NDOTO: Rais Magufuli kutawala awamu moja tu...

Samia hajachaguliwa hivyo sio mpango wa yoyote, she is there by default, kwangu ni rais wa mpito
Ni Mungu ndio huweka serikali za mataifa
Labda mungu wa Chato au Burundi.
Mungu ni Mmoja tuu,The One and Only!
Mtu akifariki kwa sababu yoyote ni ameitwa na Mungu!。
Mungu ndio kila kitu,ni Alfa na Omega!。
Ni haki yako kusema mitano tena , maana pia ni sehemu ya green pasture kwako , saa hizi unalamba tenda za kutosha na PR husumbuliwi influence kubwa uliyokuwa nayo toka utawala wa Ben na huu wa sasa unafanya unapepea
laiti ungalijua!。
P
 
hivi wewe uliyeleta hii ndoto bado mzima au byebye? Siku nyingine source ya ndoto zako usiiamini.
 
Vipi huko uliko mkuu!!
 
Mlijiañdaa kummaliza mkaanza kusingizia ndoto. Mliposhindwa kwenye ndoto mkasingizia umeme wa moyo.
 
Hizi nyuzi zinakwendaga wapi mbona zinaonekanaga mbeleni sana kwenye simu yangu?

Yaani unakuta uzi una miaka takribani sita nyuma lakini kwangu unajitokeza leo nashangaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…