Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Niseme tu 2025 kumiliki EV yangu ya kwanza kushakauka kama hivi.
Baada ya kukesha na kuomba muhusika wa TRA acheki vizuri kikokotoo nilete Nissan Leaf nisupport juhudi za green environment na kuwaunga mkono TANESCO naona mission imefeli.
Anaehusika na kuset kodi za magari used TRA aangalie vizuri ushuru wa Nissan Leaf 2019 EV nataka ivuta Februari!
Mzigo umeishia kupunguzwa million mbili na nusu tu.
Kutoka hapa Mil 23.2 ushuru wa mwaka jana.
Kuja Mil 20.8 tu ushuru wa mwaka huu 2025.
Hii ndio ilikua dream car yangu ila kuwapa TRA Tanzania mil 20 sitakaa nikafanya ivo kwa kipato changu cha sasa.
Kila lakheri EV, tutaonana miaka ijayo.
Baada ya kukesha na kuomba muhusika wa TRA acheki vizuri kikokotoo nilete Nissan Leaf nisupport juhudi za green environment na kuwaunga mkono TANESCO naona mission imefeli.
Anaehusika na kuset kodi za magari used TRA aangalie vizuri ushuru wa Nissan Leaf 2019 EV nataka ivuta Februari!
Mzigo umeishia kupunguzwa million mbili na nusu tu.
Kutoka hapa Mil 23.2 ushuru wa mwaka jana.
Kuja Mil 20.8 tu ushuru wa mwaka huu 2025.
Hii ndio ilikua dream car yangu ila kuwapa TRA Tanzania mil 20 sitakaa nikafanya ivo kwa kipato changu cha sasa.
Kila lakheri EV, tutaonana miaka ijayo.