Ndoto na matamanio yangu ni kuona Binti yangu anakuwa Mama bora na Mlezi mzuri wa familia yenye

Ndoto na matamanio yangu ni kuona Binti yangu anakuwa Mama bora na Mlezi mzuri wa familia yenye

Bob Manson

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
4,158
Reaction score
7,787
Binafsi naamini purpose kuu ya mwanamke katika dunia hii ni kuwa mama bora wa familia yenye furaha na Amani.

Mimi ndoto na matamanio yangu ni siku moja nimuone mwanangu wa kike akiolewa kwa wakati sahihi na mtu sahihi, awe mama bora na mlezi bora wa familia yake, hiyo ndiyo itakuwa furaha kuu kwangu.

Japo mambo kama shule na elimu nyinginezo zina umuhimu, umuhimu ambao hupatikana kwa matumizi ya taaluma hizo kwa manufaa ya kupata ajira na tutengeneza kipato.

Nitajitahidi kadri niwezavyo kumlea na kumuandaa aje kuwa mama bora wa nyumba yake tofauti na kuwa Boss au mfanyakazi bora katika ofisi yake.

Itakuwa na maana gani endapo Binti akifanikiwa kupata kazi na kipato kikubwa ilhali hana familia imara na yenye furaha?

Nahimiza wazazi wenzangu kuwaandaa watoto wao wakike kuwa Mama bora na si kuegemea upande mmoja wa elimu kisha kusahau purpose halisi ya mwanamke katika dunia hii.

Pia soma: Nachukizwa na wanaomuita mwanangu Zuchu
 
Baba Zuchu omba kwa Mungu akasaidie kuwa na maadili mema,malezi yako pekee haitoshi kwa kuwa kanachangamana na watu wenye tabia tofauti, unaweza kukalea vzr ila miaka 16 tu tayari wajuba wanakapelekea moto.
 
Baba Zuchu omba kwa Mungu akasaidie kuwa na maadili mema,malezi yako pekee haitoshi kwa kuwa kanachangamana na watu wenye tabia tofauti, unaweza kukalea vzr ila miaka 16 tu tayari wajuba wanakapelekea moto.
Naweza kumwepusha na hayo kwa kumuandaa vizuri angali mdogo, wengi wanao rubunika wanakosa misingi ya malezi mazuri kipindi cha ukuaji wao.
 
Binafsi naamini purpose kuu ya mwanamke katika dunia hii ni kuwa mama bora wa familia yenye furaha na Amani.

Mimi ndoto na matamanio yangu ni siku moja nimuone mwanangu wa kike akiolewa kwa wakati sahihi na mtu sahihi, awe mama bora na mlezi bora wa familia yake, hiyo ndiyo itakuwa furaha kuu kwangu.

Japo mambo kama shule na elimu nyinginezo zina umuhimu, umuhimu ambao hupatikana kwa matumizi ya taaluma hizo kwa manufaa ya kupata ajira na tutengeneza kipato.

Nitajitahidi kadri niwezavyo kumlea na kumuandaa aje kuwa mama bora wa nyumba yake tofauti na kuwa Boss au mfanyakazi bora katika ofisi yake.

Itakuwa na maana gani endapo Binti akifanikiwa kupata kazi na kipato kikubwa ilhali hana familia imara na yenye furaha?

Nahimiza wazazi wenzangu kuwaandaa watoto wao wakike kuwa Mama bora na si kuegemea upande mmoja wa elimu kisha kusahau purpose halisi ya mwanamke katika dunia hii.

Pia soma: Nachukizwa na wanaomuita mwanangu Zuchu
waandae na vijana wawe baba bora ili chemistry iwe balanced 😄
 
Mtoto sio mali ya mzazi ni WA jamii mzazi ni mpangaji kwa mtoto, mtoto wako yeyeto ni mme au mke wa mtu mtarajiwa so mzazi ndie anaijenga au kuibomoa ndoa ya mwanae kupitia matendo yake mbele ya mtoto.
 
Binafsi naamini purpose kuu ya mwanamke katika dunia hii ni kuwa mama bora wa familia yenye furaha na Amani.

Mimi ndoto na matamanio yangu ni siku moja nimuone mwanangu wa kike akiolewa kwa wakati sahihi na mtu sahihi, awe mama bora na mlezi bora wa familia yake, hiyo ndiyo itakuwa furaha kuu kwangu.

Japo mambo kama shule na elimu nyinginezo zina umuhimu, umuhimu ambao hupatikana kwa matumizi ya taaluma hizo kwa manufaa ya kupata ajira na tutengeneza kipato.

Nitajitahidi kadri niwezavyo kumlea na kumuandaa aje kuwa mama bora wa nyumba yake tofauti na kuwa Boss au mfanyakazi bora katika ofisi yake.

Itakuwa na maana gani endapo Binti akifanikiwa kupata kazi na kipato kikubwa ilhali hana familia imara na yenye furaha?

Nahimiza wazazi wenzangu kuwaandaa watoto wao wakike kuwa Mama bora na si kuegemea upande mmoja wa elimu kisha kusahau purpose halisi ya mwanamke katika dunia hii.

Pia soma: Nachukizwa na wanaomuita mwanangu Zuchu
Atakuwa exactly kama mama yake..
Na atapata mume mwenye tabia kama za kwako.
 
Back
Top Bottom