NDOTO: Rais Magufuli kutawala awamu moja tu...

NDOTO: Rais Magufuli kutawala awamu moja tu...

Maguli ni kama kama mfano wa mwanafunzi ambaye amejitungia mwenyewe mtihani na kutaka asahihishiwe na apate yote Na mwalim akimrekebisha na kumwekea kosa .Meko anapanik na kuvunja meza za shule na viti.
 
Mkuu ndoto yako inaenda kutimia kwa namna nyingine. Huu uzi lazima tuje kuufufua.

Inaonekana mwaka 2017 watu waliandika nyuzi za kiutabiri sana na kuna kila dalili hizi nyuzi kutimia. Uzi wa kwanza kutimia ni wa Nyani Ngabu juu ya Lissu na Nina uhakika huu uzi wako pia unaenda kutimia kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu ingawa unaenda kutumia kwa Magufuli kuangushwa na upinzani ambae ni Tundu Lissu
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hio ndoto unaota mchana au usiku ???
 
Kumekucha
Ef7SJLlXoAYKYkX.jpg
 
Ndoto yako inaishi mkuu..... Tundu Lissu ndiye rais ajaye
 
Wana Jf wenzangu......!!

Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.

Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.

Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Atakufa nini? Maana watu hawampendi hatari
 
Magu anaunadi uongozi wake more agressive mean while Tundu lisu anaunadi ungozi wake more comfortable. Kiasi kwamba Meko anaonekana kama anastrugle na Tundu ndie anaenjoy strggle za Meko.
 
Mkuu ndoto yako inaenda kutimia kwa namna nyingine. Huu uzi lazima tuje kuufufua.

Inaonekana mwaka 2017 watu waliandika nyuzi za kiutabiri sana na kuna kila dalili hizi nyuzi kutimia. Uzi wa kwanza kutimia ni wa Nyani Ngabu juu ya Lissu na Nina uhakika huu uzi wako pia unaenda kutimia kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu ingawa unaenda kutumia kwa Magufuli kuangushwa na upinzani ambae ni Tundu Lissu
Duh!
 
Back
Top Bottom