Ndiyo anachofukuziaAmejiengua uongozi wa ACT ili ahudumie vyema teuzi iliyo njiani....
Soon anateuliwa
Ndoto yake imefikia wapiKama ukimsikiliza aliyekuwa kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo aliyasema haya siku ya jana kuwa kuna kijana toka mwandiga alikuwa na ndoto.
Alisema haya “Ndoto iliyowatisha watu wazima wenye uwezo wa kifedha, elimu na mamlaka makubwa. Suluhisho la kutishwa na ndoto hiyo ni nini? 'Tumfukuze Uanachama!'"
Je, unakubali kwamba ni kweli Zitto ni ndoto inayowaogopesha chadema…?
Kama humjui Zitto utapata tabu sana ! uliona wapi mpinzani anabadilishana jimbo na mwanaccm ? Zitto alibadilishana Jimbo na Peter Serukamba , sijui kama unalijua hiliKama ukimsikiliza aliyekuwa kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo aliyasema haya siku ya jana kuwa kuna kijana toka mwandiga alikuwa na ndoto.
Alisema haya “Ndoto iliyowatisha watu wazima wenye uwezo wa kifedha, elimu na mamlaka makubwa. Suluhisho la kutishwa na ndoto hiyo ni nini? 'Tumfukuze Uanachama!'"
Je, unakubali kwamba ni kweli Zitto ni ndoto inayowaogopesha chadema…?
Kama ambavyo lema anafukuzia ubunge hadi kaikacha familiaNdiyo anachofukuzia
Ulitaka afukuzie bandari?Kama ambavyo lema anafukuzia ubunge hadi kaikacha familia
🤣 🤣 🤣Kama ukimsikiliza aliyekuwa kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo aliyasema haya siku ya jana kuwa kuna kijana toka mwandiga alikuwa na ndoto.
Alisema haya “Ndoto iliyowatisha watu wazima wenye uwezo wa kifedha, elimu na mamlaka makubwa. Suluhisho la kutishwa na ndoto hiyo ni nini? 'Tumfukuze Uanachama!'"
Je, unakubali kwamba ni kweli Zitto ni ndoto inayowaogopesha chadema…?
Kuna jinga nchi hii kamq mzee MboweMnafiki mkubwa
Dawa ni kuwanyoosha mijitu mijinga kama hii
Huwe uwezo hana ,unafiki kila mahali kuna machalii?Ulitaka afukuzie bandari?
Nakuheshimu na nina kuonya kwa mara ya mwisho, tafuta size yako vinginevyo utaliona jukwaa ni chungu muda siyo mrefu.Huwe uwezo hana ,unafiki kila mahali kuna machalii?
Mboma mzee Mbowe alikubali mgombea toka ccm kwa nafasi ya urais ?Kama humjui Zitto utapata tabu sana ! uliona wapi mpinzani anabadilishana jimbo na mwanaccm ? Zitto alibadilishana Jimbo na Peter Serukamba , sijui kama unalijua hili
Hehehhee Zitto alikua machachari ila kusema aliwatisha hamna kitu. Mbona alipojitoa bado Lowassa na lissu walizoa kura nyingi za urais kuliko hata mgombea wa Act huko kigoma. Pia chadema na ACT walipata idadi sawa ya wabunge kigoma!!Kama ukimsikiliza aliyekuwa kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo aliyasema haya siku ya jana kuwa kuna kijana toka mwandiga alikuwa na ndoto.
Alisema haya “Ndoto iliyowatisha watu wazima wenye uwezo wa kifedha, elimu na mamlaka makubwa. Suluhisho la kutishwa na ndoto hiyo ni nini? 'Tumfukuze Uanachama!'"
Je, unakubali kwamba ni kweli Zitto ni ndoto inayowaogopesha chadema…?
Jukwaa chungu kwa vilazi waliojazana humu toka ufipa aka misukule ya mzee MboweNakuheshimu na nina kuonya kwa mara ya mwisho, tafuta size yako vinginevyo utaliona jukwaa ni chungu muda siyo mrefu.
Kama siyo heshima ya mumeo ningekushughulikia usingeaminiJukwaa chungu kwa vilazi waliojazana humu toka ufipa aka misukule ya mzee Mbowe