Ndoto ni tafsri na ishara za mambo ya kiroho kwenye nyakati zote wakati uliopita, uliopo na ujao. Lakin si ndoto zote ni zakiroho. Msijikute wasomi wa kindezindezi mnatoboa mpaka chuo kikuu kwa d mbili, mkifika humu mnajikuta mnajua kila kitu....
Ndoto ya kwanza umeota unaporomoka kwenye mabonde huko, Hii tafsri yake ni kushuka kwenye ubora wako kwa nyanja yoyote ile labda kiuchumi, kiafya, kielimu, heshima n.k
Ndoto ya pili umeota upo mazingira ya shule, hii tafsiri yake ni kudumaa kimaendeleo yani kila siku upo palepale upigi hatua, unafanya mambo yaleyale.
Ndoto zote zinaonekana ni za kurudi nyuma, kwaiyo mkuu kwa imani yako omba sana hizo roho zishindwe