndoto hizo ni ipi na nawezaje kuzishinda au nisiziote tena

Natanguliza Shukran
Achana na habari za ndoto.
Hadi leo hii bado unaamini ktk ndoto za usingizini????????!!???
 
Hiyo ndoto ya kwanza tafsiri yake ni kuna hatua Moja kubwa sana utaipiga hivi karibuni either kwenye ajira yako au kifamilia.

Hiyo ndoto ya pili tafsiri yake ni kuna deni kubwa katika maisha yako bado hujalimaliza, hivyo kaa chini ujiulize ni jambo gani ambalo inatakiwa ulitimize
 
Ndoto ya kwanza!
Kupanda juu maana yake ni mafanikio/kustawi/afya, n.k kwa ufupi Mungu hukaa juu na mambo yoote mazuri hutoka juu! Mvua utoka juu! Jua hutoka juu! Kinyume chake ni ndoto za kuanguka chini. Ukifa unaingizwa chini kwenye shimo! Kuzimu ni chini ndiko kwa shetani! Mambo yote hasi yasiyokuwa na tija uambatana na neno "kuanguka! Kushuka!" Kwa hiyo tafsiri yako ni kwamba japo ulikusudiwa kuwa mtu mkuu na kustawi, lakini ulimwengu wa giza au wewe mwenyewe kwa kutojitambua unaelekea pabaya kama sio kufa utakuwa kichaa/chizi/kilema mtu wa kukataliwa na watu!

Ndoto ya pili ni kwamba ukiwekwa kwenye mizania ya kiwango cha maisha ambacho ungekuwa nacho sasa hivi ni kwamba umerudishwa nyuma au umefungwa mpaka kiwango cha utoto ulivyokuwa shule za msingi au sekondari (kulingana na jinsi ulivyoota). Hivyo kimafanikio umefungwa au unaelekea kubaya zaidi.

Jinsi ya kufanya: OKOKA! Mwamini Yesu Kristo na tafuta imani ya kilokole vinginevyo mwisho wako ni mbaya! Ogopa ndoto za kujirudiarudia ni dhahiri na ni Mungu anakuonyesha ulipo! Alitegemea uanze kumzalia matunda kumbe umekwama! Shituka! Tafuta kanisa la walokole!
 
Hiyo ndoto ya kwanza tafsiri yake ni kuna hatua Moja kubwa sana utaipiga hivi karibuni either kwenye ajira yako au kifamilia.

Hiyo ndoto ya pili tafsiri yake ni kuna deni kubwa katika maisha yako bado hujalimaliza, hivyo kaa chini ujiulize ni jambo gani ambalo inatakiwa ulitimize
Nashukuru sana kwa maoni yako Boss
 
Ndoto ya kwanza!
Kupanda juu maana yake ni mafanikio/kustawi/afya, n.k kwa ufupi Mungu hukaa juu na mambo yoote mazuri hutoka juu! Mvua utoka juu! Jua hutoka juu! Kinyume chake ni ndoto za kuanguka chini. Ukifa unaingizwa chini kwenye shimo! Kuzimu ni chini ndiko kwa shetani! Mambo yote hasi yasiyokuwa na tija uambatana na neno "kuanguka! Kushuka!" Kwa hiyo tafsiri yako ni kwamba japo ulikusudiwa kuwa mtu mkuu na kustawi, lakini ulimwengu wa giza au wewe mwenyewe kwa kutojitambua unaelekea pabaya kama sio kufa utakuwa kichaa/chizi/kilema mtu wa kukataliwa na watu!

Ndoto ya pili ni kwamba ukiwekwa kwenye mizania ya kiwango cha maisha ambacho ungekuwa nacho sasa hivi ni kwamba umerudishwa nyuma au umefungwa mpaka kiwango cha utoto ulivyokuwa shule za msingi au sekondari (kulingana na jinsi ulivyoota). Hivyo kimafanikio umefungwa au unaelekea kubaya zaidi.

Jinsi ya kufanya: OKOKA! Mwamini Yesu Kristo na tafuta imani ya kilokole vinginevyo mwisho wako ni mbaya! Ogopa ndoto za kujirudiarudia ni dhahiri na ni Mungu anakuonyesha ulipo! Alitegemea uanze kumzalia matunda kumbe umekwama! Shituka! Tafuta kanisa la walokole!
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
 
Hiyo ndoto ya kwanza tafsiri yake ni kuna hatua Moja kubwa sana utaipiga hivi karibuni either kwenye ajira yako au kifamilia.

Hiyo ndoto ya pili tafsiri yake ni kuna deni kubwa katika maisha yako bado hujalimaliza, hivyo kaa chini ujiulize ni jambo gani ambalo inatakiwa ulitimize
Sasa hii inakuwa shida kwa mfano kama kuna deni sijalimaliza nalijuaje?

Kwanini ndoto isije na picha inaonyesha deni Hilo nafumbwa kwenye ndoto sasa si muda unapotea katika kutafakari vitu usivyo vijua vyanzo vyake haiwezekani inabidi tupate na ujumbe kamili sio maswali
 
Miaka 20 iliyopita sikua nimefikia hapa nilipo.... sasa nilikua nikipata ndito kama hiyo ya kwanza.... kumbe nilikuja gundua kwamba nilikua sili nikashiba, na bado nilikua sijaanza kujipata hadi naweweseka...🤣
 
Sasa hii inakuwa shida kwa mfano kama kuna deni sijalimaliza nalijuaje?

Kwanini ndoto isije na picha inaonyesha deni Hilo nafumbwa kwenye ndoto sasa si muda unapotea katika kutafakari vitu usivyo vijua vyanzo vyake haiwezekani inabidi tupate na ujumbe kamili sio maswali
ngoja wataalamu waje watusaidie kulifafanua hili
 
Miaka 20 iliyopita sikua nimefikia hapa nilipo.... sasa nilikua nikipata ndito kama hiyo ya kwanza.... kumbe nilikuja gundua kwamba nilikua sili nikashiba, na bado nilikua sijaanza kujipata hadi naweweseka...🤣
kwangu mimi niameamua hadi niandike hivyo sababu mambo yangu mengi yamesimama na baadhi yamekwama kwa takibani miaka mi4 hivi sasa
 
Hiyo ndoto ya kwanza tafsiri yake ni kuna hatua Moja kubwa sana utaipiga hivi karibuni either kwenye ajira yako au kifamilia.

Hiyo ndoto ya pili tafsiri yake ni kuna deni kubwa katika maisha yako bado hujalimaliza, hivyo kaa chini ujiulize ni jambo gani ambalo inatakiwa ulitimize
Yaaani kama mm uwa naota tupo shule alafu tunakaribia kufanya mtihani na mtihani unafika nakuja gundua sjajiandaa kwa lolote,Yaan naanza kuangaika na cha kushangaza uwa nnaota nipo na jamaa mmoja tu yule yule,Yaani mpaka naogopa kumuuliza.
 
kwangu mimi niameamua hadi niandike hivyo sababu mambo yangu mengi yamesimama na baadhi yamekwama kwa takibani miaka mi4 hivi sasa
Nakupa mstari. Ndoto ni mlango mwingine autumiao Mungu kuwasiliana na wanadamu (japo na shetani uutumia) pia

Ayubu 33:14-16
[14]Kwa kuwa Mungu hunena mara moja,
Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.
[15]Katika ndoto, katika maono ya usiku,
Usingizi mzito uwajiliapo watu,
Katika usingizi kitandani;
[16]Ndipo huyafunua masikio ya watu,
Na kuyatia muhuri mafundisho yao,
 
Yaaani kama mm uwa naota tupo shule alafu tunakaribia kufanya mtihani na mtihani unafika nakuja gundua sjajiandaa kwa lolote,Yaan naanza kuangaika na cha kushangaza uwa nnaota nipo na jamaa mmoja tu yule yule,Yaani mpaka naogopa kumuuliza.
ndoto yako na hii ni za aina moja hazitofautiani sana
 
Back
Top Bottom