Yohimbine
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 873
- 1,841
Habari wakuu poleni na Majukumu ya kutafuta ugali ,japo ni mgumu naamini sote tutaupata.
Wakuu kuna hii ndoto imenishtua sana leo naomba wale wenye utaalamu wa ndoto hii wanielezee iko hivi.
Nimeota nipo shule ya bweni sasa siku hiyo ilikua ni siku ya kufunga shule majira ya mchana hivi mimi nikaamua nisiondoke nyumbani kwa maana nitakosa usafiri ndipo katika nikaamua kutoka nje ya shule nitambue mazingira yapoje ,katika kutoka huko ndipo nikakutana na mtu mmoja tunafahamina (huyu ni padri katika parokia ya nyumbani kwetu)akaamua anipe malazi mpaka hiyo kesho itapofika niweze kuondoka.
Padri yule pale kwake akapata dharura akaondoka nikabaki pale na watu wa nyumbani kwake mda wa usiku nikapewa chakula changu pendwa nikala sasa shida inakuja mda wa kulala.Wakati nimelala usiku ghafla wakatokea watu wawili kama wachawi na watu hawa walikua wanaongea maneno kama wana ugomvi na yule padri kwahiyo wakaanza kunichukua na kutafuta nguvu nilizonazo ili wazichukue wakaanza na nguvu moja baada ya nyengine.
Katika uchunguzi wao nikajikuta nna nguvu ya kuteleport(kupotea na kutoonekana kwa muda) ,nguvu ya pili wakakuta nna uwezo wa kupaa yani nlikua na mabawa kama yale ya malaika pia wakakuta nna uwezo wa nguvu za mikono.
Mwisho kabisa wakaanza kuzichukua zile nguvu lakini mpaka wanamaliza wakaonyesha kusikitika wakiwa na maana jaribio lao limeshindwa na hapo ndio ghafla nikashtuka usingizini.
Mwenye uelewa na hii ndoto
Rakim
Wakuu kuna hii ndoto imenishtua sana leo naomba wale wenye utaalamu wa ndoto hii wanielezee iko hivi.
Nimeota nipo shule ya bweni sasa siku hiyo ilikua ni siku ya kufunga shule majira ya mchana hivi mimi nikaamua nisiondoke nyumbani kwa maana nitakosa usafiri ndipo katika nikaamua kutoka nje ya shule nitambue mazingira yapoje ,katika kutoka huko ndipo nikakutana na mtu mmoja tunafahamina (huyu ni padri katika parokia ya nyumbani kwetu)akaamua anipe malazi mpaka hiyo kesho itapofika niweze kuondoka.
Padri yule pale kwake akapata dharura akaondoka nikabaki pale na watu wa nyumbani kwake mda wa usiku nikapewa chakula changu pendwa nikala sasa shida inakuja mda wa kulala.Wakati nimelala usiku ghafla wakatokea watu wawili kama wachawi na watu hawa walikua wanaongea maneno kama wana ugomvi na yule padri kwahiyo wakaanza kunichukua na kutafuta nguvu nilizonazo ili wazichukue wakaanza na nguvu moja baada ya nyengine.
Katika uchunguzi wao nikajikuta nna nguvu ya kuteleport(kupotea na kutoonekana kwa muda) ,nguvu ya pili wakakuta nna uwezo wa kupaa yani nlikua na mabawa kama yale ya malaika pia wakakuta nna uwezo wa nguvu za mikono.
Mwisho kabisa wakaanza kuzichukua zile nguvu lakini mpaka wanamaliza wakaonyesha kusikitika wakiwa na maana jaribio lao limeshindwa na hapo ndio ghafla nikashtuka usingizini.
Mwenye uelewa na hii ndoto
Rakim