Ndoto hii imekuwa ikijirudia mara kwa mara lakini sijui maana yake

Ndoto hii imekuwa ikijirudia mara kwa mara lakini sijui maana yake

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Morng African.

Kuna ndoto imekuwa inanijia mara kwa mara lakini sijui maana yake naomba msaada kwa anaejua.

Jana nimeota narudi kazini pale ambapo niliacha mweenyewe na ujio wangu wa kurudi pale boss anaonekana kufurahia wafanya kazi wezangu nao wanafurahi sana lakini sijawaelewa.

Mara nyingine naota narudi hapoa kazini ambapo niliacha mwenyewe.
 
Morng african

Kuna ndoto imekuwa inanijia mara kwa mara lakini sijui maana yake naomba msaada kwa anaejua

Jana nimeota narudi kazini pale ambapo nilifukuzwa na ujio wangu wa kurudi pale boss anaonekana kufurahia wafanya kazi wezangu nao wanafurahi sana lakini sijawaelewa

Mara nyingine naota narudi hapoa kazini ambapo niliacha mwenyewe
Samaleko!
Mara umefukuzwa mara umeacha mwenyewe..
we umepamisi sana job kwako ila ndio hivyo kubaliana na hali..
 
H
Samaleko!
Mara umefukuzwa mara umeacha mwenyewe..
we umepamisi sana job kwako ila ndio hivyo kubaliana na hali..
apana kuna mmoja alinipigia simu kwamba nirudi ila nikamwambia sijashikwa shida kiasi icho kuweza kuja tena hapo kuvumilia matusi na jeur
 
H

apana kuna mmoja alinipigia simu kwamba nirudi ila nikamwambia sijashikwa shida kiasi icho kuweza kuja tena hapo kuvumilia matusi na jeur
Wewe jamaa mbona hueleweki. Kwahiyo umeota ndoto au ulipigiwa simu na staff mwenzio urudi?
 
Wewe jamaa mbona hueleweki. Kwahiyo umeota ndoto au ulipigiwa simu na staff mwenzio urudi?
Nimeota ndoto ila ukiachana na ndoto nilishapigiwa simu na staf mmoja ana piga mara kwa mara
 
Mtu halisi yupo kwenye ndoto.

Usipuuze ndoto uotayo Hasa ikijirudia,

Hata watu waliokufa Kwa AJALI, wengi waliona ktk ndoto wakapuuza au kukosa tafsiri ya ndoto.

Mtu ni ROHO anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.

Kuna ndoto aina tatu.

1. Ndoto zitokanazo na uchovu au shughuli za Kila siku.

KAZI uliyofanya mchana itajirudia vile vile nk nk

2. Ndoto Kutoka Kwa Shetani.

Hizi huja kimkakati kukutoa katika kusudi la Mungu,

Mara nyingi zinawakuta waendao Kwa mganga, Atakuotesha mama Yako mzazi ndiye mchawi na utamwona kwenye ndoto Ili mfarakane ktk familia.

Zingine utajikuta unapata maoni ktk ndoto, mfano Mfalme daudi aliletewa mawazo Kutoka Kwa Shetani Ili awahesabu Wana wa Israel kinyume na mapenzi ya MUNGU.

3. Ndoto Kutoka Kwa Mungu.

Mtu Kwakuwa ni ROHO, huona Kila kitu kubaya anachopangiwa na maadui au wema Kwa maana hakuna Siri ktk Ulimwengu wa ROHO, Mungu Ameweka macho hayo ya ndani Kwa Kila mtu.

Ukiota unakimbizwa au kushambuliwa na Wanyama, ni wachawi hai wamevaa sura za wanyama usiwatamvue lakini utawaona ukiwaamuru waonekane Kwa sura zao kupitia Jina la YESU.

USHAURI: Rudi kazini Kwa kuomba radhi, na uache kufanya maamuzi Kwa kukurupuka, tafuta kuisikia sauti ya Mungu ktk Kila uamuzi unaotaka kufanya utafanikiwa.

Amen.
 
Back
Top Bottom