ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Atakuwa ametoa tena 🤣🤣Nadhani huu uzi haujafufuliwa kwa habadi mbaya.
Hawa wahuni wanapanga upuuzi wao harafu wanaita ndoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa ametoa tena 🤣🤣Nadhani huu uzi haujafufuliwa kwa habadi mbaya.
Laiti ungalijua!。Ila asante kwa mchango wako very objective。ila jua una deni katika reputation yako uliyoijenga kwa miaka zaidi ya 30 umekuja kuiangusha mwenyewe hivyo huna wa kumlaumu.
Ni Mungu ndio huweka serikali za mataifaSamia hajachaguliwa hivyo sio mpango wa yoyote, she is there by default, kwangu ni rais wa mpito
Mungu ni Mmoja tuu,The One and Only!Labda mungu wa Chato au Burundi.
Mtu akifariki kwa sababu yoyote ni ameitwa na Mungu!。Alifariki kwa atrial fibrillation , iliyochagizwa na complication za Covid -19 , alikuwa baba haambiliki licha ya kuwemo katika makundi hatarishi yanayoweza kushambuliwa na kupoteza maisha kirahisi kwa Covid -19[ makundi haya yalitajwa kabisa na wataalam] yeye alikuwa anafanya ziara na mikusanyiko huku akihamasisha watu wasivae barako akidai ndio zimebeba virusi.
Mungu ndio kila kitu,ni Alfa na Omega!。Sio kweli, huyu karithi kiti tu akisaidiwa na Mabeyo , wahuni kutoka Ruangwa, Karagwe na Kongwa walikuwa washampiga mama yenu goli la kisigino , Mungu haleti viongozi wananchi ndio wanaopiga kura huyo Mungu hapigi kura yoyote ingekuwa hivyo basi duniani kote basi Mungu ndio tungekuwa tubasubiri apige kura sisi tunapokea uongozi na watu wasingegombea na kunadi sera zao wapigiwe kura.
laiti ungalijua!。Ni haki yako kusema mitano tena , maana pia ni sehemu ya green pasture kwako , saa hizi unalamba tenda za kutosha na PR husumbuliwi influence kubwa uliyokuwa nayo toka utawala wa Ben na huu wa sasa unafanya unapepea
Hata Magufuli alikuwa na PhD FEKI hadi akamuua Ben Saanane kwa kuhoji uhalali, usinitisheCheti feki bhana
Mauaji ya akina Ben Saanane, Azory Gwanda, na wale zaidi ya 300 wa MKIRU.1.Matendo yep?
2.Mungu yupi?
Hahahaha unaumia sanaaaaa jamaa Hana mda na wewe Kamala zake tangia 2021🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hata Magufuli alikuwa na PhD FEKI hadi akamuua Ben Saanane kwa kuhoji uhalali, usinitishe
Yaani hatumuachi wala hatumpumzishi, tunamshambulia hadi ahera muuaji mkubwa yuleHahahaha unaumia sanaaaaa jamaa Hana mda na wewe Kamala zake tangia 2021🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
hivi wewe uliyeleta hii ndoto bado mzima au byebye? Siku nyingine source ya ndoto zako usiiamini.Wana Jf wenzangu......!!
Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.
Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.
Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Ulimuona anafanya?Mauaji ya akina Ben Saanane, Azory Gwanda, na wale zaidi ya 300 wa MKIRU.
Utekaji wa akina MoDewji, unyang'anyi wa fedha za wafanyabiashara etc
Vipi huko uliko mkuu!!Magufuli ataendelea kuwa rais kwa miaka 10. Tena binafsi natamani hata awe rais kwa miaka 20 au zaidi maana Tanzania tulihitaji rais kwa ma huyu tokea miaka mingi ilopita. Kwa nyie wazembe msiotaka kula kwa jasho ndo mnamchukia. Ila sisi ambao tulitamani atawle hata kabla hajachukua form ya kugombea ndo tunampenda na tunamwombea asubuhi na usiku.
Kwani ni siri? Mambo yote yako kwenye kitabu cha Eric Kabendera.Ulimuona anafanya?
Mlijiañdaa kummaliza mkaanza kusingizia ndoto. Mliposhindwa kwenye ndoto mkasingizia umeme wa moyo.Wana Jf wenzangu......!!
Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.
Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.
Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Kwani Eriki ni nani? Na ananafasi gani katika maisha ya mwamba?
Kasome Kitabu hicho kinapatikana Amazon utapata majibu ya maswali yako.Kwani Eriki ni nani? Na ananafasi gani katika maisha ya mwamba?
Kwani wewe si ulituambia umechagukiwa kwenye mission ya kwenda DRC ? Au mnashinda kuchati tu huko mpaka watu wanazid kuchukua miji?Hahahaha unaumia sanaaaaa jamaa Hana mda na wewe Kamala zake tangia 2021🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi sina neno baya na Mwamba, hivyo, sina haja ya kusoma hiko kutabu... wewe nakuuliza uniambie maana kutwa kucha ni shutumu tu....Kasome Kitabu hicho kinapatikana Amazon utapata majibu ya maswali yako.